Iraq ni vita tuu, hakuna jembe huko
huko alikuwepo sadam wamalekani wakamfyekelea mbali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iraq ni vita tuu, hakuna jembe huko
Mbali ni tumboni je nikweli?
Duniani kuna mamboo
Mwilini? Hivi 'mwilini' kingereza au kiswahili..Jasho ni uchafu unao toka mwilini
Mwilini? Hivi 'mwilini' kingereza au kiswahili..
Kiswahili au Kichina! Vyovyote vile, ila mijitu mingine inaboa kweli. Yenyewe ni kuweka mchanga kwenye pilau tu. Yaani kwenye haka kamchezo badala ya kufuata masharti, lijitu linaingia tu na kuandika vitu wala haliangalii wa mwisho ameandika nini ili aendeleze. Alafu pia naombeni muache huu uzi hapa. Mi ndo wa mwisho. MSHINDI NI MIMI, NUKTA na ASANTENI KWA USHIRIKI WENU, sasa utaona mtu asiye 'elewa' anaendelea kucomment, narudia, Game IMEISHA, na mimi ndo mshindi, NUKTA
Nukta,nukta-mbili au koloni ( : ) hutumika kwenye UakifishajiKiswahili au Kichina! Vyovyote vile, ila mijitu mingine inaboa kweli. Yenyewe ni kuweka mchanga kwenye pilau tu. Yaani kwenye haka kamchezo badala ya kufuata masharti, lijitu linaingia tu na kuandika vitu wala haliangalii wa mwisho ameandika nini ili aendeleze. Alafu pia naombeni muache huu uzi hapa. Mi ndo wa mwisho. MSHINDI NI MIMI, NUKTA na ASANTENI KWA USHIRIKI WENU, sasa utaona mtu asiye 'elewa' anaendelea kucomment, narudia, Game IMEISHA, na mimi ndo mshindi, NUKTA
Uakifishaji wa Lugha mama ya kiswahilni habari ingie humu jamvini.Nukta,nukta-mbili au koloni ( : ) hutumika kwenye Uakifishaji
Jamvini kumevamiwa na wanafunzi Mid-term hiiUakifishaji wa Lugha mama ya kiswahilni habari ingie humu jamvini.
vikuu vya shule hasa vile vya zamani vina matatizo sana