GRAMAA
JF-Expert Member
- Nov 1, 2014
- 1,241
- 3,800
- Thread starter
- #21
FactKitendo cha TAL,kusema jambo hilo since day one Mwandishi wa habari anaye jitambua alipaswa kuingia field kufanya investigative journalism,juu pesa chafu na vyanzo vya mapato.
Sababu ya upumbavu wa waandishi wa habari wa nchi hii,kuwa vilaza na mbumbu, wamekalia kuandia soft news tu.