Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,963
- 13,287
Malori na mabasi...Serikali inajenga reli ili watu wasafiri na biashara ifanyike Kwa ufanisi wanatokea kikundi cha watu Fulani wanaenda kuhujumu miundombinu ya reli Kwa kubomoa ili biashara ya malori iendelee kufanyika....hii ndiyo Akili ya mwafrica inapoishia
INAUMA SANA