Mcqueenen
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 6,843
- 11,702
Mara ngapi?Bhas hapo atasingiziwa Marekani
mkono wa marekani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara ngapi?Bhas hapo atasingiziwa Marekani
mkono wa marekani
Kabla ya Ayattola Iran haikuwa nchi ya dini na ilikuwa na uhuru na amani.Usiongee hivyo...hayo yakianza Huwa yanaishia pabaya..mara nyingi kupata amani kama ya mwanzo Huwa ni ngumu.....nikuwaombea hao walejee kwenye amani. Marekani ni mpumbavu ni siwapendi...wamevuruga amani sana Duniani... siwapendi kabisaa...
Ni mzee sana, usimsingizieAyatollah mwenyewe akichunguzwa vizuri utakuta ni mzinifu mzuri tuu, lakini anajifanya wa imani utafikiri ni Malaika.
West propagandaUtaweza kuishi sehemu kama hiyo!!!?View attachment 2421828
Hizohizo propaganda ndizo zinazo lala nao mbeleWest propaganda
kwa hiyo lile jeshi la Marekani pale Afghanistan mwaka jana ilikua mbinu ya kizamani??[emoji16][emoji16][emoji16] hii ndio tofaut yetu sisi na wao , bado ww upo karne ya 15 ils wenzio wapo karne 21 najua hujaelewa , kuingiza jeshi kweny nchi nyingine ni mbinu ya kizaman sana
Yap, hii mbinu inatumiwa sana na wamagharibi, but still human presence nayo wanatumia.Ttzo story za vijiwen , Libyia waliuana wao wenyew NATO walikuja kushambulia msafara wa Ghadaf alipokuwa anakimbia Tripoli , Ttzo bado mpo karne ya 15 , dunia ya leo sio ya kuvamiana watu wanatumia udhaifu wenu wanatoa msaada wa silaha kwa aliye tyr kupigana mnadhoofishana wenyew kwa uchiz wenu the same kwa Urusi , China kastukia mchezo
Hapana! Ila kila mmoja hataki kutangulia.Kwani wao wataishi milele?
hawajamuondoa ila unaweza kuona jinsi gani nchi sasa iko vipande vipande. kuna sehemu zinamilikiwa na Serikali, sehemu za Islamic state na kuna sehemu ni patrol za Russia, Marekani na Uturuki, mbali na hivyo sehemu kubwa za nchi ni magofu sasaVipi Asad ameondoka?
Ujinga tu huo. Unalqzimisha imanKwa Nini hao ma ayatola walazimishe watu mahijabu ?
hapana, kwa upande wa uchumi na techonojia, China ni tishio sana kwa marekani has ukizingatia anacheza mechi zake kwa akili, mfano ile chokochoko ya Taiwan, mchina angejichanganya angekula vikwazo vingi na kupoteza mitaji yake mingi ilioko nchi za magharibi. kwa sasa shida ikoilibaki Iran na Urusi ili tukamilishe mipango yetu tulioipanga
Bora awe hivyo kuliko kua Shoga.Ayatollah mwenyewe akichunguzwa vizuri utakuta ni mzinifu mzuri tuu, lakini anajifanya wa imani utafikiri ni Malaika.
Ndio udhanie kama IRAN itakua kama SYRIA hem acha tuonehawajamuondoa ila unaweza kuona jinsi gani nchi sasa iko vipande vipande. kuna sehemu zinamilikiwa na Serikali, sehemu za Islamic state na kuna sehemu ni patrol za Russia, Marekani na Uturuki, mbali na hivyo sehemu kubwa za nchi ni magofu sasa
Akili yako ndogo kama punje ya sukari, unafananisha IRAN na Syria!! Yani ukizungumzia IRAN unazungumzia nchi yenye uwezo wa makombora ya kupiga popote duniani kutoka kwake na si ya kununua bali ya kutengeneza wenyeweKama ni mipango iliopangwa basi imepangika kweli kweli,
vita ya Syria ilianza kwa mwanafunzi kuchora kwenye bweni la shule akimtuhumu Asad, polisi wakamkamata, watu wakaandamana aachiliwe, maandamano yakageuka vita.
Sasa ni zamu ya Iran
Wataingiza masleeper ila nikwambie tu hawatafanya lolote na kustaajabisha na wala hawatafanya Yale yaliyotokea Syria usione kila siku Israel anaangaika na Irani ukaifananisha Irani na taifa lolote pale mashariki yakati naona wengi mnatoa mfano wa iraq, Syria au Afghanistan wako tofauti kabisaa kisayansi kielimu kiuchumi kiteknolojia waandamanaji wataandamana ila kupata backup kubwa nje ya nchii wasahau tu vifo vitawapata na kelele kutoka west alafu kimyaaaa kama mymar walichokipata[emoji16][emoji16][emoji16] hii ndio tofaut yetu sisi na wao , bado ww upo karne ya 15 ils wenzio wapo karne 21 najua hujaelewa , kuingiza jeshi kweny nchi nyingine ni mbinu ya kizaman sana
Hawezi kupigwa risasi ya kichwa afe kabisaaUzuri Ayatollah atawanyonga kama 10,000 hivi na Maisha yataendelea fresh kabisa.