Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Nini hao ma ayatola walazimishe watu mahijabu ?Kama ni mipango iliopangwa basi imepangika kweli kweli,
vita ya Syria ilianza kwa mwanafunzi kuchora kwenye bweni la shule akimtuhumu Asad, polisi wakamkamata, watu wakaandamana aachiliwe, maandamano yakageuka vita.
Sasa ni zamu ya Iran
Ataendelea kuua watu wake hadi abaki yeye na serikali yake.Eeenh eeenh Ayatolah hamumjui vema nyie ? Subirini na mbaya zaidi hakuna atakayetia pua hapo kusaidia kama libya wale watu noma sana
Hataua wote na kwa sababu rahisi pia hayo maandamo sio nchi nzima wanashiriki kwahiyo wakishakula chuma kwa chuma cheche wa demo baasiAtaendelea kuua watu wake hadi abaki yeye na serikali yake.
Ogopa sana uasi ndani ya nchi..yani unaua wananchi wako mwenyewe.
#MaendeleoHayanaChama
Bhas hapo atasingiziwa Marekani
[emoji23][emoji23][emoji23]mkono wa marekani
mkono wa marekani
[emoji16][emoji16][emoji16] hii ndio tofaut yetu sisi na wao , bado ww upo karne ya 15 ils wenzio wapo karne 21 najua hujaelewa , kuingiza jeshi kweny nchi nyingine ni mbinu ya kizaman sanaIran hawataiwez WATAWEKA VIKWAZO ILA HAKUNA INCHI YOYOTE ITAKAYOTUMA JESHI LAKE KWENDA KUWASAIDIA WANANCHII, WATABEBA SILAHA KAMA ILE YA MYMARI ILA WATAISHIA KUCHAKAZWA NA KUFUNGWAA HAKUNA ATAKAYE WASAIDIA
Sent from my Infinix X571 using JamiiForums mobile app
Huna ujualo issue siyo kulazimisha hijab mana utakuta hao wanaoandamana pia wanavaa hijab, kisa kilianza kwanini mwanamke aliyekamatwa hakuvaa hija akauwawa mikononi mwa polisi, ni hivyo tu.Kwa Nini hao ma ayatola walazimishe watu mahijabu ?
Syria ilianza hivi hivi. Eti waandamanji walianza na mawe kisha baadae wakaanza kutumia M60 na RPGKama ni mipango iliopangwa basi imepangika kweli kweli,
vita ya Syria ilianza kwa mwanafunzi kuchora kwenye bweni la shule akimtuhumu Asad, polisi wakamkamata, watu wakaandamana aachiliwe, maandamano yakageuka vita.
Sasa ni zamu ya Iran
Ttzo story za vijiwen , Libyia waliuana wao wenyew NATO walikuja kushambulia msafara wa Ghadaf alipokuwa anakimbia Tripoli , Ttzo bado mpo karne ya 15 , dunia ya leo sio ya kuvamiana watu wanatumia udhaifu wenu wanatoa msaada wa silaha kwa aliye tyr kupigana mnadhoofishana wenyew kwa uchiz wenu the same kwa Urusi , China kastukia mchezoEeenh eeenh Ayatolah hamumjui vema nyie ? Subirini na mbaya zaidi hakuna atakayetia pua hapo kusaidia kama libya wale watu noma sana
unahis wanaouliwa hawana ndugu , au hujui kwann Maandamano ya Libyia yalikuwa makubwa na kutapakaa nchi nzima hasa baada ya kuua ile wiki ya pili ya maandamanoHataua wote na kwa sababu rahisi pia hayo maandamo sio nchi nzima wanashiriki kwahiyo wakishakula chuma kwa chuma cheche wa demo baasi
Serikali ya kidini ni kuitenga nchi yako na duniaWatu wanajifanya wajanja eti ili wawatawale wengine wanawahadaa eti serikali ya kidini [emoji16]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kila nchi na utamaduni wake mbona nyinyi mnalazimisha watu wakubali tabia zenu za kuoana wanaumeKwa Nini hao ma ayatola walazimishe watu mahijabu ?