Waachana siku tatu kabla ya ndoa


queenbaby am sorry waweza kunisaidia mawasiliano yyte ya mmojawapo au hata ya kwako niweze kufanya nao kipindi..mm ni mtangazaj samahn lkn kama hutojal
 
Chai ya moto sana hii
 
Ukiwa mbali na mkeo au mpenzi wako basi jua hapo mzee wanakupigia kinoma wahuni.Mwanamke ni ngumu kuhimili mitego ya wanaume jamani.hata akudanganye vipi we jua watu wanamgalagaza vya kutosha
[emoji16][emoji16] ndo mana mahusiano ya mbali ni mtihani kwa kweli
 
queenbaby am sorry waweza kunisaidia mawasiliano yyte ya mmojawapo au hata ya kwako niweze kufanya nao kipindi..mm ni mtangazaj samahn lkn kama hutojal
Kufa kufaana ndio hii
 
Yani mpk ndugu wa Mume wanasononeka.... Asa mi nikajiuliza hivi huyu kweli hakuwa na reserve jamn?...... maandaliz yote ayo angetafuta mke mwengine akamuoa fasta [emoji38][emoji38]
 
Ukiwa mbali na mkeo au mpenzi wako basi jua hapo mzee wanakupigia kinoma wahuni.Mwanamke ni ngumu kuhimili mitego ya wanaume jamani.hata akudanganye vipi we jua watu wanamgalagaza vya kutosha
Huo ndio ukweli kabisa...yaani lazima wakugegedee tuu mrembo wako la msingi ni kwamba hainaga makombo🤣🤣🤣🤣
 
Inakera sana baba mkwe alijifanya mjanja kumbe mwanae malaya mashavu yote ya chini yamelegea kwa mitulinga hapo kwa hasira angempeleka hotel akamvunje duka tu kama na iwe mbwai na iwe mbwai
[emoji16] baba mkwe alijidai mtu wa dini.... Mwanae haolewi mpk vipimo. Lbd alihisi mwanaume atakuwa ni mtu wa kuhanja hanja Sana, kumbe hakujua mtt wake ndio mama lao [emoji28][emoji28]
 
Kuna binti nilijiroga kuwa nae alikuja na mipesa mingi sana,alikua x wangu tulikua pamoja toka yuko secondary.tukaachana kila mtu kashika yake.
Ghafla akaja home yuko njema sana.
Nikimuuliza hela umetoa wapi ananifix kwamba anapiga deal za Tanzanite.
Tukarudiana fuko zima la hela kakabidhi.
Piga sana mechi
Badae binti kataka tukae pamoja.
Kumbe ni mchumba wa mtu.
Meneja mmoja wa Hotel kubwa enzi hizo.
Ndio anachukua mikopo anakabidhi kwa mkewe mtarajiwa.
Nikashughulikia kila kitu tukaanza ishi wote.
Kumbe mtaani kuna kijana anamfahamu maana walifanya wote kazi nae huko meneja alipo.
Sasa jamaa analoloma kazini.
'Mchumba wangu simwelewi"
Yupi?
"Si huyu alikuwepo hapa"
Sasa huyu dogo anamuona mtaani kila siku,na mkewe huyo dogo walikua mashoga na huyu demu wangu.
Dogo kamvuta jamaa pembeni kamweleza kila kitu.
Demu anaenda anaaga anafwata mauzo ya madini kumbe anachukua mshiko kwa jamaa.
Bana yule dogo akamleta jamaa mpaka home kamwonyesha wanakaa mule.
Duh .
Mwenye mchumba kaja kufumania asb sa 12.
Mi narudi(nilikua night club hapo mbowe)ndo nakuta majirani wanaondoka.
Nauliza vp wanasema mkeo alikua mchumba wa mtu.
Kamchukua wakayamalize kwa wazazi.
Nikawa nimetoa macho.
Badae nimeenda kwao mdogo wake ndio akanihakikishia kila kitu.
Nikapiga chini.
Demu karudi jioni anazuga hamna kilichotokea.
Alipata cm ya ghafla akaenda kwao kufix.
Nikamsimulia kila kitu na nikafukuzilia mbali.
Jamaa akaja siku ya pili tukaongea yakaisha.
Kumbuka hapo demu ana mimba yangu na jamaa kamwambia mimba yake.
Jamaa mpk tar ya mimba kaandika😂😂😂.
Mi ikabidi nimwambie tu mimba yako bana we lea.
Bahati mbaya miezi 4-5 nikaajiriwa kwenye kampuni moja na jamaa
Kwahiyo kila siku tunaonana kupeana majukumu.
Binti nae anakuja kuchukua matumizi naachiwa na jamaa nimpe.
Mtoto kashazaliwa anakua.
Jamaa kumbe anaangalia anamwangalia mtoto anaona hapa nimepigwa na chuma kizito.
Siku hiyo demu yuko pale ofisini kafata matumizi.
Jamaa alimtosa palepale.
Mi naona na akasema kabisa e bwana mwanao huyu muhudumie.
Ndio demu likaanza kulialia pale kujigalagaza kwangu na kusema ukweli kwamba ni kweli kwa huyo jamaa nilidanganya huyu mtoto wako.
Nilichojibu ni kwamba vizuri kujua .
Ila kwa sasa kapumzike kwanza.
Hatujaonana tena mpk leo.
 
Mimi ninachojua siku hizi mkitaka kufunga ndoa kwa upande wa wakristo Kuna baadhi ya madhehebu ni lazima mpime afya Mara nyingi HIV + UPt na vingine mtakavyoambiwa,Kuna rafiki yangu Naye ilimkuta mwaka 2016 walikua mwishoni kabisa kwenye maandalizi ya ndoa walivyoenda kupima binti akakutwa mjamzito na walikua hawajawahi kukutana kimwili alitafutiwa mchumba na wazazi wake kwa kigezo kwamba ni binti aliyekulia kwenye maadili ya dini.aisee huyo Kaka alichanganyikiwa mpaka leo hajaoa.
 
Yani mpk ndugu wa Mume wanasononeka.... Asa mi nikajiuliza hivi huyu kweli hakuwa na reserve jamn?...... maandaliz yote ayo angetafuta mke mwengine akamuoa fasta [emoji38][emoji38]
Vizuri umetambua umuhimu wa mwanaume kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja.....kidume lazima uwe na wanawake watatu at any given point ndio hutapata stress za mapenzi
 
Mimi ni mzazi na bibi angekuwa na mtoto tayari mme angekubali kumlea lakini mimba? Hatari
 
Nadhani wamekuelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…