Wa mwisho ndiyo mshindi

Mwenyewe atatuongoza, hilo halina shaka

Twatiwa nguvu kwa neno lake bwana Mungu
Lakini katika mambo haya yote tumeshinda na zaidi ya kushinda....

____________________________

Kiukweli I got extremely saddened by the tragedy

My sorrows couldn't be helped by the fact that you're among the excellent individuals that I regard very high here in the jamvi.

Mungu anendelee kukupa faraja ya kweli.
 
Kweli kabisa Mungu ndie Mfariji mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…