Nani huyo amelazimisha nchi yoyote ikubali ndoa za jinsia moja na lini wamefanya hivyo wakati hata huko Ulaya na Marekani hakuna sheria inayomlazimisha uovu huo.Kila nchi na utamaduni wake mbona nyinyi mnalazimisha watu wakubali tabia zenu za kuoana wanaume