Ata ww unazini lakini huwezi ruhusu familia yako ikengeukeAyatollah mwenyewe akichunguzwa vizuri utakuta ni mzinifu mzuri tuu, lakini anajifanya wa imani utafikiri ni Malaika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ata ww unazini lakini huwezi ruhusu familia yako ikengeukeAyatollah mwenyewe akichunguzwa vizuri utakuta ni mzinifu mzuri tuu, lakini anajifanya wa imani utafikiri ni Malaika.
Sasa asijifanye mtakatifu mno kuhukumu wenzieAta ww unazini lakini huwezi ruhusu familia yako ikengeuke
[emoji631][emoji1258]huyu dunia nzima anaifanya anavyotaka ni kama anacheza draft tu[emoji456][emoji455][emoji453] mshenzi sanaKama ni mipango iliopangwa basi imepangika kweli kweli,
vita ya Syria ilianza kwa mwanafunzi kuchora kwenye bweni la shule akimtuhumu Asad, polisi wakamkamata, watu wakaandamana aachiliwe, maandamano yakageuka vita.
Sasa ni zamu ya Iran
[emoji631][emoji1258]huyu dunia nzima anaifanya anavyotaka ni kama anacheza draft tu[emoji456][emoji455][emoji453] mshenzi sanaKama ni mipango iliopangwa basi imepangika kweli kweli,
vita ya Syria ilianza kwa mwanafunzi kuchora kwenye bweni la shule akimtuhumu Asad, polisi wakamkamata, watu wakaandamana aachiliwe, maandamano yakageuka vita.
Sasa ni zamu ya Iran
Usiongee hivyo...hayo yakianza Huwa yanaishia pabaya..mara nyingi kupata amani kama ya mwanzo Huwa ni ngumu.....nikuwaombea hao walejee kwenye amani. Marekani ni mpumbavu ni siwapendi...wamevuruga amani sana Duniani... siwapendi kabisaa...Iran hawataiwez WATAWEKA VIKWAZO ILA HAKUNA INCHI YOYOTE ITAKAYOTUMA JESHI LAKE KWENDA KUWASAIDIA WANANCHII, WATABEBA SILAHA KAMA ILE YA MYMARI ILA WATAISHIA KUCHAKAZWA NA KUFUNGWAA HAKUNA ATAKAYE WASAIDIA
Sent from my Infinix X571 using JamiiForums mobile app
Ata kwenye kampeni unatoa rushwa kupata atam ila ukishapata lazima upige vita rushwa tena kwa nguvu kubwa au umesahau nnSasa asijifanye mtakatifu mno kuhukumu wenzie
Ona sasa huyu ni wakufukuza na mishuka yake.Utaweza kuishi sehemu kama hiyo!!!?View attachment 2421828
Hebu jaribu kutafuta relativity ya unachokisema na mada husika kisha jipige kifuani na ujiite ayatollah mdogo, huenda nyie ndo wadhambi nambari wani hapa duniani.Ata kwenye kampeni unatoa rushwa kupata atam ila ukishapata lazima upige vita rushwa tena kwa nguvu kubwa au umesahau nn
Wabotasi mlokozi omkama akunilwaHebu jaribu kutafuta relativity ya unachokisema na mada husika kisha jipige kifuani na ujiite ayatollah mdogo, huenda nyie ndo wadhambi nambari wani hapa duniani.
Iran iliwahi pata mapinduzi mara mbili, last time 1979 yalianza maandamano. Raia wa Middle East wakiamua serious kuandamana fujo nyingi hutokea.Iran hawataiwez WATAWEKA VIKWAZO ILA HAKUNA INCHI YOYOTE ITAKAYOTUMA JESHI LAKE KWENDA KUWASAIDIA WANANCHII, WATABEBA SILAHA KAMA ILE YA MYMARI ILA WATAISHIA KUCHAKAZWA NA KUFUNGWAA HAKUNA ATAKAYE WASAIDIA
Sent from my Infinix X571 using JamiiForums mobile app
Vipi Asad ameondoka?Kama ni mipango iliopangwa basi imepangika kweli kweli,
vita ya Syria ilianza kwa mwanafunzi kuchora kwenye bweni la shule akimtuhumu Asad, polisi wakamkamata, watu wakaandamana aachiliwe, maandamano yakageuka vita.
Sasa ni zamu ya Iran
Usikubali mashoga wakulettee mila zaoHebu jaribu kutafuta relativity ya unachokisema na mada husika kisha jipige kifuani na ujiite ayatollah mdogo, huenda nyie ndo wadhambi nambari wani hapa duniani.
Ukijitia kimbelembele watakuua kweli.Ataendelea kuua watu wake hadi abaki yeye na serikali yake.
Ogopa sana uasi ndani ya nchi..yani unaua wananchi wako mwenyewe.
#MaendeleoHayanaChama
w.Usikubali mashoga wakulettee mila zao
Sidhani Kama Ayatollah ni mgumu Kama alivyokuwa Gadafi! Karata sikichangwa vyema alirambiehwa mchangaKwa Nini hao ma ayatola walazimishe watu mahijabu ?
Kuna watu ni wakatili sana! Hao watakao kua wana wabikiri, hawana kesi kweli kulingana na hiyo hiyo imani yao na sheria zaoOna sasa huyu ni wakufukuza na mishuka yake.
Kwani wao wataishi milele?Ukijitia kimbelembele watakuua kweli.