Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Joined Yesterday .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aliyeweka andiko amejiunga jf janaNilipoona kina la Habibu Mchange nikaacha kuendelea kusoma
Mtu katoa hoja kemkem. Hakuna hata moja unayothubutu kuikosoa. Unaishia kusema andiko la kinjaa njaa. Tupe basi hizo hoja za wewe uliyeshiba tulinganishe na za huyu mwenye njaa. Si lazima kupinga kitu kama huwezi kutoa hoja zinazotetea maoni yako, eti tu kwa kuwa uko upinzani.Aibu tupu kwa andiko la kinjaa njaa kama hili.
Ni huyu huyu ambaye Mwalimu, Baba wa Taifa aliwaita wanasiasa Malaya malaya hiviMchange huyu huyu aliyejiuzulu nyadhifa zake ACT miaka michache iliyopita?
Umepata wapi ujasiri wa kuongea na wakupuuzwa?Hata hujui kuwa humu JF karibu kila member ni mtumishi/mwajiriwa na wengi wakiwa wa umma....
Kwa lugha rahisi ni kuwa huwezi kudanganya humu halafu ukabaki salama...
Tangu baba yenu Magufuli awe Rais, kwa miaka mitano yote amezuia "STATUTORY ANNUAL SALARY INCREMENT" ambayo ipo kisheria kwa kila mtumishi achilia mbali kuongeza mishahara halisi (Gross Net Pay) pamoja na KIMA CHA CHINI kwa kuzingatia hali ya uchumi wa nchi....!!
Sasa mbona mnatudanganya mchana kweupe kana kwamba sisi ni wajinga???
Kutafuta kuteuliwa sio mchezo mkuu lazima ujitoe akili kidogoHivi wenzetu mnaishi Tanzania hii hii au mimi niko Kongo [emoji2297][emoji2297][emoji2297]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati nasoma nilitamani kutukana ila nikamezea. Huyu jamaa ni mtumishi wa umma kuzimu labdaMimi ni mtumishi wa umma sijawahi sijawahi kupandishwa cheo wala mshahara tangu huyu MNYAPARA AINGIE MADARAKANI.
Acha ukasuku.