Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Subiri malakat mauti alafu urudie tena hilo neno kulitamka "Hayupo" siku hiyo kutakuwa na kilio na kusaga meno..jifanye mjanja tu!Siamini.
Imani ni kutokuwa na uhakika.
Mimi najua Mungu hayupo.
Na wew umetokana na nini
Okey, sawa.Siamini.
Kwa tafsiri ya biblia, Imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana.Imani ni kutokuwa na uhakika.
Sasa kwanini unaulizia habari zake iwapo unajua kuwa hayupo? Una bipolar?Mimi najua Mungu hayupo.
Ulikaa tumboni miezi mingapi na ulipo zaliwa ulijijuaNimetokana na muunganiko wa sperm ya baba na yai la mama.
Aliye andika kitabu cha mwanzo cha Biblia,God is creative na tumeumbwa kwa mfano wake. Ukisoma kitabu cha mwanzo kinaelezea.
Vyote hivyo tulivyotengeneza wanadamu ni sababu tuna utashi wa kufikiri, kubuni na kuumba. Na uwezo wetu mpaka sasa umefikia kwenye kutatua matatizo yetu lakini sio kuongeza siku za kuishi wala kumfanya mtu aishi milele.
Kadri siku zinavyozidi kwenda ndivyo wanadamu anaongezeka maarifa. Wanadamu wa sasa hawana tofauti wa watu wa babilon waliojenga mnara kumfwata muumba wao.
Andiko lilishushwa hamna alie andikaAliye andika kitabu cha mwanzo cha Biblia,
Alisimuliwa na Mungu au alikuwepo kipindi uumbaji unafanyika ili aweke rekodi za maandiko?
Kipindi mwandishi huyo anaanza kuandika "Hapo mwanzo" yeye mwandishi mwanzo wake ni upi?
Au Mungu huyo kipindi anaumba ulimwengu, aliumba kwanza mwandishi wa kurekodi uumbaji wake?
Kabla ya "Hapo mwanzo" Mungu huyo alikuwa wapi?
Na huko alikokuwa kulitoka wapi?
Mungu huyo Hawezi kutokea tu
Ghafla bin vuuuuh! From Nothing Akaanza uumbaji.
Ndio maana dunia imekua km jiko la gesi kwa mambo km haya mnayowaza nyie vibaraka wa shetani.Aliye andika kitabu cha mwanzo cha Biblia,
Alisimuliwa na Mungu au alikuwepo kipindi uumbaji unafanyika ili aweke rekodi za maandiko?
Kipindi mwandishi huyo anaanza kuandika "Hapo mwanzo" yeye mwandishi mwanzo wake ni upi?
Au Mungu huyo kipindi anaumba ulimwengu, aliumba kwanza mwandishi wa kurekodi uumbaji wake?
Kabla ya "Hapo mwanzo" Mungu huyo alikuwa wapi?
Na huko alikokuwa kulitoka wapi?
Mungu huyo Hawezi kutokea tu
Ghafla bin vuuuuh! From Nothing Akaanza uumbaji.
Sasa kwa nini mseme, mtu akitenda mabaya ni shetani?According to bible MUNGU aliandaa mpango wa ukombozi wa binadamu kabla hata ya uumbaji wa binadamu. Inamaana kwamba MUNGU alijua binadamu atafanya mabaya na kwa mapenzi yake akachagua kuacha hayo mabaya yaje. Inamaama hakushindwa kuumba binadamu wema tu ila alichagua ubaya uwepo kwa sababu anazojua yeye na kwa mapenzi yake halafu akauandalia mpango kazi wa kuutokomeza.
HahahaMwenzangu wewe abudu tu mizimu yako mie muislamu naipenda dini yangu Quran ndo kitabu changu.
Namuomba Ψ§ΩΩΩ Ψ³Ψ¨ΨΨ§ΩΩ ΩΨͺΨΉΨ§ΩΩ na swala zangu za usiku, Dua zangu nikimuomba anipatia hitaji la moyo wangu bila Ibada nikikaa tu namuomba Mwenyeezi Mungu nibariki jambo flani anipa,mfano nimezaa watoto wa kiume wa 3 nikamuomba Mwenyeezi Mungu hii mimba ya 4 ndo ya mwisho nijaalie mtoto mzuri wa kike awe na dimples nywele za singa rangi sio mweupe sio mweusi na shape awe naye aiseee Allah kanijaalia nilicho muomba mpaka Gily Gru anasema mwanae atakuja kuowa π naanzaje kuombw mizimu.
Yani andiko lishushwe halafu liwe na stori za waisraeli tu?Andiko lilishushwa hamna alie andika
Yani andiko lishushwe halafu liwe na stori za waisraeli tu?Andiko lilishushwa hamna alie andika
Shetani huyo aliwezaje kuwepo?Ndio maana dunia imekua km jiko la gesi kwa mambo km haya mnayowaza nyie vibaraka wa shetani.
Kama unataka kujua habari za maandiko ya kitabu cha mwanzo, tafuta historia ya Musa na vitabu alivyoandika na namna alivyoviandika. Ila Haya ni masuala ya imani, iwapo huamini unapoteza muda wako.Aliye andika kitabu cha mwanzo cha Biblia,
Alisimuliwa na Mungu au alikuwepo kipindi uumbaji unafanyika ili aweke rekodi za maandiko?
Hapo mwanzo MUNGU aliziumba mbingu na nchi halafu ndo mambo mengine yakafuata.Au Mungu huyo kipindi anaumba ulimwengu, aliumba kwanza mwandishi wa kurekodi uumbaji wake?
Hatujui alipokuwa, hajawahi kuweka wazi hilo katika maandiko ila iliandikwa yeye hana mwanzo wala mwisho. Haya ni masuala ya imani, kama huamini unajipotezea muda.Kabla ya "Hapo mwanzo" Mungu huyo alikuwa wapi?
Haijawekwa wazi katika maandiko.Na huko alikokuwa kulitoka wapi?
Kwani ww unaamini chanzo cha ulimwengu ni nini?Mungu huyo Hawezi kutokea tu
Ghafla bin vuuuuh! From Nothing Akaanza uumbaji.
Akuweke huru wakati yeye mwenyewe kasurubiwa kama jambaziRudi mwenyewe, tushaijua kweli ambaye ni Yesu na yeye ametuweka huru..
Sababu Shetani a.k.a yake ni mabaya/uovu n.kSasa kwa nini mseme, mtu akitenda mabaya ni shetani?
Uwepo wa shetani ni MUNGU kauruhusuWakati unakiri kabisa Mungu huyo ameruhusu mabaya yawepo kwa sababu zake maalumu.
Hayo ni masuala yake, uumbaji ni wake, na yeye ndo anajua kwanini kaamua iwe hivyo.Nakwambia hivi [emoji116]
Mungu kama ameruhusu mabaya yawepo kwa sababu zake maalumu na uwezo wa kuumba Binadamu wema alikuwa nao ila hakufanya hivyo, Mungu huyo ni Mkatili sana.
Kama Mungu karuhusu uwepo wa shetani, Basi Mungu huyo ni Mkatili sana.Sababu Shetani a.k.a yake ni mabaya/uovu n.k
Uwepo wa shetani ni MUNGU kauruhusu
Hayo ni masuala yake, uumbaji ni wake, na yeye ndo anajua kwanini kaamua iwe hivyo.
Shetani ni kiumbe chake, alikiumba na alijua kitakuja kuasi na kumshawishi binadamu aasi na hakukizuia.Kama Mungu karuhusu uwepo wa shetani, Basi Mungu huyo ni Mkatili sana.
Sawa aliumba, Aliumba huku ana rekodi na kuandika kitabu cha mwanzo?Kama unataka kujua habari za maandiko ya kitabu cha mwanzo, tafuta historia ya Musa na vitabu alivyoandika na namna alivyoviandika. Ila Haya ni masuala ya imani, iwapo huamini unapoteza muda wako.
Hapo mwanzo MUNGU aliziumba mbingu na nchi halafu ndo mambo mengine yakafuata.
Aliye andika maandiko hayo ni nani?Hatujui alipokuwa, hajawahi kuweka wazi hilo katika maandiko ila iliandikwa yeye hana mwanzo wala mwisho. Haya ni masuala ya imani, kama huamini unajipotezea muda.
Ulimwengu hauna Chanzo.Haijawekwa wazi katika maandiko.
Kwani ww unaamini chanzo cha ulimwengu ni nini?
Sasa si ndio nakwambia Mungu huyo ni Mkatili sana kwa kuumba kiumbe shetani.Shetani ni kiumbe chake, alikiumba na alijua kitakuja kuasi na kumshawishi binadamu aasi na hakukizuia.
Maswali yako ni mepesi sana ila unadhani ni magumu sababu yanatoka kwa usiye na imani.Sawa aliumba, Aliumba huku ana rekodi na kuandika kitabu cha mwanzo?
Au aliye andika kitabu cha "mwanzo" cha Biblia ni nani?
Au Mungu huyo alikuwa anaumba kidogo kisha ana pause, ana rekodi alicho umba kisha ana endelea? π
Maandiko ya imani ipi? Kila imani ina maandiko yake.Aliye andika maandiko hayo ni nani?
Haya ni maandiko ya biblia kwa imani ya wakristo. Wewe unaamini katika biblia tuijadili?Au ni Mungu mwenyewe alijiandika hana mwanzo wala mwisho kwenye maandiko hayo hayo?
Hueleweki, kwani Kujieleza mwenyewe ni jambo la ajabu?Kwamba eti Mungu huyo anajieleza mwenyewe kwenye maandishi, Yani ana ji introduce himself...ππ
Unapojieleza kwenye CV yako huwa unajitekenya na kucheka?Sawa na mtu anaye jitekenya na kujicheka mwenyewe.
Unaamini ulimwengu hauna chanzo ila unashangaa wanaoamini kuwa chanzo cha ulimwengu ni MUNGU asiye na chanzo.Ulimwengu hauna Chanzo.