Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa ni kama waalimu; miaka nenda rudi unadai stahiki zako hata dalili ya kupewa huzioni..
Ukweli tasinia ya habari ni vichwa maji mwenzenu kabendera mpk leo mnajua kbs nn kilichopelekea yeye akawa ndani mpk sasa
Hamjatoa ushirikiano wowote usaliti wenu hautawapeleka popote mtatafunwa mmoja mmoja mpk mtaisha
Na wengine mnashangilia kwa yaliyomkuta mwenzenu
sent from toyota Allex
Ni kweliSiku hizi kuna Makanjanja na wasaka tonge tu...uandishi sahihi wa habari unapotea kwa kasi jinsi kizazi cha akina Jenerali Ulimwengu wanavyo zeeka...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli
Waandishi wa habari ni wale wa zamani
Leo tu watu wa kujipemlndekeza na hawapo upande wa wananchi.
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂Unaongelea hawa waandishi ambao irene uwoya aliwamwagia hela wakaanza kuzigombania?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mtoa mada naye ni mwandishi wa habari?Wewe umeishafanya nini ili waone mfano? Au ndio ninyi mliomuingiza mkenge Mange Kimambi?
Sio lazima awe mwandishi wa habari. Anaweza kuwa hata machinga. Lakini, hoja ni amefanya nini substantial huko aliko kiasi cha kuwaona waandishi wa habari hawajitambui. Nadhani umenipata.