4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
sawa mkuu ila ubavu huo wa kupambana no mnao mnakuza mambo bila sababu ,ningekua mwenyekiti wa ccm ningeongoza maandamano ya kumpoke lisssu hivi kitengo cha propaganda ccm hakipo tena ? na matokeo yake mnatumia nguvu nyingi bila sababu whyLazima TL anyooshwe tuone hao vibaraka wake waje tupambane nao, jino kwa jino. Sisi ni nchi huru hatuwezi kuamuliwa na kinyago yoyote. Mwache aje, we are ready for him.
Huyu mheshimiwa mwanasheria msomi kumbe alitegemea angerudi TZ pamoja na kuhangaika huko majuu kuichafu nchi kutafuta huruma. Hawa wajasiria siasa wa kubadilisha gia angani, kudanganya watu wandamane kudai haki huku wakijua fika wanatetea matumbo yao maslahi ya watu akiwa ni hadaa tu.
Nimemsikia akiomba ulinzi kwa vyombo vya dola ambavyo usiku na mchana alirandanda huko ughaibuni akivitukana na kuvikashifu kuwa hana imani navyo. Ajabu wanarudi kuviomba ulinzi tena. Wanajinasibu kuviandikia barua. Kweli upumbavu ni sifa iliyo tajwa hata katika misahafu.
Umekaririshwa kila Mzalendo nchi hii yupo kwenye CCM propaganda machine, acha kukariri kuna wengi tu tunaifahamu hii nchi tangu alifu. Sio TL au CCM anayeweza kuwaburuza wazalendo wa nchi hii ambao wanatambua nani ni adui.sawa mkuu ila ubavu huo wa kupambana no mnao mnakuza mambo bila sababu ,ningekua mwenyekiti wa ccm ningeongoza maandamano ya kumpoke lisssu hivi kitengo cha propaganda ccm hakipo tena ? na matokeo yake mnatumia nguvu nyingi bila sababu why
Hivi nyinyi kwa akili zenu finyu mnadhani nchi hii inaendeshwa kwa siasa za wanaharakati wa mtandao wa jamii forum sio?? Yaani mmekazana kweli kumnadi chizi
Dada umeanzisha post mpya! Hakuna pahala mleta mada ameongele nguvu za TL!Tundu Lisu hana nguvu tena
Mkuu wangu RAIS na wale wawili wa chini yake hatufananishi na kina Lissu...mmm mbona viongozi wetu huwa tunawaokea na kama si ilo mbona ndege zetu huwa tunakusanyika kuzipokea mkuu
Kwani Lowasa ana nguvuTundu Lisu hana nguvu tena
Hizo ni tetesi tu mkuu.
Nimesikia watu wakinong'ona palepale nje ya uwanja nilipokuwa nikisubiri Taxi.
Lissu anatoa taarifa za kufuatiliwa na gari isiyojulikana 2017Tundu Lissu ameripotiwa kuwa ameaga rasmi huko Ubelgiji na ataunganisha ndege jijini Dubai kabla ya kutua JNIA.
Maofisa wa Uhamiaji pamoja na wale wa Usalama (wapya) waliopo JNIA wapo wanaendelea na shughuli zao.
Kuna mawili matatu hivi kutoka kwa maofisa uhamiaji na usalama.
1. Mgeni huyu (Tundu Lissu anatumia pasi ipi ya kusafiria)
Hivyo utaratibu wa kumpokea Tundu Lissu waweza kuchukua muda mrefu.
Kitakachopatikana kwenye mahojiano ndicho kitakachoelekeza hatua zitakazofuata.
2. Angalia madhumuni ya safari na sababu za kurudi.
3. Afisa uhamiaji kuridhika na majibu kulingana na sheria ya uhamiaji na kama kuna "ya ziada"
4. Idhinisha kuingia kwa kugonga muhuri wa kuingia au toa muda maalum ikiwa ni pasi ya kigeni.
5. Kama ni Tundu Lissu zuia "self check- in" na muongoze chumba cha mahojiano.
Hizi ni za hapa na pale.
JNIA imebadilika sana kuna watu wapya na wengi mno ambao wanahakikisha usalama wa uwanja, udhibiti wa kitokacho na kiingiacho na mazagazaga mengine.
Kuna kijana wa Nigeria alishindwa kueleza kwa ufasaha amepataje pasi ya kusafiria ya kitanzania ilhali hafahamu lugha ya kiswahili.
Wakamchukua kuingia kwenye vyumba vyao maalum kwa mahojiano maalum.
Msinitupie mawe mazee haya nimeyapata na mengine kuyaona hapo JNIA nilipotua mchana leo.
Lissu anatoa taarifa za kufuatiliwa na gari isiyojulikana 2017Tundu Lisu hana nguvu tena
NyokooTundu Lissu ameripotiwa kuwa ameaga rasmi huko Ubelgiji na ataunganisha ndege jijini Dubai kabla ya kutua JNIA.
Maofisa wa Uhamiaji pamoja na wale wa Usalama (wapya) waliopo JNIA wapo wanaendelea na shughuli zao.
Kuna mawili matatu hivi kutoka kwa maofisa Uhamiaji na Usalama.
1. Mgeni huyu (Tundu Lissu anatumia pasi ipi ya kusafiria)
Hivyo utaratibu wa kumpokea Tundu Lissu waweza kuchukua muda mrefu.
Kitakachopatikana kwenye mahojiano ndicho kitakachoelekeza hatua zitakazofuata.
2. Angalia madhumuni ya safari na sababu za kurudi.
3. Afisa uhamiaji kuridhika na majibu kulingana na sheria ya uhamiaji na kama kuna "ya ziada"
4. Idhinisha kuingia kwa kugonga muhuri wa kuingia au toa muda maalum ikiwa ni pasi ya kigeni.
5. Kama ni Tundu Lissu zuia "self check- in" na muongoze chumba cha mahojiano.
Hizi ni za hapa na pale.
JNIA imebadilika sana kuna watu wapya na wengi mno ambao wanahakikisha usalama wa uwanja, udhibiti wa kitokacho na kiingiacho na mazagazaga mengine.
Kuna kijana wa Nigeria alishindwa kueleza kwa ufasaha amepataje pasi ya kusafiria ya kitanzania ilhali hafahamu lugha ya kiswahili.
Wakamchukua kuingia kwenye vyumba vyao maalum kwa mahojiano maalum.
Msinitupie mawe mazee haya nimeyapata na mengine kuyaona hapo JNIA nilipotua mchana leo.
Wewe nilikupuuza tangia hapa, unajifanya mjuaji kumbe mpuuzi wa Lumumba buku saba tu.Sijui ni kwanini Siku zote Mbwa hupenda sana Kujipeleka kwa Nyoka aina ya Chatu ili akamezwe na Kuuwawa nae hata kama ukijitahidi Kumzuia.
Hahahaa, mtatapatapa sana mwaka huu.Lisu aachane na siasa aisee!!
Hivi ID yako hii imeandikwa Kimakosa hadi Kujiita Jimbi au ulipaswa ujiite Pimbi tu kabisa?Wewe nilikupuuza tangia hapa, unajifanya mjuaji kumbe mpuuzi wa Lumumba buku saba tu.
Wewe TAPELI tu, unajifanya mtu wa kitengo wakati ni mpuuzi wa MANZESE tu. Lumumba hopeless kabisa.Hivi ID yako hii imeandikwa Kimakosa hadi Kujiita Jimbi au ulipaswa ujiite Pimbi tu kabisa?
Tundu Lissu ameripotiwa kuwa ameaga rasmi huko Ubelgiji na ataunganisha ndege jijini Dubai kabla ya kutua JNIA.
Maofisa wa Uhamiaji pamoja na wale wa Usalama (wapya) waliopo JNIA wapo wanaendelea na shughuli zao.
Kuna mawili matatu hivi kutoka kwa maofisa Uhamiaji na Usalama.
1. Mgeni huyu (Tundu Lissu anatumia pasi ipi ya kusafiria)
Hivyo utaratibu wa kumpokea Tundu Lissu waweza kuchukua muda mrefu.
Kitakachopatikana kwenye mahojiano ndicho kitakachoelekeza hatua zitakazofuata.
2. Angalia madhumuni ya safari na sababu za kurudi.
3. Afisa uhamiaji kuridhika na majibu kulingana na sheria ya uhamiaji na kama kuna "ya ziada"
4. Idhinisha kuingia kwa kugonga muhuri wa kuingia au toa muda maalum ikiwa ni pasi ya kigeni.
5. Kama ni Tundu Lissu zuia "self check- in" na muongoze chumba cha mahojiano.
Hizi ni za hapa na pale.
JNIA imebadilika sana kuna watu wapya na wengi mno ambao wanahakikisha usalama wa uwanja, udhibiti wa kitokacho na kiingiacho na mazagazaga mengine.
Kuna kijana wa Nigeria alishindwa kueleza kwa ufasaha amepataje pasi ya kusafiria ya kitanzania ilhali hafahamu lugha ya kiswahili.
Wakamchukua kuingia kwenye vyumba vyao maalum kwa mahojiano maalum.
Msinitupie mawe mazee haya nimeyapata na mengine kuyaona hapo JNIA nilipotua mchana leo.
Tunafukua makaburi ya mashetani. Pole sana mrembo.Tundu Lisu hana nguvu tena
Sasa kama umeshajua kuwa Mimi ni Tapeli na najifanya Mtu wa TISS kwanini tu 'usiniripoti' Kwao ili 'nikamatwe' kwa 'Utapeli' huu hapa Nchini?Wewe TAPELI tu, unajifanya mtu wa kitengo wakati ni mpuuzi wa MANZESE tu. Lumumba hopeless kabisa.
Umeona utolopo wako ulioandika?? Ulikuwa unawafurahisha mabwana zako, ili wakufikirie kwenye kura za maoni ee?Tundu Lissu ameripotiwa kuwa ameaga rasmi huko Ubelgiji na ataunganisha ndege jijini Dubai kabla ya kutua JNIA.
Maofisa wa Uhamiaji pamoja na wale wa Usalama (wapya) waliopo JNIA wapo wanaendelea na shughuli zao.
Kuna mawili matatu hivi kutoka kwa maofisa Uhamiaji na Usalama.
1. Mgeni huyu (Tundu Lissu anatumia pasi ipi ya kusafiria)
Hivyo utaratibu wa kumpokea Tundu Lissu waweza kuchukua muda mrefu.
Kitakachopatikana kwenye mahojiano ndicho kitakachoelekeza hatua zitakazofuata.
2. Angalia madhumuni ya safari na sababu za kurudi.
3. Afisa uhamiaji kuridhika na majibu kulingana na sheria ya uhamiaji na kama kuna "ya ziada"
4. Idhinisha kuingia kwa kugonga muhuri wa kuingia au toa muda maalum ikiwa ni pasi ya kigeni.
5. Kama ni Tundu Lissu zuia "self check- in" na muongoze chumba cha mahojiano.
Hizi ni za hapa na pale.
JNIA imebadilika sana kuna watu wapya na wengi mno ambao wanahakikisha usalama wa uwanja, udhibiti wa kitokacho na kiingiacho na mazagazaga mengine.
Kuna kijana wa Nigeria alishindwa kueleza kwa ufasaha amepataje pasi ya kusafiria ya kitanzania ilhali hafahamu lugha ya kiswahili.
Wakamchukua kuingia kwenye vyumba vyao maalum kwa mahojiano maalum.
Msinitupie mawe mazee haya nimeyapata na mengine kuyaona hapo JNIA nilipotua mchana leo.