Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Kitu chenye NCHA Kali kimegusa kalio. Utasikia YalaaaHongera sana kwa kuwa peke yako mwenye akili na msafi kati ya wasomi wote wa nchi hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitu chenye NCHA Kali kimegusa kalio. Utasikia YalaaaHongera sana kwa kuwa peke yako mwenye akili na msafi kati ya wasomi wote wa nchi hii.
Taahira wewe jibu hoja acha matusiHiyo 98%
Babako yumo
Hongera sana
Vipi Dunderhead ameacha kuanguka ule ugonjwa wake wa heart attack alioupata Luangwa kwenye Moshi wa kusulisuli.Hahahahahah,kila mtu anaangalia ugali wake,Tanzania sio nchi nzuri kabisa ya kujitoa kifront front kupinga serekale,otherwise utaumia wewe na familia yako.Hakuna na kukupigania mpaka kieleweke.
Hata mmuite majina,si unaona jamaa anavyotunyoosha?Jamaa yupo bhuheri wa afya.Anajiandaa kutumbua 2020.Sijui nani atakuwa wa kwanza kutumbuliwa.Vipi Dunderhead ameacha kuanguka ule ugonjwa wake wa heart attack alioupata Luangwa kwenye Moshi wa kusulisuli.
Mbona Kabendera alikuwa anakula pekee yake pesa za mabeberu??Ukweli tasinia ya habari ni vichwa maji mwenzenu kabendera mpk leo mnajua kbs nn kilichopelekea yeye akawa ndani mpk sasa
Hamjatoa ushirikiano wowote usaliti wenu hautawapeleka popote mtatafunwa mmoja mmoja mpk mtaisha
Na wengine mnashangilia kwa yaliyomkuta mwenzenu
sent from toyota Allex
Mbona Kabendera alikuwa anakula pekee yake pesa za mabeberu??
Na wewe mavi uko group gani katika hayo uliyoyataja hapo juu?Tatizo la Tanzania siyo waandishi pekee. Ni la watanzania wengi.
Wanaojitambua hawafiki hata 2% .
Ndio maana:
- Mnyika anaweza kuwatetea mbele ya Kibwengo kwamba waliovunjiwa nyumba Kimara walipwe " Wakashangilia Kwa Fujooo"
Baadaye, Kibwengo anainuka anasema hatamlipa yeyote hata 100 !
"Wanashangilia Tena Kwa Fujoo Ndelemo Na Vifijo"
Tanzania Asilimia 98 Kwa Sasa Ni Takataka. Ndio Maana Jitu Liko Tayari Kununua Huduma au Bidhaa Au Kuchagua Kiongozi Kwa Kuwa Mtu Fulani Maarufu Kalipwa Pesa Aliambie Kitu Hicho ni Kizuri.
"Wanazuoni, Maprofesa, Wanahabari, Wanavyuo, Vijana, Wanasiasa, Viongozi Wa Dini, Wastaaft Wote TAKATAKA tu.
Haukamiliki mpaka anyooke!Kamilisheni upelelezi, ahukumiwe.
Msaliti ndiyo dawa yakeMnamkomoa?
Ipo sheria va kukomoana?
Subiri kesi itakapoanza kusikilizwa ndipo utajua ushahidi upo au la!Una ushahidi wa Usaliti?
Naona ushakalia Kuni, katika !!Na wewe mavi uko group gani katika hayo uliyoyataja hapo juu?
Kwani amekuambia babake si mtanzania! Na shangazi yako Mwajuma pia yumo.Hiyo 98%
Babako yumo
Hongera sana
Siyo kweli, Kabendera na Azori pia wanazo sifa za kuthubutu.