Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Time will tell them for real.

Real madrid tunatangaza kiama msimuu huu kwa barcelona, yani hakuna cha puyo, xavi , iniesta wala messi, safari hii lazima tuwakalishe tena shenzi kabisa
 
Moja ya njia ya kumpata mshindi wa huu mchezo inabidi wambuzi aseme utaisha lini na mshindi atapataje zawadi yake?wambuzi where are you?au umekula ban
 
Moja ya njia ya kumpata mshindi wa huu mchezo inabidi wambuzi aseme utaisha lini na mshindi atapataje zawadi yake?wambuzi where are you?au umekula ban

Ban za kipuuzi JF zinapunguza starehe ya jukwaa ndio maana tumewapoteza watu muhimu kama wambuzi.
 
umemkimbiza kaenda kwa dhaifu wenzake nchini malawi au ?
 
Jamani 2we wakweli chichiem wanahaha hebu angalia vituko vyao bungeni
 
bungeni kina wasira na komba wanalala sana

Sana wanachokifanya ni kutumia mamilioni ya ruzuku kujengea vimada wao majumba na kuwapa washkaji zao mitoko ulaya zaidi hawana nia ya kumkomboa mnyonge.
 
Back
Top Bottom