Waandamanaji Nairobi wavamia jengo la Bunge baada ya kuwashinda nguvu polisi, yasemwa waandamanaji 10 wameuawa kwa kupigwa risasi halisi

Waandamanaji Nairobi wavamia jengo la Bunge baada ya kuwashinda nguvu polisi, yasemwa waandamanaji 10 wameuawa kwa kupigwa risasi halisi

Yasemwa vyombo vya usalama vimeapa kuwalaza raia wengi mahospitalini.

Lakini wanotumikia vyombo hivi vya usalama husahau kuwa wana ndugu, jamaa na marafiki ambao wtaathiriwa na kodi hizi lukuki.
Wakenya hawachezewi kama ''maiti'' za kibongo zinazoitwa watanzania. Wameenda mbali zaidi na wanaharibu mali za wabunge wote waliopiga kura ya kuunga mkono.
 
Waandamanaji 10 wanaripotiwa kuuawa na polisi baada ya kuvamia jengo la Bunge la nchi hiyo na kuwashinda nguvu polisi.

Hali kwa sasa ni shwari kidogo baada ya polisi kuongeza nguvu ya idadi katika eneo hilo.

Sehemu moja ya jengo hilo la Bunge imeshika moto na moto huo bado waendelea.

Tukio hilo limetokea mara tu baada ya Bunge hilo kupitisha mswada wa sheria ya kodi inoongeza kodi katika bidhaa mbalimbali nchini huo.

Raisi Ruto amesema kuongeza kodi huko kutathibiti kukopa mikopo ambayo itaiathiri nchi hiyo kiuchumi.

Yadaiwa kuwa wabunge wengi walopitisha mswada huo wamepokea mlungula ili kurahisisha kupitishwa kwa muswaada huo ambao utaathiri wakenya wengi walo na kipato cha chini, wafanyabiashara na wachuuzi.

Kuna majeruhi wengi ambao wamejeruhiwa kwa risasi ambapo polisi waliamua kutumia nguvu na risasi halisi badala ya risasi za bandia au "rubber bullets".
Mpina katolewa nje Tanzania
 
Kenya hadi polisi wamegawanyika kikabila na polisi wengi Jaluo ndio maana hawataki kutumia nguvu kubwa kudhibiti Jaluo wenzao wanaandamana

How comes barabara zinafungwa na waandamanaji? Tanzania Jeshi letu hakuna ukabila wangetwangwa kuhakikisha wanaondoka barabarani kupisha shughuli za kiuchumi kwenye barabara ziendelee

Kenya na Jeshi lao hopeless kabisa watatumbukiza Kenya kwenye vita za wenyewe Kwa wenyewe muda si mrefu

Watanzania tuliwasaidia mlipotwangana na ukabila wenu na kuzalisha wakimbizi WA Ndani Kikwete akaja kuwasaidia mnataka kuingia part two ya vita za ukabila wenu wapumbavu nyie muanze tena kutusumbua watanzania tuwaletee msuluhishi

Shenzi type nyie
Kanuni za maandamano haziruhusu polisi kupiga raia isipokuwa kama raia wametishia maisha na hali ya usalama wao wenyewe na ule wa polisi.

Na pia zipo hatua za kuwadhibiti waandamanaji na ndizo wanazifanya sasa polisi.

Lakini bado polisi kupiga waandamaji ni "last resort".

Tushishabikie tu haya masuala bila kuonyesha uelewa angalau asilimia 60.
 
Aisee hivi kodi zikipunguzwa polisi wenyewe hawatanufaika?
Polisi mnapaswa kufanya kazi kwa weledi, siyo sawa kumwaga damu za watu wanaotetea wenzao nanyi mkiwemo.
Ruto alivyowashukru waandamanaji ndo alimaanisha hayo mauaji??? Siyo sawa.
 
Hila viongozi wa nchi za africa huwa solution ya matatizo ya kifedha huwa wanaona kupandisha gharama kwa wananchi badala ya kupunguza matumizi ya serikali ya sio ya lazima unakuta nchi ina hali ngumu kifedha lakini hyo hyo nchi imetoa order gari za dhamani kubwa kwa ajili ya viongozi wakati wangeweza kununua gari nzuri kwa bei ya chini
Mfano nimepita hapa round about ya samaki samaki Mwanza ,Sasa bwana nikaona tangazo kuwa unaponunua usipodai risiti una idhulumu nchi yako nikawaza mbona tra hawana kampeni kuwa Kodi za wananchi zitumike vizuri. Hebu waza makamba akasaini mktaba wa kukodi software ya umeme kukatika tokea India kwa bilioni 78. Je hili tra hawalioni Kama ni dhuluma
 
Citizen ni TV ya wajaluo na waandamanaji wengi wajaluo

Ukabila Kenya utawamaliza
Vipi nyie na utanganyika wenu ...
Kenya hadi polisi wamegawanyika kikabila na polisi wengi Jaluo ndio maana hawataki kutumia nguvu kubwa kudhibiti Jaluo wenzao wanaandamana

How comes barabara zinafungwa na waandamanaji? Tanzania Jeshi letu hakuna ukabila wangetwangwa kuhakikisha wanaondoka barabarani kupisha shughuli za kiuchumi kwenye barabara ziendelee

Kenya na Jeshi lao hopeless kabisa watatumbukiza Kenya kwenye vita za wenyewe Kwa wenyewe muda si mrefu

Watanzania tuliwasaidia mlipotwangana na ukabila wenu na kuzalisha wakimbizi WA Ndani Kikwete akaja kuwasaidia mnataka kuingia part two ya vita za ukabila wenu wapumbavu nyie muanze tena kutusumbua watanzania tuwaletee msuluhishi

Shenzi type nyie
Jiangalie vizuri usikurupuke kuhukumu
 
Waandamanaji 10 wanaripotiwa kuuawa na polisi baada ya kuvamia jengo la Bunge la nchi hiyo na kuwashinda nguvu polisi.

Hali kwa sasa ni shwari kidogo baada ya polisi kuongeza nguvu ya idadi katika eneo hilo.

Sehemu moja ya jengo hilo la Bunge imeshika moto na moto huo bado waendelea.

Tukio hilo limetokea mara tu baada ya Bunge hilo kupitisha mswada wa sheria ya kodi inoongeza kodi katika bidhaa mbalimbali nchini huo.

Raisi Ruto amesema kuongeza kodi huko kutathibiti kukopa mikopo ambayo itaiathiri nchi hiyo kiuchumi.

Yadaiwa kuwa wabunge wengi walopitisha mswada huo wamepokea mlungula ili kurahisisha kupitishwa kwa muswaada huo ambao utaathiri wakenya wengi walo na kipato cha chini, wafanyabiashara na wachuuzi.

Kuna majeruhi wengi ambao wamejeruhiwa kwa risasi ambapo polisi waliamua kutumia nguvu na risasi halisi badala ya risasi za bandia au "rubber bullets".

View: https://twitter.com/Sirjeff_D/status/1805583153773359575?t=9cXvC78w6ldNEMPULcVzIg&s=19

Kenya wazembe sana Wameshindwa kuingiza Jeshi kuweka vizuizi maeneo yote wanayopita hao waandamanaji?

Hawajifunzi Kwa Cyril Ramaphosa alivyowasafisha? Hao ni bangi,wanachoma Bunge ndio finance. bill?
 
Wakenya hawachezewi kama ''maiti'' za kibongo zinazoitwa watanzania. Wameenda mbali zaidi na wanaharibu mali za wabunge wote waliopiga kura ya kuunga mkono.
Young generation ya wakenya ni wasomi na wanatambua kuwa hizi kodi kwa bidhaa mbalimbali kama mkate na sabuni zitaleta matatizo kwa wazazi wao ambao watawalazimisha vijana kutumia pesa nyingi kununua mahitaji hayo ya msingi.

Raisi Ruto apaswa kuangalia kizazi hiki cha sasa.

Senagal vijana nao wameamua kumchagua raisi kijana ili angalau wawe na same level ya uelewa wanapompelekea shida zao.

Afrika Kusini vijana wasomi wameamua kuigawa ANC bungeni ili kuongeza uwajibikaji na kupunguza vitendo vha kifisadi ambavyo chama hicho kimekumbatia.

Sasa young Generation ya Tanzania wapaswa kufikiri kuachana na Uchawa na kulamba viatu na kufikiri kuhusu "future" ya nchi yao na vizazi vyao.

Its about capacity thinking my friend.
 
Kenya hadi polisi wamegawanyika kikabila na polisi wengi Jaluo ndio maana hawataki kutumia nguvu kubwa kudhibiti Jaluo wenzao wanaandamana

How comes barabara zinafungwa na waandamanaji? Tanzania Jeshi letu hakuna ukabila wangetwangwa kuhakikisha wanaondoka barabarani kupisha shughuli za kiuchumi kwenye barabara ziendelee

Kenya na Jeshi lao hopeless kabisa watatumbukiza Kenya kwenye vita za wenyewe Kwa wenyewe muda si mrefu

Watanzania tuliwasaidia mlipotwangana na ukabila wenu na kuzalisha wakimbizi WA Ndani Kikwete akaja kuwasaidia mnataka kuingia part two ya vita za ukabila wenu wapumbavu nyie muanze tena kutusumbua watanzania tuwaletee msuluhishi

Shenzi type nyie
Hapa usijifiche kwenye ukabila na utanzania wako hapa suala ni kuongezeka kwa kodi
 
Back
Top Bottom