Wa Russia, Uingereza, China, Arab, German, Hindi, Afrika wote wanatamani kuishi USA

Wa Russia, Uingereza, China, Arab, German, Hindi, Afrika wote wanatamani kuishi USA

Ukraine kapoteza 6000+ in short VP anajuta hakitegemea kua ngoma itakuwa nzito!/!!!
Imagine ameshindwa kumiliki anga ,mrusi ana poor security in short urusi kafeli vibaya sana anaona aibu kiondoka amebaki kubomoa gorofa za ikrain
 
Urusi kaisha babu hakuna kitu kilanchi hazimtaki Finland and Sweden wanajiunga NATO hahaaahha nakuapia by 2030 mrusi ataomba kujiunga EU na nato
haya sawa, Ukraine imeshinda vita, Ukraine imetwaa majimbo mengi tu ya Russia 🇷🇺 Umefurahi sasa 🫣
 
Ondoa hao wanaokwenda kuhiji au kufanya biashara. Tunazungumzia watu wanaokimbia nchi zao kutokana na sheria mbovu za ukandamizaji zilizopitwa na wakati na kukimbilia nchi zenye demokrasia kuishi maisha ya amani
Most of Time Vibaraka wa wazungu wanakimbilia ulaya.

Na Mtu akiharibu Ulaya anakimbilia mashariki Hasa Russia kama Snowden.

Then Kuna Middle East ambapo ni Free hakufungamani Na Ujamaa wala Ubepari. Kaangalie Dubai Uone Mijumba ya viongozi wako wa Ki Africa na Matajiri wengine.

Even Marehemu Mengi aliweka Makazi huko, na Alifariki Huko, Unafikiri Mengi Hakujui huko Kwengine ama Hana Fedha za Kuspend Huko?
 
Most of Time Vibaraka wa wazungu wanakimbilia ulaya.

Na Mtu akiharibu Ulaya anakimbilia mashariki Hasa Russia kama Snowden.

Then Kuna Middle East ambapo ni Free hakufungamani Na Ujamaa wala Ubepari. Kaangalie Dubai Uone Mijumba ya viongozi wako wa Ki Africa na Matajiri wengine.

Even Marehemu Mengi aliweka Makazi huko, na Alifariki Huko, Unafikiri Mengi Hakujui huko Kwengine ama Hana Fedha za Kuspend Huko?

Waafrika most of them walikaririshwa sehemu ya kukimbilia na kuishi ni ulaya/America tu🤣
 
Ukraine kapoteza 6000+ in short VP anajuta hakitegemea kua ngoma itakuwa nzito!/!!!
Imagine ameshindwa kumiliki anga ,mrusi ana poor security in short urusi kafeli vibaya sana anaona aibu kiondoka amebaki kubomoa gorofa za ikrain

Vipi mzee tandale huko mnasemaje?
 
Back
Top Bottom