Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo ndo kigezo eti Mrusi asimpige Ukraine?Hata pro Russia, China wote wanatamani kuishi USA. Kwa hiyo tusidanganyane. Beberu USA ataendelea kututawala tu
Kwa hiyo unataka kutuambia Beberu litaendelea kukupanda au?Hata pro Russia, China wote wanatamani kuishi USA. Kwa hiyo tusidanganyane. Beberu USA ataendelea kututawala tu
Ukraine acha ashikishwe kwanza adabu..Kwahiyo ndo kigezo eti Mrusi asimpige Ukraine?
😂 😂 😂Hata pro Russia, China wote wanatamani kuishi USA. Kwa hiyo tusidanganyane. Beberu USA ataendelea kututawala tu
Usa ni Nchi yenye Fursa Nyingi kama Dar unavyoona Tanzania, ila sio ideal sehemu nzuri ya kuishi.Hata pro Russia, China wote wanatamani kuishi USA. Kwa hiyo tusidanganyane. Beberu USA ataendelea kututawala tu
Kila mtu anaihitaji USA.....Kwahiyo ndo kigezo eti Mrusi asimpige Ukraine?
Peke yako,sio Kila mtu anapenda kulala barabarani mkuuKila mtu anaihitaji USA.....
Idadi ya wanaolala barabarani wachache na wengi wahamiaji mkuu...Peke yako,sio Kila mtu anapenda kulala barabarani mkuu
Sasa wewe usilale barabarani kule kwenu mkuu? Labda ukawe zombie ulale ndaniIdadi ya wanaolala barabarani wachache na wengi wahamiaji mkuu...
KILA MTU ANAIHITAJI USA. Kwa kupenda au kutopenda.
Hata haya mawasiliano na ubishi hapa mitandaoni - kwa hisani ya USA
Simu - programu zake
Pc- na programu zake
Tv nk..
Satellite nk..
uzi hauna lengo lolote,impacts za marijuana zimempeleka USA na kumpa demu mzunguLengo la Uzi wako Ni Nini?
Kabisa kwanza wanauliwa watu weusi, kukaa roho juu kisa Nini? Ninandugu yangu kule Texas, tukisikia Kuna mtu mweusi kapigwa risasi tunaanza kufatilia habari, kurud hataki nyumbani.Peke yako,sio Kila mtu anapenda kulala barabarani mkuu
Urusi kesha poteza 1ya 3 ya askari wake juzi ijumaa kapigwa mpka kakimbia mji karkiv vifaru 58 vimeharibiwa battalion imeteketea ila wajinga hawajuiUkraine acha ashikishwe kwanza adabu..
sawa, ukraine hajafa hata askari mmoja mkuu.. umefurahi sasaUrusi kesha poteza 1ya 3 ya askari wake juzi ijumaa kapigwa mpka kakimbia mji karkiv vifaru 58 vimeharibiwa battalion imeteketea ila wajinga hawajui
Mkuu Road Master hiyo source ya hiyo habari kuwa 1/3 ya askari wa Russia wameuwawa siku ya 'Ijumaa ', ilisema asikari wangapi wa Ukraine waliuwawa? Kama hawajasema habari hizo zitilie mashaka. Siku hizi vyombo vya habari vya magharibi vina upende leo au tuseme wameegemea upande mmoja (Ukraine).Urusi kesha poteza 1ya 3 ya askari wake juzi ijumaa kapigwa mpka kakimbia mji karkiv vifaru 58 vimeharibiwa battalion imeteketea ila wajinga hawajui