Wa mwisho ndiyo mshindi

Wa mwisho ndiyo mshindi

Wengineo hawana muda wa kujifunza Kiswahili fasaha, na kwenye kuandika wengine wameamua kuboresha kiaina yao, yaani utakuta maandishi yao mpenz, mm, ww, yy, sna, xaxa, xana, na kuendelea, hizi lugha za mtaani tunazozizungumza kwa kweli zinashusha hadhi ya Lugha ya Kiswahili
Kiswahili lugha ya Taifa
Nalog off
 
Back
Top Bottom