nasrimgambo
JF-Expert Member
- Jan 10, 2017
- 1,902
- 2,488
Huyo mwanajeshi anasifika sasa hivi subiri madaraka yamkolee kichwani, ni Idi Amin mpyaWaliofanya mapinduzi huko Afrika ya Magharibi kwa sasa wanaonekana ni mashujaa.
Kila kona kwenye mitandao ya kijamii wamapostiwa kuwa ni mashujaa
Ni dhahiri sasa waafrika wengi wamechoshwa na ufisadi na matumizi ya madaraka
View attachment 2709847
Naunga mkono hojaWaliofanya mapinduzi huko Afrika ya Magharibi kwa sasa wanaonekana ni mashujaa.
Kila kona kwenye mitandao ya kijamii wamapostiwa kuwa ni mashujaa
Ni dhahiri sasa waafrika wengi wamechoshwa na ufisadi na matumizi ya madaraka
View attachment 2709847
Nchi nyingi za afirika magharibi zimepitia mapinduzi lakini hakuna la maana zaidi ya kua watu wasio kuwa na makosa wengi wanao sherehekea mapinduzi ni wapumbavuWaliofanya mapinduzi huko Afrika ya Magharibi kwa sasa wanaonekana ni mashujaa.
Kila kona kwenye mitandao ya kijamii wamapostiwa kuwa ni mashujaa
Ni dhahiri sasa waafrika wengi wamechoshwa na ufisadi na matumizi ya madaraka
View attachment 2709847
Wakati mwingine nyundo inatakiwa kwenye nati iliyoigomea spana.Waliofanya mapinduzi Niger ni zaidi ya mafisadi. Serikali iliyopinduliwa Niger ni serikali iliyopo madarakani kwa kura za halali tena kwa asilimia zisizozidi 6.
Waliopinduwa hawatafanikiwa kwa kwa wao ndio mafisadi wa kwanza. Hayo yalikuwa ni mambo ya miaka ya mwanzo Afrika kuanza kujitawala. Sasa hapana, Waafrika tusikubali kabisa mambo hayo.
Tukikubali hayo, tutatumiwa milele.
utawala wa kijeshi unaweza usiwe mzuri ila ni mwanzo wa mabadiliko hasa katika maeneo ambayo inaonekana mbadiliko hayawezekani. Katika maeneo ya namna hiyo nguvu ya wananchi kufanya maandamano huishia kumiminiwa risasi na mabadiliko hayaji; katika hali kama hiyo haina tofauti na kutawaliwa kijeshi.Subiri ukifika Muda wa utawala wa mabavu kwenye hizo tawala za kijeshi ndio uongee. Wewe unadhani ni Kwa Nini Raia wanavumilia utawala wa kiraia ? Kwa sababu utawala wa kiraia hauna ubabe na mambo mengine.
Utawala wa kiraia unaondoka Kwa kura ila utawala wa kijeshi unaondoka kama ulivyoingia, Kwa mapinduzi
Kisa babako mzazi analiwa makalio unadhani kila mtu sifa ya babako usiwape watu wengine shoga mamako mzazi.Unaliwa makalio. Lini ulimwaga damu wewe shoga?
Si mapinduzi hatutaki tunataka amani tu, hata hivyo wengi wenu wala viepe na wacheza singeli mapinduzi mtayawezea wapi nyie mapinduz yanataka watu wenye roho ngumu watu shupavu wanaume wa shoka., mapinduzi nyie fanyieni nyuma ya kibodi tu ole wenu niwakute road nnazaa na nyie.Mlimtukana mjeshi jpm,kiongoz aliyeongoza nchi kijeshi,japo yeye ni zao la kura za wananchi.