Waandamanaji Iran waanza kutumia silaha za moto

Waandamanaji Iran waanza kutumia silaha za moto

Nimekwisha waambia kwa sasa Majasusi wa Magharibi ndio kitisho cha Dunia wameweza mtekenya mpaka Russia Sasa Iran kaingia cha kike... Drone zake na misaada yake kwa Russia ndio vinaenda muangusha... Israel kwa muda mrefu alikuwa akitafuta teachnology ya Iran akajichanganya akampa Russian while Russian anaharibu Ukraine kwa mabomu na vifaa vya Iran. Majasusi hawalali wana okota kila kipande cha silaha ya Iran kupata taarifa muhimu na kutengeneza silaha kuzuwia silaha hizo tumika ktk mataifa yao.
Au sio
 
Back
Top Bottom