kasambalakk
Senior Member
- Apr 2, 2011
- 126
- 17
mawazo yanatolewa kwa kuongea na wenzako kuhusu jambo ambalo linakusumbua na sio kunywa pombe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yao yamewashinda na mi nimeibuka kuwa mshindi na ushindi nimesha tangaziwaaaaaaaaaaaaa !mtoto wa kitaa.
kitaa chenu kina lipi la kujivunia? Kuku watamu wamejaa pomoni.
Producer vunja kimya tangaza ushindi kwa Mr Kicheko
mawazo ni kitu cha kawaida kwa kila mtu
Mtu kama hafati masharti ya mchezo huu akae pembeni kwa roho safi
Mr Kicheko wapi wakati Sting nipo ???
?? watu tumekuwa tukijiuliza mbona hatupewi tuzo zetu za ubingwa kumbe kuna mburula humu wanaharibu sequence ya huu mchezo wetu so unaonekana hauna tija tena. Mwanzisha uzi upo wapi uweke vigenzo na mashart ya kuzingatiwa pia uweke siku, tarehe na muda wa kumaliza hili shindano hili bingwa wa mabingwa apatikane.
Apatikane akiwa hai au amekufa.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
safi huchafuliwa na chafu
Amekufa kufa kiukweli au bado yuko hai
Kilimanjaro ni mlima mrefu Afrika
Afrika kuna lugha nyingi sana na ndio maana kuna baadhi ya lugha huendana na kabila za watu sasa mimi hujiuliza hii lugha ya kiswahili ni ya kabila gani
Gani alikuwa ni mpenzi wangu wa utotoni.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Utotoni huwezi kukumbuka mambo yote uliyo yafanya
Yafanya ni bus linalofanya safari zake kati ya Rombo na Marangu.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
marangu huko ndo homu sasa
marangu huko ndo homu sasa
Sasa hapa tumefikia ni mwisho mkuu ashasema mshindi ni mimi