Waachana siku tatu kabla ya ndoa

Usaliti ni ile mimba, je huyo aliyeolewa ni muaminifu (alikua bikra)?
 
Nimeikumbuka story ya jamaa aliemuacha binti wakati wa mahalii.
Inahuzunisha sanaaa kuoa mtu asiyejua anataka ninii.
Binti atabaki tu kusema nimekose Mimi nimekosa mimi,nimekosa sanaaa...
🤣🤣🤣🙌
 
Sijawahi kuona mtu anaenda pima ngoma anapewa na majibu ya HIV hii bila shaka ni kamba kama kamba nyingine.
We dr atafanyaje kipimo cha mimba wakati mhusika hajaja pima mimba
 
Nyie ndiyo wakamiaji wa harusi...yani mualikwa anapendeza kuliko wenye sherehe..tuna tu nguo yqko asee #joke[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nyie ndiyo wakamiaji wa harusi...yani mualikwa anapendeza kuliko wenye sherehe..tuna tu nguo yqko asee #joke[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1][emoji1] Wacha tule ubwabwa
 
Ushauri wa kijinga kuwahi kutokea
 
Wanaomshauri jamaa aoe hvyo hvyo waambie wananuka mavi...ushauri gani wa kipumbavu huo..PIGA CHINI KENGE YA KIJIVU HIYO
 
Wanaomshauri jamaa aoe hvyo hvyo waambie wananuka mavi...ushauri gani wa kipumbavu huo..PIGA CHINI KENGE YA KIJIVU HIYO
Ahahaha kashapigwa chini zamani Sana. Mwingine kashaolewa na ubwabwa tumekula
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…