Utegemezi unakuja automatic kwasababu ya udhaifu wetu.Kitu dhaifu lazima kitegemee kilicho imara.Sisi ni dhaifu kuanzia mwili hadi akili ndo maana kila kitu tunategemea ngozi nyeupe itusaidie.Mmekuwa tegemezi mno, mnaona watu weupw ndio bora sana na nyie duni sana
Uafrica sio rangi lakini , Uafrica ni eneo linaitwa AfricaDuh, Paulo alikuwa Mwafrika?
Weupe ni wavamiziUafrica sio rangi lakini , Uafrica ni eneo linaitwa Africa
Aaah! ndio kitu gani hiiWeupe ni wavamizi
[emoji23][emoji23]Dini ya mtu mweusi ni Uislam tu, ni dini ya watu wote
Hizo dini waarabu na wazungu walizitoa wapi?waarabu walileta kitabu qur,an ilioandikwa kwa kiarabu kwa sasa zipo zilizo tafsiliwa tupe andiko humo linalo sema uisilamu ni dini ya waarabu tu au ni mila zaoUkristo na Uislam haviko kwa ajilibya mtu mweusi. Uislam ulibuniwa na Wazungu kwa ajili ya Waarabu.
Wakiwa kwenye harakati za kukuza tawala zao Wazungu na Waarabu wakatumia dini hizi kama ghiliba ya kumghilibu mtu mweusi wampe mikuluwani na miinjili kisha wapore tunu zote za mtu mweusi.
Mtu mweusi ndio mwanadamu pekee aliyeumbwa na Mungu.
Dini ya Wazungu ni Ukristo
Dini ya Waarabu ni Uislam
Dini ya Wahindi ni Hinduism
Waafrika tujitafute, kamwe hatutaheshika kwa kudharau tamaduni zetu na kuheshimu tamaduni za wageni.
Naongezea mtemi akifa anazikwa na mtu mzima kwa lazimaMkuu! Ulishawahi kuchimba hicho kitu kinachoitwa mila na desturi za waafrica? Hebu Ingia kwa undani uone! Kulikuwa na tabaka mbili za watawala na watawaliwa! Watawala walikuwa wanamiliki kila kitu!
Mtawala akitaka kucheka anatwaliwa mtawaliwa anaondolewa/anakatwa nyama za mdomo zinazofunika meno, alafu meno yanaoneka wazi kana kwamba anacheka huku akivuja damu ndo mtawala anacheka na kuburudika! Ukiwa na ardhi nzuri, mke mzuri, watoto wenye afya na nguvu, mifugo mizuri, n.k.
Unanyanganywa! Kwa ufupi na ujasiri mkubwa kama utapata fursa ya kuchimba hizo tabaka mbili zilivyokuwa zinaishi kabla ya ukristo utakiri bora ni kipi!
Kwer kabisaUkristo na Uislam haviko kwa ajilibya mtu mweusi. Uislam ulibuniwa na Wazungu kwa ajili ya Waarabu.
Wakiwa kwenye harakati za kukuza tawala zao Wazungu na Waarabu wakatumia dini hizi kama ghiliba ya kumghilibu mtu mweusi wampe mikuluwani na miinjili kisha wapore tunu zote za mtu mweusi.
Mtu mweusi ndio mwanadamu pekee aliyeumbwa na Mungu.
Dini ya Wazungu ni Ukristo
Dini ya Waarabu ni Uislam
Dini ya Wahindi ni Hinduism
Waafrika tujitafute, kamwe hatutaheshika kwa kudharau tamaduni zetu na kuheshimu tamaduni za wageni.
Unajua pia wazungu walikuwa wanakula ndugu zao wa damu hadharan?Mkuu! Ulishawahi kuchimba hicho kitu kinachoitwa mila na desturi za waafrica? Hebu Ingia kwa undani uone! Kulikuwa na tabaka mbili za watawala na watawaliwa! Watawala walikuwa wanamiliki kila kitu!
Mtawala akitaka kucheka anatwaliwa mtawaliwa anaondolewa/anakatwa nyama za mdomo zinazofunika meno, alafu meno yanaoneka wazi kana kwamba anacheka huku akivuja damu ndo mtawala anacheka na kuburudika! Ukiwa na ardhi nzuri, mke mzuri, watoto wenye afya na nguvu, mifugo mizuri, n.k.
Unanyanganywa! Kwa ufupi na ujasiri mkubwa kama utapata fursa ya kuchimba hizo tabaka mbili zilivyokuwa zinaishi kabla ya ukristo utakiri bora ni kipi!
Uislam ni dini ya WaarabuDini ya mtu mweusi ni Uislam tu, ni dini ya watu wote
Ila kwer lkn utakuta Wana taka ata kuuana kisa warabuUislam ni dini ya Waarabu
Wako kwenye utumwaIla kwer lkn utakuta Wana taka ata kuuana kisa warabu
Ni vigumu kuongelea swala la Imani lakn kuna nyakati naona tumepigwa kitanzi bila ya sisi kujua wenyew lkn ukihoji sana Utaambiwa umezaliwa unakuta wazazi wako wapo humo wew waenda wapi nawe Kaa umo umoWako kwenye utumwa
Unamfokea nani Sasa?Hayo uyasemayo umeyatoa kwenye source ipi nasi tukapate maarifa huko hasa hilo la watu weusi kuwa wazawa halisi wa mashariki ya kati
Utajua wewe na bwana wakoUjinga umetujaaa vichwani wengi watakubishia !!; Ila mm naungana na wewe 100 percent!!
Tunajifanya waarabu au wazungu kumbe puuuuuuu!!! Hakuna uhusiani wowote!!
Unakuta eti muafrika mweusiiii kama mm namuua mwafrika mwezie mweusi kisa sio dini yake!? Yan wao waarabu na wazungu hutushangaa sana
Umekengeuka lini mtumishi?Ukristo na Uislam haviko kwa ajilibya mtu mweusi. Uislam ulibuniwa na Wazungu kwa ajili ya Waarabu.
Wakiwa kwenye harakati za kukuza tawala zao Wazungu na Waarabu wakatumia dini hizi kama ghiliba ya kumghilibu mtu mweusi wampe mikuluwani na miinjili kisha wapore tunu zote za mtu mweusi.
Mtu mweusi ndio mwanadamu pekee aliyeumbwa na Mungu.
Dini ya Wazungu ni Ukristo
Dini ya Waarabu ni Uislam
Dini ya Wahindi ni Hinduism
Waafrika tujitafute, kamwe hatutaheshika kwa kudharau tamaduni zetu na kuheshimu tamaduni za wageni.