Waandishi wa habari mnapata wapi ugumu wa kumuhoji Abdul juu ya sakata la fedha za mama Abdul?

Waandishi wa habari mnapata wapi ugumu wa kumuhoji Abdul juu ya sakata la fedha za mama Abdul?

Sio kila uzushi ni wa ku balance,uzushi mwingine ni ukichaa, unaupiuzia tuu!。Mfano umepiga mechi ya mpira wa kona na timu ya ugenini,ukapiga tobo bao kimiani!, kumbe kipa kichaa,kwa hasira za kupigwa bao la tobo, akaamua kukuaibisha kuwa japo ni kweli mmecheza mechi na umepiga bao,ila wewe huna sunna!,je utaonyesha kuwa unayo sunna ili usiaibike?。
P
Kiukweli umeandika upuuzi tu haujaeleweka kabisa kwasababu lissu kamtaja abdul na wenje nae kamtaja abdul sasa hapo uzushi unatokea wapi?
 
Kiukweli umeandika upuuzi tu haujaeleweka kabisa kwasababu lissu kamtaja abdul na wenje nae kamtaja abdul sasa hapo uzushi unatokea wapi?
Naomba twende mdogo mdogo。
  1. Umewasikia wewe mwenyewe kwa masikio yako au umehadithiwa tuu?
  2. Lissu amesema nini?
  3. Wenje amesema nini?
  4. Kati ya hao wawili kuna mmoja ni mkweli na mmoja ni muongo!。
  5. Mkweli ni yupi na kwa nini?
  6. Muongo ni yupi na kwanini?
  7. Abdul atafutwe ili aseme nini?.
P
 
Si kweli mkuu, huu siyo uzushi bali ni kweli inayotolewa kwa lugha ya satire. Na wewe unajua ni kweli ila kama wazungu wanavyosema "a man is the prisoner of his own conscious" yaani binadamu ni mtumwa wa dhamira yake.

Paskali dhamira inakuhukumu, husikii amani moyoni kusikia tuhuma kwa Abdul na mama Abdul. Kwa amani ya moyo wako lazima u 'rubbish' .

Itatokea na atatokea mwenye guts atahoji, wakati waandishi mkiwa mnajitafakari aidha kwa maslahi au wasiojulikana bora tukae kimya tusubiri
Naomba twende mdogo mdogo。
  1. Umewasikia wewe mwenyewe kwa masikio yako au umehadithiwa tuu?
  2. Lissu amesema nini?
  3. Wenje amesema nini?
  4. Kati ya hao wawili kuna mmoja ni mkweli na mmoja ni muongo!。
  5. Mkweli ni yupi na kwa nini?
  6. Muongo ni yupi na kwanini?
  7. Abdul atafutwe ili aseme nini?.
P
 
Waandishi wa habari wa bongo ni wakuda sana.

Wote wameufyanta mkio hakuna hata mmoja aliyethubuti kumtafuta Abdul na kumuhoji juu ya sakata la fedha za mama Abdul.

Wazee inabidi mbalansi story yenu kwa kumuhoji na Abdul pia baada ya kuwahoji Wenje,Lissu na Mbowe.

Walaji wa habari zenu wanahitaji kula na story ya Abdul ili washibe vizuri. Alaaaaaaaaaaaa!

Ebu aibuke mwandishi mmoja ambaye ni jasiri asiyekuwa na chembe ya uoga na uchawa amtafute Abdul na amuhoji kwa kina ili tujue ukweli wa hili swala la fedha za mama Abdul.

Wazee mbona waoga sana hahahahaaaa. Yaani kwenye hili mmeuchuna kimya kama hampo vile.
Unataka Watekwe?
 
Naomba twende mdogo mdogo。
  1. Umewasikia wewe mwenyewe kwa masikio yako au umehadithiwa tuu?
  2. Lissu amesema nini?
  3. Wenje amesema nini?
  4. Kati ya hao wawili kuna mmoja ni mkweli na mmoja ni muongo!。
  5. Mkweli ni yupi na kwa nini?
  6. Muongo ni yupi na kwanini?
  7. Abdul atafutwe ili aseme nini?.

Naomba twende mdogo mdogo。
  1. Umewasikia wewe mwenyewe kwa masikio yako au umehadithiwa tuu?
  2. Lissu amesema nini?
  3. Wenje amesema nini?
  4. Kati ya hao wawili kuna mmoja ni mkweli na mmoja ni muongo!。
  5. Mkweli ni yupi na kwa nini?
  6. Muongo ni yupi na kwanini?
  7. Abdul atafutwe ili aseme nini?.
P
Abdul atafutwe aseme kipi sahihi kati ya vitu vifuatavyo.
i/ je, ni kweli alipelekwa kwa Tundu Lissu ili akamuhonge kama alivyosema Lissu mwenyewe?

Au alipelekwa kwa Tundu Lissu ili akamsaidie ili apate fedha zake ambazo alikuwa hajalipwa kama alivyosemwa Wenje?

Au hakuna tukio la Abdul kupelekwa kwa Tundu Lissu kama anavyosema Freeman Mbowe?
 
Waandishi wa habari wa bongo ni wakuda sana.

Wote wameufyanta mkio hakuna hata mmoja aliyethubuti kumtafuta Abdul na kumuhoji juu ya sakata la fedha za mama Abdul.

Wazee inabidi mbalansi story yenu kwa kumuhoji na Abdul pia baada ya kuwahoji Wenje,Lissu na Mbowe.

Walaji wa habari zenu wanahitaji kula na story ya Abdul ili washibe vizuri. Alaaaaaaaaaaaa!

Ebu aibuke mwandishi mmoja ambaye ni jasiri asiyekuwa na chembe ya uoga na uchawa amtafute Abdul na amuhoji kwa kina ili tujue ukweli wa hili swala la fedha za mama Abdul.

Wazee mbona waoga sana hahahahaaaa. Yaani kwenye hili mmeuchuna kimya kama hampo vile.
Thubutuu,hili nimelijifunza kwenye siasa za amerika tangu 2020 hadi 2024.Ujue hii habari ya vyombo vya habari vinavyoweza kutumika vibaya.Ilimlazimu Mzee Trumpet aanzishe Truth social media,Tweeter inunuliwe na Elon Musk,bbc,voa,dw,france intl na upuuzi mwingi kupuuzwa.Hata rfa leo anajua alivyopoteza wasikilizaji waliokuwa na imani na zile intenational media walivyo zipuuza.
 
Waandishi wa habari wa bongo ni wakuda sana.

Wote wameufyanta mkio hakuna hata mmoja aliyethubuti kumtafuta Abdul na kumuhoji juu ya sakata la fedha za mama Abdul.

Wazee inabidi mbalansi story yenu kwa kumuhoji na Abdul pia baada ya kuwahoji Wenje,Lissu na Mbowe.

Walaji wa habari zenu wanahitaji kula na story ya Abdul ili washibe vizuri. Alaaaaaaaaaaaa!

Ebu aibuke mwandishi mmoja ambaye ni jasiri asiyekuwa na chembe ya uoga na uchawa amtafute Abdul na amuhoji kwa kina ili tujue ukweli wa hili swala la fedha za mama Abdul.

Wazee mbona waoga sana hahahahaaaa. Yaani kwenye hili mmeuchuna kimya kama hampo vile.
Mtu kama Deodatus Balile ambaye kila leo yuko kwenye trip za mama, anakula mema ya nchi, ataanzaje kumhoji Abdul kuhusu pesa chafu anazopenyeza kuua upinzani? Unataka akate tawi alilolikalia? Hii haiwezekani kamwe! Kwa sasa hakuna waandishi Tanzania wanaoweza kuhoji masuala mazito yanayohusu ufisadi. Hakuna kaliba ya waandishi wa jamii ya Johnson Mbwambo, Jenerali Ulimwengu, Joseph Mihangwa, Profesa Bwenge nk. Mtu kama Maggid Mjengwa utegemee ahoji masuala manene kaa haya wakati ni kada mtiifu wa CCM?
 
Thubutuu,hili nimelijifunza kwenye siasa za amerika tangu 2020 hadi 2024.Ujue hii habari ya vyombo vya habari vinavyoweza kutumika vibaya.Ilimlazimu Mzee Trumpet aanzishe Truth social media,Tweeter inunuliwe na Elon Musk,bbc,voa,dw,france intl na upuuzi mwingi kupuuzwa.Hata rfa leo anajua alivyopoteza wasikilizaji waliokuwa na imani na zile intenational media walivyo zipuuza.
Nakuunga mkono kaka. Baada ya media kubwa kubeba propaganda za kumponda Trump, Elon aliinunua Twitter na kugeuza upepo. The same happened kwa JK, alipoona magazeti ya Mtanzania na Rai yanatoa habari ambazo hazipendi ama hapendi kuzisikia, akaweka deal na Rostam, Rostam akainunua kampuni nzima ya Habari Corporation na kuyaua magazeti husika. Kupata independent media house Tanzania kwa sasa ni ngumu sana, ni kama kusaka mwanamke bikra ndani ya wadi ya wazazi.
 
Waandishi wa habari wa bongo ni wakuda sana.

Wote wameufyanta mkio hakuna hata mmoja aliyethubuti kumtafuta Abdul na kumuhoji juu ya sakata la fedha za mama Abdul.

Wazee inabidi mbalansi story yenu kwa kumuhoji na Abdul pia baada ya kuwahoji Wenje,Lissu na Mbowe.

Walaji wa habari zenu wanahitaji kula na story ya Abdul ili washibe vizuri. Alaaaaaaaaaaaa!

Ebu aibuke mwandishi mmoja ambaye ni jasiri asiyekuwa na chembe ya uoga na uchawa amtafute Abdul na amuhoji kwa kina ili tujue ukweli wa hili swala la fedha za mama Abdul.

Wazee mbona waoga sana hahahahaaaa. Yaani kwenye hili mmeuchuna kimya kama hampo vile.
TAKUKURU
 
Kitendo cha TAL,kusema jambo hilo since day one Mwandishi wa habari anaye jitambua alipaswa kuingia field kufanya investigative journalism,juu pesa chafu na vyanzo vya mapato.

Sababu ya upumbavu wa waandishi wa habari wa nchi hii,kuwa vilaza na mbumbu, wamekalia kuandia soft news tu.

Acha kujifanya uko Marekani au Uingereza. Hivi unadhani huyo Abdul ni Masha Love kwamba kwa simu moja tu unampata unafanya nae interview?

Kabla hujatukana taaluma za watu angalia na context ya nchi yako.

Kumpata tu Waziri kwenda kushiriki kwenye space zinazoandaliwa na LHRC huko X ni mtihani sembuse huyo Abdul ambaye ana tuhuma nzito hivyo?

Hii sio Marekani
 
Mtu kama Deodatus Balile ambaye kila leo yuko kwenye trip za mama, anakula mema ya nchi, ataanzaje kumhoji Abdul kuhusu pesa chafu anazopenyeza kuua upinzani? Unataka akate tawi alilolikalia? Hii haiwezekani kamwe! Kwa sasa hakuna waandishi Tanzania wanaoweza kuhoji masuala mazito yanayohusu ufisadi. Hakuna kaliba ya waandishi wa jamii ya Johnson Mbwambo, Jenerali Ulimwengu, Joseph Mihangwa, Profesa Bwenge nk. Mtu kama Maggid Mjengwa utegemee ahoji masuala manene kaa haya wakati ni kada mtiifu wa CCM?

Jiwe na Nape waliua kabisa ethical journalism ya nchi hii
 
Naomba twende mdogo mdogo。
  1. Umewasikia wewe mwenyewe kwa masikio yako au umehadithiwa tuu?
  2. Lissu amesema nini?
  3. Wenje amesema nini?
  4. Kati ya hao wawili kuna mmoja ni mkweli na mmoja ni muongo!。
  5. Mkweli ni yupi na kwa nini?
  6. Muongo ni yupi na

Naomba twende mdogo mdogo。
  1. Umewasikia wewe mwenyewe kwa masikio yako au umehadithiwa tuu?
  2. Lissu amesema nini?
  3. Wenje amesema nini?
  4. Kati ya hao wawili kuna mmoja ni mkweli na mmoja ni muongo!。
  5. Mkweli ni yupi na kwa nini?
  6. Muongo ni yupi na kwanini?
  7. Abdul atafutwe ili aseme nini?.
P
Hukuwahi kumsikia Lissu akisema kuhusu hili, au kwa sababu siyo kada?

Nakumbuka moja ya mabandiko yako enzi za jiwe kutaka kukanusha vyombo vya habari vya nje kuhusu mapungufu yaliyokuwa yanatolewa ya jiwe. Au Lissu ni mzushi pia ambaye habari zake ni za uzushi kama wapinzani walivyo wazushi?
 
Acha kujifanya uko Marekani au Uingereza. Hivi unadhani huyo Abdul ni Masha Love kwamba kwa simu moja tu unampata unafanya nae interview?

Kabla hujatukana taaluma za watu angalia na context ya nchi yako.

Kumpata tu Waziri kwenda kushiriki kwenye space zinazoandaliwa na LHRC huko X ni mtihani sembuse huyo Abdul ambaye ana tuhuma nzito hivyo?

Hii sio Marekani
Unamaanusha nchi imetengeneza chawa wengi kiasi kwamba ufanisi wa watanzania na taaluma zao umepotea.
 
Naomba twende mdogo mdogo。
  1. Umewasikia wewe mwenyewe kwa masikio yako au umehadithiwa tuu?
  2. Lissu amesema nini?
  3. Wenje amesema nini?
  4. Kati ya hao wawili kuna mmoja ni mkweli na mmoja ni muongo!。
  5. Mkweli ni yupi na kwa nini?
  6. Muongo ni yupi na kwanini?
  7. Abdul atafutwe ili aseme nini?.
P
P Kwangu mimi nafikiri huo utakuwa uoga,kawaida na jua mwanahabari anasikiliza pande zote kisha anaunda habari.Vipi iweje usikilize akina TL na Wenje pekee kwanini na Ankolee asipewe haki ya kusikilizwa?
 
Fanya wewe tuone au ethics za kazi yako kule zinaku limit?
 
Back
Top Bottom