Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,385
- 6,443
Kiukweli umeandika upuuzi tu haujaeleweka kabisa kwasababu lissu kamtaja abdul na wenje nae kamtaja abdul sasa hapo uzushi unatokea wapi?Sio kila uzushi ni wa ku balance,uzushi mwingine ni ukichaa, unaupiuzia tuu!。Mfano umepiga mechi ya mpira wa kona na timu ya ugenini,ukapiga tobo bao kimiani!, kumbe kipa kichaa,kwa hasira za kupigwa bao la tobo, akaamua kukuaibisha kuwa japo ni kweli mmecheza mechi na umepiga bao,ila wewe huna sunna!,je utaonyesha kuwa unayo sunna ili usiaibike?。
P
Naomba twende mdogo mdogo。Kiukweli umeandika upuuzi tu haujaeleweka kabisa kwasababu lissu kamtaja abdul na wenje nae kamtaja abdul sasa hapo uzushi unatokea wapi?
Naomba twende mdogo mdogo。Si kweli mkuu, huu siyo uzushi bali ni kweli inayotolewa kwa lugha ya satire. Na wewe unajua ni kweli ila kama wazungu wanavyosema "a man is the prisoner of his own conscious" yaani binadamu ni mtumwa wa dhamira yake.
Paskali dhamira inakuhukumu, husikii amani moyoni kusikia tuhuma kwa Abdul na mama Abdul. Kwa amani ya moyo wako lazima u 'rubbish' .
Itatokea na atatokea mwenye guts atahoji, wakati waandishi mkiwa mnajitafakari aidha kwa maslahi au wasiojulikana bora tukae kimya tusubiri
Unataka Watekwe?Waandishi wa habari wa bongo ni wakuda sana.
Wote wameufyanta mkio hakuna hata mmoja aliyethubuti kumtafuta Abdul na kumuhoji juu ya sakata la fedha za mama Abdul.
Wazee inabidi mbalansi story yenu kwa kumuhoji na Abdul pia baada ya kuwahoji Wenje,Lissu na Mbowe.
Walaji wa habari zenu wanahitaji kula na story ya Abdul ili washibe vizuri. Alaaaaaaaaaaaa!
Ebu aibuke mwandishi mmoja ambaye ni jasiri asiyekuwa na chembe ya uoga na uchawa amtafute Abdul na amuhoji kwa kina ili tujue ukweli wa hili swala la fedha za mama Abdul.
Wazee mbona waoga sana hahahahaaaa. Yaani kwenye hili mmeuchuna kimya kama hampo vile.
Naomba twende mdogo mdogo。
- Umewasikia wewe mwenyewe kwa masikio yako au umehadithiwa tuu?
- Lissu amesema nini?
- Wenje amesema nini?
- Kati ya hao wawili kuna mmoja ni mkweli na mmoja ni muongo!。
- Mkweli ni yupi na kwa nini?
- Muongo ni yupi na kwanini?
- Abdul atafutwe ili aseme nini?.
Abdul atafutwe aseme kipi sahihi kati ya vitu vifuatavyo.Naomba twende mdogo mdogo。
P
- Umewasikia wewe mwenyewe kwa masikio yako au umehadithiwa tuu?
- Lissu amesema nini?
- Wenje amesema nini?
- Kati ya hao wawili kuna mmoja ni mkweli na mmoja ni muongo!。
- Mkweli ni yupi na kwa nini?
- Muongo ni yupi na kwanini?
- Abdul atafutwe ili aseme nini?.
Thubutuu,hili nimelijifunza kwenye siasa za amerika tangu 2020 hadi 2024.Ujue hii habari ya vyombo vya habari vinavyoweza kutumika vibaya.Ilimlazimu Mzee Trumpet aanzishe Truth social media,Tweeter inunuliwe na Elon Musk,bbc,voa,dw,france intl na upuuzi mwingi kupuuzwa.Hata rfa leo anajua alivyopoteza wasikilizaji waliokuwa na imani na zile intenational media walivyo zipuuza.Waandishi wa habari wa bongo ni wakuda sana.
Wote wameufyanta mkio hakuna hata mmoja aliyethubuti kumtafuta Abdul na kumuhoji juu ya sakata la fedha za mama Abdul.
Wazee inabidi mbalansi story yenu kwa kumuhoji na Abdul pia baada ya kuwahoji Wenje,Lissu na Mbowe.
Walaji wa habari zenu wanahitaji kula na story ya Abdul ili washibe vizuri. Alaaaaaaaaaaaa!
Ebu aibuke mwandishi mmoja ambaye ni jasiri asiyekuwa na chembe ya uoga na uchawa amtafute Abdul na amuhoji kwa kina ili tujue ukweli wa hili swala la fedha za mama Abdul.
Wazee mbona waoga sana hahahahaaaa. Yaani kwenye hili mmeuchuna kimya kama hampo vile.
Mtu kama Deodatus Balile ambaye kila leo yuko kwenye trip za mama, anakula mema ya nchi, ataanzaje kumhoji Abdul kuhusu pesa chafu anazopenyeza kuua upinzani? Unataka akate tawi alilolikalia? Hii haiwezekani kamwe! Kwa sasa hakuna waandishi Tanzania wanaoweza kuhoji masuala mazito yanayohusu ufisadi. Hakuna kaliba ya waandishi wa jamii ya Johnson Mbwambo, Jenerali Ulimwengu, Joseph Mihangwa, Profesa Bwenge nk. Mtu kama Maggid Mjengwa utegemee ahoji masuala manene kaa haya wakati ni kada mtiifu wa CCM?Waandishi wa habari wa bongo ni wakuda sana.
Wote wameufyanta mkio hakuna hata mmoja aliyethubuti kumtafuta Abdul na kumuhoji juu ya sakata la fedha za mama Abdul.
Wazee inabidi mbalansi story yenu kwa kumuhoji na Abdul pia baada ya kuwahoji Wenje,Lissu na Mbowe.
Walaji wa habari zenu wanahitaji kula na story ya Abdul ili washibe vizuri. Alaaaaaaaaaaaa!
Ebu aibuke mwandishi mmoja ambaye ni jasiri asiyekuwa na chembe ya uoga na uchawa amtafute Abdul na amuhoji kwa kina ili tujue ukweli wa hili swala la fedha za mama Abdul.
Wazee mbona waoga sana hahahahaaaa. Yaani kwenye hili mmeuchuna kimya kama hampo vile.
Nakuunga mkono kaka. Baada ya media kubwa kubeba propaganda za kumponda Trump, Elon aliinunua Twitter na kugeuza upepo. The same happened kwa JK, alipoona magazeti ya Mtanzania na Rai yanatoa habari ambazo hazipendi ama hapendi kuzisikia, akaweka deal na Rostam, Rostam akainunua kampuni nzima ya Habari Corporation na kuyaua magazeti husika. Kupata independent media house Tanzania kwa sasa ni ngumu sana, ni kama kusaka mwanamke bikra ndani ya wadi ya wazazi.Thubutuu,hili nimelijifunza kwenye siasa za amerika tangu 2020 hadi 2024.Ujue hii habari ya vyombo vya habari vinavyoweza kutumika vibaya.Ilimlazimu Mzee Trumpet aanzishe Truth social media,Tweeter inunuliwe na Elon Musk,bbc,voa,dw,france intl na upuuzi mwingi kupuuzwa.Hata rfa leo anajua alivyopoteza wasikilizaji waliokuwa na imani na zile intenational media walivyo zipuuza.
TAKUKURUWaandishi wa habari wa bongo ni wakuda sana.
Wote wameufyanta mkio hakuna hata mmoja aliyethubuti kumtafuta Abdul na kumuhoji juu ya sakata la fedha za mama Abdul.
Wazee inabidi mbalansi story yenu kwa kumuhoji na Abdul pia baada ya kuwahoji Wenje,Lissu na Mbowe.
Walaji wa habari zenu wanahitaji kula na story ya Abdul ili washibe vizuri. Alaaaaaaaaaaaa!
Ebu aibuke mwandishi mmoja ambaye ni jasiri asiyekuwa na chembe ya uoga na uchawa amtafute Abdul na amuhoji kwa kina ili tujue ukweli wa hili swala la fedha za mama Abdul.
Wazee mbona waoga sana hahahahaaaa. Yaani kwenye hili mmeuchuna kimya kama hampo vile.
Kitendo cha TAL,kusema jambo hilo since day one Mwandishi wa habari anaye jitambua alipaswa kuingia field kufanya investigative journalism,juu pesa chafu na vyanzo vya mapato.
Sababu ya upumbavu wa waandishi wa habari wa nchi hii,kuwa vilaza na mbumbu, wamekalia kuandia soft news tu.
Mtu kama Deodatus Balile ambaye kila leo yuko kwenye trip za mama, anakula mema ya nchi, ataanzaje kumhoji Abdul kuhusu pesa chafu anazopenyeza kuua upinzani? Unataka akate tawi alilolikalia? Hii haiwezekani kamwe! Kwa sasa hakuna waandishi Tanzania wanaoweza kuhoji masuala mazito yanayohusu ufisadi. Hakuna kaliba ya waandishi wa jamii ya Johnson Mbwambo, Jenerali Ulimwengu, Joseph Mihangwa, Profesa Bwenge nk. Mtu kama Maggid Mjengwa utegemee ahoji masuala manene kaa haya wakati ni kada mtiifu wa CCM?
Naomba twende mdogo mdogo。
- Umewasikia wewe mwenyewe kwa masikio yako au umehadithiwa tuu?
- Lissu amesema nini?
- Wenje amesema nini?
- Kati ya hao wawili kuna mmoja ni mkweli na mmoja ni muongo!。
- Mkweli ni yupi na kwa nini?
- Muongo ni yupi na
Hukuwahi kumsikia Lissu akisema kuhusu hili, au kwa sababu siyo kada?Naomba twende mdogo mdogo。
P
- Umewasikia wewe mwenyewe kwa masikio yako au umehadithiwa tuu?
- Lissu amesema nini?
- Wenje amesema nini?
- Kati ya hao wawili kuna mmoja ni mkweli na mmoja ni muongo!。
- Mkweli ni yupi na kwa nini?
- Muongo ni yupi na kwanini?
- Abdul atafutwe ili aseme nini?.
Unamaanusha nchi imetengeneza chawa wengi kiasi kwamba ufanisi wa watanzania na taaluma zao umepotea.Acha kujifanya uko Marekani au Uingereza. Hivi unadhani huyo Abdul ni Masha Love kwamba kwa simu moja tu unampata unafanya nae interview?
Kabla hujatukana taaluma za watu angalia na context ya nchi yako.
Kumpata tu Waziri kwenda kushiriki kwenye space zinazoandaliwa na LHRC huko X ni mtihani sembuse huyo Abdul ambaye ana tuhuma nzito hivyo?
Hii sio Marekani
P Kwangu mimi nafikiri huo utakuwa uoga,kawaida na jua mwanahabari anasikiliza pande zote kisha anaunda habari.Vipi iweje usikilize akina TL na Wenje pekee kwanini na Ankolee asipewe haki ya kusikilizwa?Naomba twende mdogo mdogo。
P
- Umewasikia wewe mwenyewe kwa masikio yako au umehadithiwa tuu?
- Lissu amesema nini?
- Wenje amesema nini?
- Kati ya hao wawili kuna mmoja ni mkweli na mmoja ni muongo!。
- Mkweli ni yupi na kwa nini?
- Muongo ni yupi na kwanini?
- Abdul atafutwe ili aseme nini?.