Waafrika uongozi umetushinda; huo ndo ukweli hatakama hatuupendi

Waafrika uongozi umetushinda; huo ndo ukweli hatakama hatuupendi

Umaslkini wa maono,umaskini wa kuvumiliana,umaskini wa kuwaona wapinzani ni adui,umaskini wa kila jambo ndio shida ya Afrika.
Lakini inadaiwa waafrika wa zamani ya Mafarao wa Misri,Afrika ya Mansa Mussa wa Mali,Afrika ya Queen Sheba wa Ethiopia n.k ilikuwa juu ya Dunia kimaendeleo.Kwanini hatujitambui?
Hakuna kiongozi wa afrika anayeweza ona mwaka 2030 ukoje
 
Ukiona nimeandika senstensi ina makosa ujue ni type error.

Na siwezi chat na mbwa kama wewe, we ni dogii tena ile inakula jalalani na kulala nje.
Sasa type error ndiyo nini? Nadhani umeona wewe ni mtu wa aina gani na ndiyo maana wewe ni mfuasi wa bashite kulingana na akili zako
 
Hivi hatuwezi kutangaza nafasi za kazi kwa kule juu hasa kwa watu toka Scandinavia countries waje watuongoze japo kwa miaka mitano? Binafsi napendekeza nafasi hizi;
1. ..................................................................
2.Waziri wa fedha
3. Waziri wa Nishati na madini
4. Waziri wa Ujenzi na uchukuzi
5. Waziri wa ustawi wa jamii
6. waziri wa mambo ndani
6. Waziri wa mazingira
7. waziri wa mambo ya nje
8. Waziri wa kazi na ajira
9. waziri wa sheria na katiba.
Ikipita miaka 5 naapa tusingependa tena waondoke na nchi ingekuwa imepaa kwa kasi sana!
 
Sasa type error ndiyo nini? Nadhani umeona wewe ni mtu wa aina gani na ndiyo maana wewe ni mfuasi wa bashite kulingana na akili zako
Its was typographical error, typo,, nazungumza na simu inaandika, labda haikunisikia vizuri, natumia real-time speech recognition, sishabikii chama chochote .
 
Back
Top Bottom