Waandishi wa habari mnapata wapi ugumu wa kumuhoji Abdul juu ya sakata la fedha za mama Abdul?

Waandishi wa habari mnapata wapi ugumu wa kumuhoji Abdul juu ya sakata la fedha za mama Abdul?

GRAMAA

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2014
Posts
1,241
Reaction score
3,800
Waandishi wa habari wa bongo ni wakuda sana.

Wote wameufyanta mkio hakuna hata mmoja aliyethubuti kumtafuta Abdul na kumuhoji juu ya sakata la fedha za mama Abdul.

Wazee inabidi mbalansi story yenu kwa kumuhoji na Abdul pia baada ya kuwahoji Wenje,Lissu na Mbowe.

Walaji wa habari zenu wanahitaji kula na story ya Abdul ili washibe vizuri. Alaaaaaaaaaaaa!

Ebu aibuke mwandishi mmoja ambaye ni jasiri asiyekuwa na chembe ya uoga na uchawa amtafute Abdul na amuhoji kwa kina ili tujue ukweli wa hili swala la fedha za mama Abdul.

Wazee mbona waoga sana hahahahaaaa. Yaani kwenye hili mmeuchuna kimya kama hampo vile.
 
Waandishi wa habari wa bongo ni wakuda sana.

Wote wameufyanta mkio hakuna hata mmoja aliyethubuti kumtafuta Abdul na kumuhoji juu ya sakata la fedha za mama Abdul.

Wazee inabidi mbalansi story yenu kwa kumuhoji na Abdul pia baada ya kuwahoji Wenje,Lissu na Mbowe.

Walaji wa habari zenu wanahitaji kula na story ya Abdul ili washibe vizuri. Alaaaaaaaaaaaa!

Ebu aibuke mwandishi mmoja ambaye ni jasiri asiyekuwa na chembe ya uoga na uchawa amtafute Abdul na amuhoji kwa kina ili tujue ukweli wa hili swala la fedha za mama Abdul.

Wazee mbona waoga sana hahahahaaaa. Yaani kwenye hili mmeuchuna kimya kama hampo vile.
Unahoji uzushi?

Uzushi wa abduli hauna tofauti na ule wa kusema baba ndubwi katia mimba wamama a chakadomoz kibao
 
Waandishi wa habari wa bongo ni wakuda sana.

Wote wameufyanta mkio hakuna hata mmoja aliyethubuti kumtafuta Abdul na kumuhoji juu ya sakata la fedha za mama Abdul.

Wazee inabidi mbalansi story yenu kwa kumuhoji na Abdul pia baada ya kuwahoji Wenje,Lissu na Mbowe.

Walaji wa habari zenu wanahitaji kula na story ya Abdul ili washibe vizuri. Alaaaaaaaaaaaa!

Ebu aibuke mwandishi mmoja ambaye ni jasiri asiyekuwa na chembe ya uoga na uchawa amtafute Abdul na amuhoji kwa kina ili tujue ukweli wa hili swala la fedha za mama Abdul.

Wazee mbona waoga sana hahahahaaaa. Yaani kwenye hili mmeuchuna kimya kama hampo vile.
Unawaongelea waandishi gani?
 
Waandishi wa habari wa bongo ni wakuda sana.

Wote wameufyanta mkio hakuna hata mmoja aliyethubuti kumtafuta Abdul na kumuhoji juu ya sakata la fedha za mama Abdul.

Wazee inabidi mbalansi story yenu kwa kumuhoji na Abdul pia baada ya kuwahoji Wenje,Lissu na Mbowe.

Walaji wa habari zenu wanahitaji kula na story ya Abdul ili washibe vizuri. Alaaaaaaaaaaaa!

Ebu aibuke mwandishi mmoja ambaye ni jasiri asiyekuwa na chembe ya uoga na uchawa amtafute Abdul na amuhoji kwa kina ili tujue ukweli wa hili swala la fedha za mama Abdul.

Wazee mbona waoga sana hahahahaaaa. Yaani kwenye hili mmeuchuna kimya kama hampo vile.
Wakienda kumhoji nawapatia million 1 as a bonus
 
Kitendo cha TAL,kusema jambo hilo since day one Mwandishi wa habari anaye jitambua alipaswa kuingia field kufanya investigative journalism,juu pesa chafu na vyanzo vya mapato.

Sababu ya upumbavu wa waandishi wa habari wa nchi hii,kuwa vilaza na mbumbu, wamekalia kuandia soft news tu.
 
Back
Top Bottom