FactKitendo cha TAL,kusema jambo hilo since day one Mwandishi wa habari anaye jitambua alipaswa kuingia field kufanya investigative journalism,juu pesa chafu na vyanzo vya mapato.
Sababu ya upumbavu wa waandishi wa habari wa nchi hii,kuwa vilaza na mbumbu, wamekalia kuandia soft news tu.
Ndo hao hadhi ya Balile?Waandishi wa habari wanajua ethics na code of conduct za habari.
Labda kama kaziacha ndoto zake za kuwinda Teuzi za Ukuu wa Wilaya.Paskali akiamua hashibdwi
Wangekuwa makini ingetakiwa wamuhoji hadi mama yake Abdul.Waandishi wa habari wa bongo ni wakuda sana.
Wote wameufyanta mkio hakuna hata mmoja aliyethubuti kumtafuta Abdul na kumuhoji juu ya sakata la fedha za mama Abdul.
Wazee inabidi mbalansi story yenu kwa kumuhoji na Abdul pia baada ya kuwahoji Wenje,Lissu na Mbowe.
Walaji wa habari zenu wanahitaji kula na story ya Abdul ili washibe vizuri. Alaaaaaaaaaaaa!
Ebu aibuke mwandishi mmoja ambaye ni jasiri asiyekuwa na chembe ya uoga na uchawa amtafute Abdul na amuhoji kwa kina ili tujue ukweli wa hili swala la fedha za mama Abdul.
Wazee mbona waoga sana hahahahaaaa. Yaani kwenye hili mmeuchuna kimya kama hampo vile.
Tena wamtumie Wanje maana kasema ni lafiki wa Abdul .Waandishi wa habari wa bongo ni wakuda sana.
Wote wameufyanta mkio hakuna hata mmoja aliyethubuti kumtafuta Abdul na kumuhoji juu ya sakata la fedha za mama Abdul.
Wazee inabidi mbalansi story yenu kwa kumuhoji na Abdul pia baada ya kuwahoji Wenje,Lissu na Mbowe.
Walaji wa habari zenu wanahitaji kula na story ya Abdul ili washibe vizuri. Alaaaaaaaaaaaa!
Ebu aibuke mwandishi mmoja ambaye ni jasiri asiyekuwa na chembe ya uoga na uchawa amtafute Abdul na amuhoji kwa kina ili tujue ukweli wa hili swala la fedha za mama Abdul.
Wazee mbona waoga sana hahahahaaaa. Yaani kwenye hili mmeuchuna kimya kama hampo vile.
Wa zamaniPaskali akiamua hashibdwi
Hakuna sababu ya kupoteza mudaNdiyo maana nikasema ili kutatua mzizi wa fitina waandishi wafanye kazi yao ili kuzima huu uzushi.
Mmmh!!!Watamfikiaje?wakilazimisha kumhoji mama yake anawatuma wasiojulikana kuwanyamazisha hao waandishi wa habari
Ajitokeza hata mmoja akamuhoji MafweleUwahoji wakati wasiojulikana wanajulikana halafu wanaogopwa? Muulize Sativa aliyenusurika na kamjua mtesi wake na kamataja lakini hajaguswa afande Mafwele
Sio kila uzushi ni wa ku balance,uzushi mwingine ni ukichaa, unaupiuzia tuu!。Mfano umepiga mechi ya mpira wa kona na timu ya ugenini,ukapiga tobo bao kimiani!, kumbe kipa kichaa,kwa hasira za kupigwa bao la tobo, akaamua kukuaibisha kuwa japo ni kweli mmecheza mechi na umepiga bao,ila wewe huna sunna!,je utaonyesha kuwa unayo sunna ili usiaibike?。Waandishi wa habari wa bongo ni wakuda sana.
Wote wameufyanta mkio hakuna hata mmoja aliyethubuti kumtafuta Abdul na kumuhoji juu ya sakata la fedha za mama Abdul.
Wazee mbona waoga sana hahahahaaaa. Yaani kwenye hili mmeuchuna kimya kama hampo vile.
Muhoji Abdul achana na hizi ngonjera zako!Sio kila uzushi ni wa ku balance,uzushi mwingine ni ukichaa, unaupiuzia tuu!。Mfano umepiga mechi ya mpira wa kona na timu ya ugenini,ukapiga tobo bao kimiani!, kumbe kipa kichaa,kwa hasira za kupigwa bao la tobo, akaamua kukuaibisha kuwa japo ni kweli mmecheza mechi na umepiga bao,ila wewe huna sunna!,je utaonyesha kuwa unayo sunna ili usiaibike?。
P
Ukichoka ugali kamuhoji inaelekea hata mama Abdul mwenyewe anaogopa kinyago alichokichongaAjitokeza hata mmoja akamuhoji Mafwele
Si kweli mkuu, huu siyo uzushi bali ni kweli inayotolewa kwa lugha ya satire. Na wewe unajua ni kweli ila kama wazungu wanavyosema "a man is the prisoner of his own conscious" yaani binadamu ni mtumwa wa dhamira yake.Sio kila uzushi ni wa ku balance,uzushi mwingine ni ukichaa, unaupiuzia tuu!。Mfano umepiga mechi ya mpira wa kona na timu ya ugenini,ukapiga tobo bao kimiani!, kumbe kipa kichaa,kwa hasira za kupigwa bao la tobo, akaamua kukuaibisha kuwa japo ni kweli mmecheza mechi na umepiga bao,ila wewe huna sunna!,je utaonyesha kuwa unayo sunna ili usiaibike?。
P
Laiti ungeijua hiyo tasnia ya habari.Uteuzi unaua tasnia ya habari kwa kiwango kikubwa sana.
Kwanin wasimuhoji mama yake ?Waandishi wa habari wa bongo ni wakuda sana.
Wote wameufyanta mkio hakuna hata mmoja aliyethubuti kumtafuta Abdul na kumuhoji juu ya sakata la fedha za mama Abdul.
Wazee inabidi mbalansi story yenu kwa kumuhoji na Abdul pia baada ya kuwahoji Wenje,Lissu na Mbowe.
Walaji wa habari zenu wanahitaji kula na story ya Abdul ili washibe vizuri. Alaaaaaaaaaaaa!
Ebu aibuke mwandishi mmoja ambaye ni jasiri asiyekuwa na chembe ya uoga na uchawa amtafute Abdul na amuhoji kwa kina ili tujue ukweli wa hili swala la fedha za mama Abdul.
Wazee mbona waoga sana hahahahaaaa. Yaani kwenye hili mmeuchuna kimya kama hampo vile.
Umeongea kitu cha msingi sana mkuu.Si kweli mkuu, huu siyo uzushi bali ni kweli inayotolewa kwa lugha ya satire. Na wewe unajua ni kweli ila kama wazungu wanavyosema "a man is the prisoner of his own conscious" yaani binadamu ni mtumwa wa dhamira yake.
Paskali dhamira inakuhukumu, husikii amani moyoni kusikia tuhuma kwa Abdul na mama Abdul. Kwa amani ya moyo wako lazima u 'rubbish' .
Itatokea na atatokea mwenye guts atahoji, wakati waandishi mkiwa mnajitafakari aidha kwa maslahi au wasiojulikana bora tukae kimya tusubiri