Hiyo reserv ikiisha utakojolea hukoUmasikini ni akili.
Funga solar, chimba kisima au tengeneza reserve kubwa ya maji.
Naona kama kuna mkakati wa kulazimishana hatabtusiotaka tufe masikini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo reserv ikiisha utakojolea hukoUmasikini ni akili.
Funga solar, chimba kisima au tengeneza reserve kubwa ya maji.
Naona kama kuna mkakati wa kulazimishana hatabtusiotaka tufe masikini.
Mifumo inajiendeshea tu automatically au inasimamiswa na watu hawo hawa weziYuko wapi na ubabe wake? Tunataka mifumo inayowajibika, ww unaleta story za mlevi wa madaraka!
Ni Upigaji tu Bibie analembua tu.Wizi ndio mmeona dili la maana, yaani kila mahali wizi, rushwa, dhulma na hata vifo
Kweli mmetumia 3b na ushee kwa ajili ya hifadhi wakati mnazo kibao
Huu sio umasikini bali mmeamua kuwaachia baadhi wawaibie tuView attachment 2898842
Mgao hata South Africa na Nigeria upo we unashangaa nini wakati wa JPM kuwepo na mgao baadhi ya maeneo na ilikuwa si mara kwa mara, pia alijitahidi sana kwa muda mchache vile kuzima mgao ikizingatiwa nchi ilikuwa inanuka shida.
Sasa hivi mgao huu haijawahi tokea, hii ni kali.
Angeendelea awamu nyingine mgao ingekuwa historia.
Mtakataa lakini ukweli mnaujua, JPM alikuwa kiboko, vimbeni mpasuke lakini yule mzee respect.
Mifumo inajiendeshea tu automatically au inasimamiswa na watu hawo hawa wezi
So watu kama Bashite na Saambaya ndiyo watu wake wa kurekebisha tabia, kuwa serious basi hata kama hazimoSio vikundi vya kufanya uovu, sema vikundi vya kurekebisha tabia.
Siyo mbovu bali na muovuHuyo Magufuli na Bunge lake la Chama kimoja angeweza kuwaondolea Immunity na kuwaweka Jela ila yeye mwenyewe alikuwa ni Kiongozi mbovu.
Zaidi ya kuua raia wake sidhani kama kuna kingine. Ila Tanzania kuna vituko sana, mtu kama yule ilikuwaje akawa Rais wa nchi. Mchezo mchezo unaweza kuja shangaa Bashite na yeye akawa rais wa wanyonge [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anamaanisha huduma kwa jamii, poverty huwezi kueliminate kwa muda mfupi, it is a long time goal strategy!
Tatizo ya waafrica roho zao nyeusi kama ngozi zao. Na wamejaa ulafi tuuTumefeli kabisa, ndio maana Afrika kusini chama cha makaburu (DA) ndio chama kikuu cha upinzani kinashikilia majiji makubwa na maendeleo wanayaona.
Waliaminishwa ubaguzi ukiisha nchi itakua kiuchumi, cha ajabu wasauzi ni maskini zaidi sasa kuliko walivyokua chini ya makaburu!
Waafrika sijui tuna matatizo gani.
Nakubaliana na wewe tatizo sisi Waafrika hatupo tayari kufa kutetea haki zetu. Hiyo ni shida. Mhuni mmoja anaweza kuwatawala watu milioni moja, sitini.Baada ya miaka 60+ Tumefeli kabisa kwenye swala la umeme.
Ukija kwenye maji mfano kwa Dar es Salaam kuna maeneo wana week ya pili maji hayatoki despite kulikua na mvua za vuli dawasco nao wanasema tatizo ni umeme eti ni mdogo hauwezi kupush maji-kipindi cha nyuma walikua wanasema tatizo ni upungufu wa mvua safari hii mvua zimenyesha wameona wahamishe magoli.
Kuna mda tukubali hii nchi kama waafrika imetushinda kuongoza huo ndo ukweli hii ni total failure.
Hata ukija kwenye mpira timu zetu makocha wao wengi ni wazungu. Kwenye management waafrika ni changamoto hatuna maono.
Nchi ya haiti ilipata uhuru mwaka 1840's huko ila mpaka leo hakuna function government na ni maskini wakutupa, same kwa somalia nchi zote hizi ni za Waafrika.
Huyo Bashite sasa hivi yuko wapi, si ndio anashangiliwa kila mahali.So watu kama Bashite na Saambaya ndiyo watu wake wa kurekebisha tabia, kuwa serious basi hata kama hazimo
Kila kitu tuBaada ya miaka 60+ Tumefeli kabisa kwenye swala la umeme.
Ukija kwenye maji mfano kwa Dar es Salaam kuna maeneo wana week ya pili maji hayatoki despite kulikua na mvua za vuli dawasco nao wanasema tatizo ni umeme eti ni mdogo hauwezi kupush maji-kipindi cha nyuma walikua wanasema tatizo ni upungufu wa mvua safari hii mvua zimenyesha wameona wahamishe magoli.
Kuna mda tukubali hii nchi kama waafrika imetushinda kuongoza huo ndo ukweli hii ni total failure.
Hata ukija kwenye mpira timu zetu makocha wao wengi ni wazungu. Kwenye management waafrika ni changamoto hatuna maono.
Nchi ya haiti ilipata uhuru mwaka 1840's huko ila mpaka leo hakuna function government na ni maskini wakutupa, same kwa somalia nchi zote hizi ni za Waafrika.
Huoni watu wanaomshangilia ni watu kama wewe. Hata kuandika sentensi ambayo haina makosa ni shida. Watu wapumbavu na kwa bahati mbaya ni wengi sana nchini Tanzania ndiyo wanaomshangilia, kama unabisha kwenye hili jiulize ni nani ambaye ana akili timamu anamshangilia huyo mtuHuyo Bashite sasa hivi yuko wapi, si ndio anashangiliwa kila mahali.
Yule mwingine alikuwa na kiburi na alimdharau mh kipindi kile, lakini asingefanya vile sasa hivi hizi shida zisingemkuta.
Hio ndio siasa na hio ndio CCM.
Ukiona nimeandika senstensi ina makosa ujue ni type error.Huoni watu wanaomshangilia ni watu kama wewe. Hata kuandika sentensi ambayo haina makosa ni shida. Watu wapumbavu na kwa bahati mbaya ni wengi sana nchini Tanzania ndiyo wanaomshangilia, kama unabisha kwenye hili jiulize ni nani ambaye ana akili timamu anamshangilia huyo mtu
Duh 🙄 !Sikuiona hiyo NIA ila nilichoona ni NIA yake ya kuifanya CCM iwe na nguvu (ktk mtazamo wake) iwe kama Zama za Mwalimu Nyerere wakati wa sera ZILIZOFELI za UJAMAA na KUJITEGEMEA .
Pamoja na kuwa na PhD laniki alikuwa na uelewa mdogo sana haswa kuhusu SIASA na NYAKATI.
Ile kauli mbiu yake ya MATAJIRI WATAISHI KAMA MASHETANI alikua anataka "kuigiza" lile AZIMIO LA ARUSHA LA MWALIMU NA KAWAWA WAKE.
Mimi nilimpigia Kampeni Magufuli sana Kitaani na hata humu JF lakini nilipogundua kuwa huyu ni CHIZI anaerusha Ngumi hewani itakayompiga ni huyo huyo nilijitenga nae mbali nikawa ni Critic wake na hatimae nikakihama na Chama Cha Mapinduzi alichokigeuza kuwa kuwa Genge la Mafia.