Wa mwisho ndiyo mshindi

Fikra zetu zinazonyewa na mafisadi kila uchao.....cjui wanataka na sisi tusije kuwa mafisadi??
 
sasa kama mahakama zenyewe zitakuwa zinaweka faini ya laki tisa tu kwa kosa kama la CHID BENZ sidhani ka madawa ya kulevya na bangi vitakwisha.
 
Keroo yangu ni kukosekana kwa maji safi na salama vijijini
 
Vijijini wanaishi maisha ya ujima, ndio maana sirudi Nanjelenje.
 
Nanjelenje au ni Nanjilinji ?... Vijijini kungekuwa na maji safi, umeme na barabara inayopitika kwa urahisi misimu yote, mji wa Dar usingekuwa na idadi ya hii ya watu... Hivi mji kama Ulanga wenye historia ya kuzalisha mpunga leo hii mvua ikinyesha tu hata trekta haliendi halafu kuna majizi {KAMA YANAVYOITWA NA TINDU LISU} kila kukicha yanajiita wabunge na kusheherekea miaka 50 wa Uhuru na Maendeleo....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…