Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

On that game, normally I am like a crazy
 
kapa kwa lipi?maruhani mbna ni term often used,owkey usipotee tena maruhani can stand for majini,mashetani and so on

ongeza bidii maombi hayo mashetani ya kutoke!
 
Yakutoke yaende wapi wakati wewe uko arusha unafanya mambo ya kifisadi saivi..hata shetani hakubali
 
Usipost chochote ili yangu iwe ya mwisho!!
 
Mwampamba kapotelea wapi au anauza Mitumba Morogoro?
 
Chumvini ni kijiji kimoja kilichopo huko ukerewe
 
ukerewe ni kisiwa kilichopo ziwa victoria
 
Thread hii imeletwa na mleta thread makusudi kabisa ili atupotezee muda wetu tusahau kupambana na serikali ya CCM
 
Back
Top Bottom