Wa Russia, Uingereza, China, Arab, German, Hindi, Afrika wote wanatamani kuishi USA

Wa Russia, Uingereza, China, Arab, German, Hindi, Afrika wote wanatamani kuishi USA

🙆‍♀️ Wanao nishangaza zaidi ni wale wenye kitabu kilichoshushwa, ambacho ilim zote duniani zipo, hakuna haja ya katiba, mahakama wala serikali tofauti na inavyoelekeza

🙆‍♀️ Wanatuaminisha wengine kuwa tumepotoka, na wanatushawishi kwa diplomasia na nguvu kujiunga na mfumo huo wanaoupigia chapuo kuwa ni bora lakini mbona ndio wanaoongoza kwa kukimbia na kwenda kuishi nchi zenye democrasia?
 
🙆‍♀️ Wanao nishangaza zaidi ni wale wenye kitabu kilichoshushwa, ambacho ilim zote duniani zipo, hakuna haja ya katiba, mahakama wala serikali tofauti na inavyoelekeza

🙆‍♀️ Wanatuaminisha wengine kuwa tumepotoka, na wanatushawishi kwa diplomasia na nguvu kujiunga na mfumo huo wanaoupigia chapuo kuwa ni bora lakini mbona ndio wanaoongoza kwa kukimbia na kwenda kuishi nchi zenye democrasia?
Mnapenda kweli kudanganya kujipa Matumaini.

Hizi ni nchi zenye wageni wengi COMPARE na raia.

images.png


Kwenye nchi 12, 9 ni za kiarabu na 3 ni Macau, Hong Kong na Switzerland.

Nchi kama UAe (Dubai huko) asilimia 88 ni wageni na 12 tu ndio wazawa.

Angalia Wachezaji mpira, viongozi wa siasa, wacheza Tenis, Majambazi, Mabilionea kibao wanaenda Dubai kupumzika.

Ukikuta Nchi za kiarabu/kiislamu zina wakimbizi wengi ni
1. Kuna Vita
2. Case ya ukoloni.

Na hivyo vita waanzilishi wakubwa Ni hao west.

Raia Wa Oman, Uae ama Saudi akienda tu kusoma Ulaya unakuta wanampa Offer ya Uraia, ila mwenzangu na mimi wewe nenda hata Visa Tabu.
 
Yani huo ndo ukweli kabisa..

Hujaweka waarau,wahindi.,watu wengi sana wanatamani kuishi huko.
 
Usa ni Nchi yenye Fursa Nyingi kama Dar unavyoona Tanzania, ila sio ideal sehemu nzuri ya kuishi.

Kwa Living standard hata ukitaja Top 10 Usa Haipo.

Zipo Nchi kama Za Scandnavia Finland, Norway etc zina living standard kubwa sana, Kwa America Canada wapo Vizuri, kuna Visiwa Kibao Duniani watu wana Retire huko,

USA wale mabilionea wao wana Utajiri kuliko Nusu ya Nchi, zaidi ya Asilimia 20 ni Masikini USA, na kuna watu wa Kutosha ni Homeless wanalala mabarabarani.
Kiukweli me nashindwaga kuelewa kabisa,mfano mimi natamani nikaishi zile nchi za Scandinavian kuliko U.S.

Ila wakazi wa hizo nchi(Scandinavian)wanatamani kwenda kuishi U.S..
 
Kiukweli me nashindwaga kuelewa kabisa,mfano mimi natamani nikaishi zile nchi za Scandinavian kuliko U.S.

Ila wakazi wa hizo nchi(Scandinavian)wanatamani kwenda kuishi U.S..
Labda hali ya Hewa mkuu, ila Nchi ambazo wana Mixed economy wanafaidi sana maisha. Una balance maisha na starehe.

Sio Nchi za ki capitalist unafanya tu kazi, Tena inabidi baba na mama wote mufanye kazi kuweza kuishi maisha standard. Mtu unaingiza hadi milioni 500 kwa mwaka na Bado hupati maisha mazuri, unaishi kawaida sababu kila kitu ghali.
 
Idadi ya wanaolala barabarani wachache na wengi wahamiaji mkuu...
KILA MTU ANAIHITAJI USA. Kwa kupenda au kutopenda.
Hata haya mawasiliano na ubishi hapa mitandaoni - kwa hisani ya USA
Simu - programu zake
Pc- na programu zake
Tv nk..
Satellite nk..
Marekani ni pa hovyo sana kwa kuishi , kasome tu uondoke au Katalii tu, kuishi ni utumwa sana
 
sawa, ukraine hajafa hata askari mmoja mkuu.. umefurahi sasa
Alisema ndani ya week tatu ataichukua Ukraine sasa vipi!? Kama unajui kiingereza fuatikia CNN tonight !!! IPO uck kuanzia SAA 7 uck!! Utajua ukweli achana namaneno ya vijiwen
 
Hata pro Russia, China wote wanatamani kuishi USA. Kwa hiyo tusidanganyane. Beberu USA ataendelea kututawala tu
Lakini kulingana na utafiti uliofanywa mwezi wa nne mwaka huu ulionesha kuwa watu wengi wa mataifa ya ulaya na marekani wangependa kuja kuishi Tanzania kulingana na sera za CCM zinazovutia.
 
Alisema ndani ya week tatu ataichukua Ukraine sasa vipi!? Kama unajui kiingereza fuatikia CNN tonight !!! IPO uck kuanzia SAA 7 uck!! Utajua ukweli achana namaneno ya vijiwen
haya sawa, Ukraine imeshinda vita, Ukraine imetwaa majimbo mengi tu ya Russia 🇷🇺 Umefurahi sasa 🫣
 
Mnapenda kweli kudanganya kujipa Matumaini.

Hizi ni nchi zenye wageni wengi COMPARE na raia.

View attachment 2227443

Kwenye nchi 12, 9 ni za kiarabu na 3 ni Macau, Hong Kong na Switzerland.

Nchi kama UAe (Dubai huko) asilimia 88 ni wageni na 12 tu ndio wazawa.

Angalia Wachezaji mpira, viongozi wa siasa, wacheza Tenis, Majambazi, Mabilionea kibao wanaenda Dubai kupumzika.

Ukikuta Nchi za kiarabu/kiislamu zina wakimbizi wengi ni
1. Kuna Vita
2. Case ya ukoloni.

Na hivyo vita waanzilishi wakubwa Ni hao west.

Raia Wa Oman, Uae ama Saudi akienda tu kusoma Ulaya unakuta wanampa Offer ya Uraia, ila mwenzangu na mimi wewe nenda hata Visa Tabu.
Ondoa hao wanaokwenda kuhiji au kufanya biashara. Tunazungumzia watu wanaokimbia nchi zao kutokana na sheria mbovu za ukandamizaji zilizopitwa na wakati na kukimbilia nchi zenye demokrasia kuishi maisha ya amani
 
Hata pro Russia, China wote wanatamani kuishi USA. Kwa hiyo tusidanganyane. Beberu USA ataendelea kututawala tu

Kwani ukienda kuishi marekani ndio hutakufa!!

Tunachokula cc na wao wanakula hicho hicho,

Kulala wanalala kama tunavyolala cc

Kuoga wanaoga kama tunavyo oga cc

Nguo wanavaa kama tunazovaa cc

Kunya wanakunya kama tunavyokunya cc

Hali ya hewa tuliyonayo ni nzuri zaidi ya huko!

Au point yako kushangaa wazungu na maghorofa yao?????



اعْلَمُوا أَنَّمَا الْحَيَاةُ الدُّنْيَا لَعِبٌ وَلَهْوٌ وَزِينَةٌ وَتَفَاخُرٌ بَيْنَكُمْ وَتَكَاثُرٌ فِي الْأَمْوَالِ وَالْأَوْلَادِ ۖ كَمَثَلِ غَيْثٍ أَعْجَبَ الْكُفَّارَ نَبَاتُهُ ثُمَّ يَهِيجُ فَتَرَاهُ مُصْفَرًّا ثُمَّ يَكُونُ حُطَامًا ۖ وَفِي الْآخِرَةِ عَذَابٌ شَدِيدٌ وَمَغْفِرَةٌ مِنَ اللَّهِ وَرِضْوَانٌ ۚ وَمَا الْحَيَاةُ الدُّنْيَا إِلَّا مَتَاعُ الْغُرُورِ
Jueni ya kwamba maisha ya dunia ni mchezo, na pumbao, na pambo, na kujifakhirisha baina yenu na kushindana kwa wingi wa mali na watoto. Mfano wake ni kama mvua ambayo huwafurahisha wakulima mimea yake, kisha hunyauka ukayaona yamepiga manjano kisha yakawa mabua. Na akhera kuna adhabu kali na maghfira kutoka kwa Mwenyezi Mungu na radhi. Na maisha ya dunia si chochote ila ni starehe ya udanganyifu.
 
Kabisa kwanza wanauliwa watu weusi, kukaa roho juu kisa Nini? Ninandugu yangu kule Texas, tukisikia Kuna mtu mweusi kapigwa risasi tunaanza kufatilia habari, kurud hataki nyumbani.
Bongo sirudi ng'ooo
 
Ukraine kapoteza 6000+ in short VP anajuta hakitegemea kua ngoma itakuwa nzito!/!!!
Imagine ameshindwa kumiliki anga ,mrusi ana poor security in short urusi kafeli vibaya sana anaona aibu kiondoka amebaki kubomoa gorofa za ikrain
 
Back
Top Bottom