macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Wakenya hawachezewi kama ''maiti'' za kibongo zinazoitwa watanzania. Wameenda mbali zaidi na wanaharibu mali za wabunge wote waliopiga kura ya kuunga mkono.Yasemwa vyombo vya usalama vimeapa kuwalaza raia wengi mahospitalini.
Lakini wanotumikia vyombo hivi vya usalama husahau kuwa wana ndugu, jamaa na marafiki ambao wtaathiriwa na kodi hizi lukuki.
Mpina katolewa nje TanzaniaWaandamanaji 10 wanaripotiwa kuuawa na polisi baada ya kuvamia jengo la Bunge la nchi hiyo na kuwashinda nguvu polisi.
Hali kwa sasa ni shwari kidogo baada ya polisi kuongeza nguvu ya idadi katika eneo hilo.
Sehemu moja ya jengo hilo la Bunge imeshika moto na moto huo bado waendelea.
Tukio hilo limetokea mara tu baada ya Bunge hilo kupitisha mswada wa sheria ya kodi inoongeza kodi katika bidhaa mbalimbali nchini huo.
Raisi Ruto amesema kuongeza kodi huko kutathibiti kukopa mikopo ambayo itaiathiri nchi hiyo kiuchumi.
Yadaiwa kuwa wabunge wengi walopitisha mswada huo wamepokea mlungula ili kurahisisha kupitishwa kwa muswaada huo ambao utaathiri wakenya wengi walo na kipato cha chini, wafanyabiashara na wachuuzi.
Kuna majeruhi wengi ambao wamejeruhiwa kwa risasi ambapo polisi waliamua kutumia nguvu na risasi halisi badala ya risasi za bandia au "rubber bullets".
Kanuni za maandamano haziruhusu polisi kupiga raia isipokuwa kama raia wametishia maisha na hali ya usalama wao wenyewe na ule wa polisi.Kenya hadi polisi wamegawanyika kikabila na polisi wengi Jaluo ndio maana hawataki kutumia nguvu kubwa kudhibiti Jaluo wenzao wanaandamana
How comes barabara zinafungwa na waandamanaji? Tanzania Jeshi letu hakuna ukabila wangetwangwa kuhakikisha wanaondoka barabarani kupisha shughuli za kiuchumi kwenye barabara ziendelee
Kenya na Jeshi lao hopeless kabisa watatumbukiza Kenya kwenye vita za wenyewe Kwa wenyewe muda si mrefu
Watanzania tuliwasaidia mlipotwangana na ukabila wenu na kuzalisha wakimbizi WA Ndani Kikwete akaja kuwasaidia mnataka kuingia part two ya vita za ukabila wenu wapumbavu nyie muanze tena kutusumbua watanzania tuwaletee msuluhishi
Shenzi type nyie
Mfano nimepita hapa round about ya samaki samaki Mwanza ,Sasa bwana nikaona tangazo kuwa unaponunua usipodai risiti una idhulumu nchi yako nikawaza mbona tra hawana kampeni kuwa Kodi za wananchi zitumike vizuri. Hebu waza makamba akasaini mktaba wa kukodi software ya umeme kukatika tokea India kwa bilioni 78. Je hili tra hawalioni Kama ni dhulumaHila viongozi wa nchi za africa huwa solution ya matatizo ya kifedha huwa wanaona kupandisha gharama kwa wananchi badala ya kupunguza matumizi ya serikali ya sio ya lazima unakuta nchi ina hali ngumu kifedha lakini hyo hyo nchi imetoa order gari za dhamani kubwa kwa ajili ya viongozi wakati wangeweza kununua gari nzuri kwa bei ya chini
Vipi nyie na utanganyika wenu ...Citizen ni TV ya wajaluo na waandamanaji wengi wajaluo
Ukabila Kenya utawamaliza
Jiangalie vizuri usikurupuke kuhukumuKenya hadi polisi wamegawanyika kikabila na polisi wengi Jaluo ndio maana hawataki kutumia nguvu kubwa kudhibiti Jaluo wenzao wanaandamana
How comes barabara zinafungwa na waandamanaji? Tanzania Jeshi letu hakuna ukabila wangetwangwa kuhakikisha wanaondoka barabarani kupisha shughuli za kiuchumi kwenye barabara ziendelee
Kenya na Jeshi lao hopeless kabisa watatumbukiza Kenya kwenye vita za wenyewe Kwa wenyewe muda si mrefu
Watanzania tuliwasaidia mlipotwangana na ukabila wenu na kuzalisha wakimbizi WA Ndani Kikwete akaja kuwasaidia mnataka kuingia part two ya vita za ukabila wenu wapumbavu nyie muanze tena kutusumbua watanzania tuwaletee msuluhishi
Shenzi type nyie
Hili sasa balaa aisee
Waandamanaji 10 wanaripotiwa kuuawa na polisi baada ya kuvamia jengo la Bunge la nchi hiyo na kuwashinda nguvu polisi.
Hali kwa sasa ni shwari kidogo baada ya polisi kuongeza nguvu ya idadi katika eneo hilo.
Sehemu moja ya jengo hilo la Bunge imeshika moto na moto huo bado waendelea.
Tukio hilo limetokea mara tu baada ya Bunge hilo kupitisha mswada wa sheria ya kodi inoongeza kodi katika bidhaa mbalimbali nchini huo.
Raisi Ruto amesema kuongeza kodi huko kutathibiti kukopa mikopo ambayo itaiathiri nchi hiyo kiuchumi.
Yadaiwa kuwa wabunge wengi walopitisha mswada huo wamepokea mlungula ili kurahisisha kupitishwa kwa muswaada huo ambao utaathiri wakenya wengi walo na kipato cha chini, wafanyabiashara na wachuuzi.
Kuna majeruhi wengi ambao wamejeruhiwa kwa risasi ambapo polisi waliamua kutumia nguvu na risasi halisi badala ya risasi za bandia au "rubber bullets".
Kwa hiyo ww huwezi jitolea kufa ukipigania haki??Tangulia wewe uoneshe mfano nyambafu!!
Nafikiri hii ndio chanzo hasa na sio hizo drama za hiyo "financial bill" iliyopelekwa bungeni.Citizen ni TV ya wajaluo na waandamanaji wengi wajaluo
Ukabila Kenya utawamaliza
Young generation ya wakenya ni wasomi na wanatambua kuwa hizi kodi kwa bidhaa mbalimbali kama mkate na sabuni zitaleta matatizo kwa wazazi wao ambao watawalazimisha vijana kutumia pesa nyingi kununua mahitaji hayo ya msingi.Wakenya hawachezewi kama ''maiti'' za kibongo zinazoitwa watanzania. Wameenda mbali zaidi na wanaharibu mali za wabunge wote waliopiga kura ya kuunga mkono.
Hapa usijifiche kwenye ukabila na utanzania wako hapa suala ni kuongezeka kwa kodiKenya hadi polisi wamegawanyika kikabila na polisi wengi Jaluo ndio maana hawataki kutumia nguvu kubwa kudhibiti Jaluo wenzao wanaandamana
How comes barabara zinafungwa na waandamanaji? Tanzania Jeshi letu hakuna ukabila wangetwangwa kuhakikisha wanaondoka barabarani kupisha shughuli za kiuchumi kwenye barabara ziendelee
Kenya na Jeshi lao hopeless kabisa watatumbukiza Kenya kwenye vita za wenyewe Kwa wenyewe muda si mrefu
Watanzania tuliwasaidia mlipotwangana na ukabila wenu na kuzalisha wakimbizi WA Ndani Kikwete akaja kuwasaidia mnataka kuingia part two ya vita za ukabila wenu wapumbavu nyie muanze tena kutusumbua watanzania tuwaletee msuluhishi
Shenzi type nyie