Waafrika uongozi umetushinda; huo ndo ukweli hatakama hatuupendi

Waafrika uongozi umetushinda; huo ndo ukweli hatakama hatuupendi

Naye level yake ya kinyampara ni staili ya kuongoza kijiji siyo dola au taifa..


Uongozi wa dola / state au taifa ni zaidi ya kuongoza kijiji.

Kuongoza nchi unatizama nchi nzima fursa / mapungufu na pia fursa nje ya mipaka, hilo waafrika limetushinda.

Shake up your thinking by looking at the world from the perspective of a particular country, industry, or company. “Rooted” maps and Strategy mapping is your roadmap to success

Strategy maps provide a clear view of your overarching organizational goals and objectives. With a well-rounded strategy map, you can see how your various goals connect and influence one another—and you'll be able to take actionable steps toward those goals
View attachment 2898776
Hahaha daah
 
We ulishasikia wapi Tanzania rais anawajibishwa baada ya uongozi mbovu kwenye awamu yake? Utasikia South Africa na nchi zingine ulimwengu wa kwanza ndio wanafanya hivyo.
Ndio maana S.Africa imefikia viwango vikubwa vya maendeleo ktk nyanja mbali mbali.
 
Utawala wa mabavu ndio ulipelekea suala la umeme kuwa shwari, sasa hivi mnapanua midomo mkilia umeme kama makinda ya ndege wanasubiri kulishwa chakula na mama yao.
Na bado mnadanganywa kina cha maji, mvua, mara transformer zimeibiwa, mara ukarabati wa mashine, kila siku ni story mpya.

Haijulikani lipi ni lipi.

Ni ngumu kumuaminisha mtu, ndio maana huamini kwa sababu kuamini hakuhitaji evidence.

Ndio maana kuna imani za kidini.

Suala la umeme halijawahi kuboreka ndani ya nchi hii kwa zaidi ya miaka 30, ni kweli mgao kwa sasa ni mkali, lakini haimaanishi tatizo liliwahi kuisha. Usidhani hatuna kumbukumbu vizuri boss. Hata kipindi Cha dhalimu magu mgao ulikuwepo na ushahidi upo. Ww kama ni muumini wa viongozi walevi wa madaraka hiyo ni kimpango wako, lakini huwezi kutulazimisha kuona ulevi wa madaraka ndio utawala sahihi.
 
Suala la umeme halijawahi kuboreka ndani ya nchi hii kwa zaidi ya miaka 30, ni kweli mgao kwa sasa ni mkali, lakini haimaanishi tatizo liliwahi kuisha. Usidhani hatuna kumbukumbu vizuri boss. Hata kipindi Cha dhalimu magu mgao ulikuwepo na ushahidi upo. Ww kama ni muumini wa viongozi walevi wa madaraka hiyo ni kimpango wako, lakini huwezi kutulamisha kuona ulevi wa madaraka ndio utawala sahihi.
Mgao hata South Africa na Nigeria upo we unashangaa nini wakati wa JPM kuwepo na mgao baadhi ya maeneo na ilikuwa si mara kwa mara, pia alijitahidi sana kwa muda mchache vile kuzima mgao ikizingatiwa nchi ilikuwa inanuka shida.
Sasa hivi mgao huu haijawahi tokea, hii ni kali.

Angeendelea awamu nyingine mgao ingekuwa historia.

Mtakataa lakini ukweli mnaujua, JPM alikuwa kiboko, vimbeni mpasuke lakini yule mzee respect.
 
JPM pekee ndiye aliiweza hii nchi.
Aliivuruga nchi na ikavuruguka kweli kweli. Ndiye mwanzilisha mpaka wa vikundi vya kufanya uovu na watu wasiyojulikana, chanzo cha kuwepo watu kama Bashite
 
Aliivuruga nchi na ikavuruguka kweli kweli. Ndiye mwanzilisha mpaka wa vikundi vya kufanya uovu na watu wasiyojulikana, chanzo cha kuwepo watu kama Bashite
Sio vikundi vya kufanya uovu, sema vikundi vya kurekebisha tabia.
 
Ngozi nyeusi haiwezi kujitawala. Ndio maana miaka 60 sasa hata sukari tu imetushinda!
Ukikaa na kuitegemea serikali hasa kwa nchi za kiafrika jua utakufa masikini. Fanya yako na jiangalie wewe kama wewe
 
We ulishasikia wapi Tanzania rais anawajibishwa baada ya uongozi mbovu kwenye awamu yake? Utasikia South Africa na nchi zingine ulimwengu wa kwanza ndio wanafanya hivyo.
Huyo Magufuli na Bunge lake la Chama kimoja angeweza kuwaondolea Immunity na kuwaweka Jela ila yeye mwenyewe alikuwa ni Kiongozi mbovu.
 
Baada ya miaka 60+ Tumefeli kabisa kwenye swala la umeme.

Ukija kwenye maji mfano kwa Dar es Salaam kuna maeneo wana week ya pili maji hayatoki despite kulikua na mvua za vuli dawasco nao wanasema tatizo ni umeme eti ni mdogo hauwezi kupush maji-kipindi cha nyuma walikua wanasema tatizo ni upungufu wa mvua safari hii mvua zimenyesha wameona wahamishe magoli.

Kuna mda tukubali hii nchi kama waafrika imetushinda kuongoza huo ndo ukweli hii ni total failure.

Hata ukija kwenye mpira timu zetu makocha wao wengi ni wazungu. Kwenye management waafrika ni changamoto hatuna maono.

Nchi ya haiti ilipata uhuru mwaka 1840's huko ila mpaka leo hakuna function government na ni maskini wakutupa, same kwa somalia nchi zote hizi ni za Waafrika.
Tunajilimbikizia mimali kwanza ili tukiacha kazi tusichekwe !
Pia kazi na Bata kama kawaida !
Mimi nimefanya yangu na wengine watakuja nao watafanya yao. !!
Hayo ndio mawazo yetu !!
 
Huyo Magufuli na Bunge lake la Chama kimoja angeweza kuwaondolea Immunity na kuwaweka Jela ila yeye mwenyewe alikuwa ni Kiongozi mbovu.
Nadhani nia yake ilikuwa hiyo ila bahati mbaya ikawa too late !
 
Hii nchi tunahtaji wat wenye akili
Hiv unajua ni Kwa nn mikoa ya Kanda ya ziwa ilikuwa haina maji na ziwa Victoria lipo
Ila
Gas imeweza kutoka mtwara mpaka dar bila shida yeyote
 
Wizi ndio mmeona dili la maana, yaani kila mahali wizi, rushwa, dhulma na hata vifo
Kweli mmetumia 3b na ushee kwa ajili ya hifadhi wakati mnazo kibao
Huu sio umasikini bali mmeamua kuwaachia baadhi wawaibie tu
Screenshot_20240209_135117_Instagram~2.png
 
Baada ya miaka 60+ Tumefeli kabisa kwenye swala la umeme.

Ukija kwenye maji mfano kwa Dar es Salaam kuna maeneo wana week ya pili maji hayatoki despite kulikua na mvua za vuli dawasco nao wanasema tatizo ni umeme eti ni mdogo hauwezi kupush maji-kipindi cha nyuma walikua wanasema tatizo ni upungufu wa mvua safari hii mvua zimenyesha wameona wahamishe magoli.

Kuna mda tukubali hii nchi kama waafrika imetushinda kuongoza huo ndo ukweli hii ni total failure.

Hata ukija kwenye mpira timu zetu makocha wao wengi ni wazungu. Kwenye management waafrika ni changamoto hatuna maono.

Nchi ya haiti ilipata uhuru mwaka 1840's huko ila mpaka leo hakuna function government na ni maskini wakutupa, same kwa somalia nchi zote hizi ni za Waafrika.
kazi inaendelea vizuri sana karibu kile eneo hususani katika jijini la dar es salaam nadhani unaona huko uliko.....
 
Nadhani nia yake ilikuwa hiyo ila bahati mbaya ikawa too late !
Sikuiona hiyo NIA ila nilichoona ni NIA yake ya kuifanya CCM iwe na nguvu (ktk mtazamo wake) iwe kama Zama za Mwalimu Nyerere, wakati wa sera ZILIZOFELI za UJAMAA na KUJITEGEMEA .

Pamoja na kuwa na PhD lakini alikuwa na uelewa mdogo sana haswa kuhusu SIASA na NYAKATI.

Ile kauli mbiu yake ya MATAJIRI WATAISHI KAMA MASHETANI alikua anataka "kuigiza" lile AZIMIO LA ARUSHA LA MWALIMU NA KAWAWA WAKE.

Mimi nilimpigia Kampeni Magufuli sana Kitaani na hata humu JF lakini nilipogundua kuwa huyu ni CHIZI anaerusha Ngumi hewani itakayompiga ni huyo huyo nilijitenga nae mbali nikawa ni Critic wake na hatimae nikakihama na Chama Cha Mapinduzi alichokigeuza kuwa kuwa Genge la Kimafia.
 
Back
Top Bottom