Waafrika uongozi umetushinda; huo ndo ukweli hatakama hatuupendi

Waafrika uongozi umetushinda; huo ndo ukweli hatakama hatuupendi

Mgao hata South Africa na Nigeria upo we unashangaa nini wakati wa JPM kuwepo na mgao baadhi ya maeneo na ilikuwa si mara kwa mara, pia alijitahidi sana kwa muda mchache vile kuzima mgao ikizingatiwa nchi ilikuwa inanuka shida.
Sasa hivi mgao huu haijawahi tokea, hii ni kali.

Angeendelea awamu nyingine mgao ingekuwa historia.

Mtakataa lakini ukweli mnaujua, JPM alikuwa kiboko, vimbeni mpasuke lakini yule mzee respect.

Narudia tena mgao haujawahi kuisha nchi hii toka 90's, nakubaliana na ww kuwa wakati wa Magufuli kuwa mgao haukuwa kwa kiwango hiki, na katika sehemu chache nilizokubaliana naye ni kwenye hili, lakini sio tatizo kuisha. Maelezo yako unataka tuamini ulevi wa madaraka ndio suluhu la kupata maendeleo, hiyo ni primitive way of thinking. Naamini kwenye mifumo kuliko mlevi mmoja wa madaraka kuburuza watu.
 
Mifumo inajiendeshea tu automatically au inasimamiswa na watu hawo hawa wezi

Wataacha kuwa wezi wakati walioko madarakani wako kwa wizi wa kura? Mifumo iwe imara, waangie viongozi wenye ridhaa ya umma, na mifumo iweze kuwawajibisha, isiwe Kuna mwenye Kinga ya kutoshitakiwa, uone kama huu upuuzi wa majizi utaendelea. Sasa unapata mtu mwenye Kinga ya kutoshitakiwa, ila anaingia madarakani kwa kupora uchaguzi, hapo unategemea Nini?
 
Anamaanisha huduma kwa jamii, poverty huwezi kueliminate kwa muda mfupi, it is a long time goal strategy!
Zaidi ya kuua raia wake sidhani kama kuna kingine. Ila Tanzania kuna vituko sana, mtu kama yule ilikuwaje akawa Rais wa nchi. Mchezo mchezo unaweza kuja shangaa Bashite na yeye akawa rais wa wanyonge [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tumefeli kabisa, ndio maana Afrika kusini chama cha makaburu (DA) ndio chama kikuu cha upinzani kinashikilia majiji makubwa na maendeleo wanayaona.

Waliaminishwa ubaguzi ukiisha nchi itakua kiuchumi, cha ajabu wasauzi ni maskini zaidi sasa kuliko walivyokua chini ya makaburu!

Waafrika sijui tuna matatizo gani.
Tatizo ya waafrica roho zao nyeusi kama ngozi zao. Na wamejaa ulafi tuu
 
Wale jamaa wa tanesko kabla ya kukata umeme hua wanasema kwanza "mwenyewe" alafu wanakata kwa hiyo tusi lolote utakalo tukana baada ya umeme kukatika tayali umeambiwa "mwenyewe"
 
Baada ya miaka 60+ Tumefeli kabisa kwenye swala la umeme.

Ukija kwenye maji mfano kwa Dar es Salaam kuna maeneo wana week ya pili maji hayatoki despite kulikua na mvua za vuli dawasco nao wanasema tatizo ni umeme eti ni mdogo hauwezi kupush maji-kipindi cha nyuma walikua wanasema tatizo ni upungufu wa mvua safari hii mvua zimenyesha wameona wahamishe magoli.

Kuna mda tukubali hii nchi kama waafrika imetushinda kuongoza huo ndo ukweli hii ni total failure.

Hata ukija kwenye mpira timu zetu makocha wao wengi ni wazungu. Kwenye management waafrika ni changamoto hatuna maono.

Nchi ya haiti ilipata uhuru mwaka 1840's huko ila mpaka leo hakuna function government na ni maskini wakutupa, same kwa somalia nchi zote hizi ni za Waafrika.
Nakubaliana na wewe tatizo sisi Waafrika hatupo tayari kufa kutetea haki zetu. Hiyo ni shida. Mhuni mmoja anaweza kuwatawala watu milioni moja, sitini.

Mkizingua anaua kumi anawapa uchawa wengine 50 mamlaka wahuni 20, wapiga debe 100 wamsifie na vyombo vyote vya habari lazima vimtangaze na vyama vichache vya upinzani vyeo, ruzuku, asali.
Amemaliza. Upo sawa kwenye hili.
 
So watu kama Bashite na Saambaya ndiyo watu wake wa kurekebisha tabia, kuwa serious basi hata kama hazimo
Huyo Bashite sasa hivi yuko wapi, si ndio anashangiliwa kila mahali.

Yule mwingine alikuwa na kiburi na alimdharau mh kipindi kile, lakini asingefanya vile sasa hivi hizi shida zisingemkuta.

Hio ndio siasa na hio ndio CCM.
 
Baada ya miaka 60+ Tumefeli kabisa kwenye swala la umeme.

Ukija kwenye maji mfano kwa Dar es Salaam kuna maeneo wana week ya pili maji hayatoki despite kulikua na mvua za vuli dawasco nao wanasema tatizo ni umeme eti ni mdogo hauwezi kupush maji-kipindi cha nyuma walikua wanasema tatizo ni upungufu wa mvua safari hii mvua zimenyesha wameona wahamishe magoli.

Kuna mda tukubali hii nchi kama waafrika imetushinda kuongoza huo ndo ukweli hii ni total failure.

Hata ukija kwenye mpira timu zetu makocha wao wengi ni wazungu. Kwenye management waafrika ni changamoto hatuna maono.

Nchi ya haiti ilipata uhuru mwaka 1840's huko ila mpaka leo hakuna function government na ni maskini wakutupa, same kwa somalia nchi zote hizi ni za Waafrika.
Kila kitu tu

Hasa wanongo

Wenzetu wako busy kichapo kazi , sisi tunalalama…. Tena online
 
Huyo Bashite sasa hivi yuko wapi, si ndio anashangiliwa kila mahali.

Yule mwingine alikuwa na kiburi na alimdharau mh kipindi kile, lakini asingefanya vile sasa hivi hizi shida zisingemkuta.

Hio ndio siasa na hio ndio CCM.
Huoni watu wanaomshangilia ni watu kama wewe. Hata kuandika sentensi ambayo haina makosa ni shida. Watu wapumbavu na kwa bahati mbaya ni wengi sana nchini Tanzania ndiyo wanaomshangilia, kama unabisha kwenye hili jiulize ni nani ambaye ana akili timamu anamshangilia huyo mtu
 
Huoni watu wanaomshangilia ni watu kama wewe. Hata kuandika sentensi ambayo haina makosa ni shida. Watu wapumbavu na kwa bahati mbaya ni wengi sana nchini Tanzania ndiyo wanaomshangilia, kama unabisha kwenye hili jiulize ni nani ambaye ana akili timamu anamshangilia huyo mtu
Ukiona nimeandika senstensi ina makosa ujue ni type error.

Na siwezi chat na mbwa kama wewe, we ni dogii tena ile inakula jalalani na kulala nje.
 
1706158260354.jpg
 
Sikuiona hiyo NIA ila nilichoona ni NIA yake ya kuifanya CCM iwe na nguvu (ktk mtazamo wake) iwe kama Zama za Mwalimu Nyerere wakati wa sera ZILIZOFELI za UJAMAA na KUJITEGEMEA .

Pamoja na kuwa na PhD laniki alikuwa na uelewa mdogo sana haswa kuhusu SIASA na NYAKATI.

Ile kauli mbiu yake ya MATAJIRI WATAISHI KAMA MASHETANI alikua anataka "kuigiza" lile AZIMIO LA ARUSHA LA MWALIMU NA KAWAWA WAKE.

Mimi nilimpigia Kampeni Magufuli sana Kitaani na hata humu JF lakini nilipogundua kuwa huyu ni CHIZI anaerusha Ngumi hewani itakayompiga ni huyo huyo nilijitenga nae mbali nikawa ni Critic wake na hatimae nikakihama na Chama Cha Mapinduzi alichokigeuza kuwa kuwa Genge la Mafia.
Duh 🙄 !
Kumbe !
 
Umaslkini wa maono,umaskini wa kuvumiliana,umaskini wa kuwaona wapinzani ni adui,umaskini wa kila jambo ndio shida ya Afrika.
Lakini inadaiwa waafrika wa zamani ya Mafarao wa Misri,Afrika ya Mansa Mussa wa Mali,Afrika ya Queen Sheba wa Ethiopia n.k ilikuwa juu ya Dunia kimaendeleo.Kwanini hatujitambui?
 
Back
Top Bottom