Waandishi wa habari Tanzania hamjitambui

Waandishi wa habari Tanzania hamjitambui

Sema watu tu wenye fani za art art, akili sio nzuri sana, ona wakipata uteuzi au nafasi, utafikiri wamezaliwa upya na tofauti alivyokuwa, ona tu fumbua macho angalia!
Kupenda kutumika tu, awajali umri wao wala elimu,
 
Unawaonea tu waandishi
Ulitakiwa uwalaumu wapinzani,hiyo sio kazi ya waandishi
Unaanzaje kususia habari za serikali wakati chombo chako kimesajiliwa na serikali
Mbowe na genge lake wapo bize kula ruzuku tu
 
Hahahahahah,kila mtu anaangalia ugali wake,Tanzania sio nchi nzuri kabisa ya kujitoa kifront front kupinga serekale,otherwise utaumia wewe na familia yako.Hakuna na kukupigania mpaka kieleweke.
Vipi Dunderhead ameacha kuanguka ule ugonjwa wake wa heart attack alioupata Luangwa kwenye Moshi wa kusulisuli.
 
Ukweli tasinia ya habari ni vichwa maji mwenzenu kabendera mpk leo mnajua kbs nn kilichopelekea yeye akawa ndani mpk sasa

Hamjatoa ushirikiano wowote usaliti wenu hautawapeleka popote mtatafunwa mmoja mmoja mpk mtaisha

Na wengine mnashangilia kwa yaliyomkuta mwenzenu

sent from toyota Allex
Mbona Kabendera alikuwa anakula pekee yake pesa za mabeberu??
 
Tatizo la Tanzania siyo waandishi pekee. Ni la watanzania wengi.

Wanaojitambua hawafiki hata 2% .

Ndio maana:

- Mnyika anaweza kuwatetea mbele ya Kibwengo kwamba waliovunjiwa nyumba Kimara walipwe " Wakashangilia Kwa Fujooo"

Baadaye, Kibwengo anainuka anasema hatamlipa yeyote hata 100 !

"Wanashangilia Tena Kwa Fujoo Ndelemo Na Vifijo"

Tanzania Asilimia 98 Kwa Sasa Ni Takataka. Ndio Maana Jitu Liko Tayari Kununua Huduma au Bidhaa Au Kuchagua Kiongozi Kwa Kuwa Mtu Fulani Maarufu Kalipwa Pesa Aliambie Kitu Hicho ni Kizuri.

"Wanazuoni, Maprofesa, Wanahabari, Wanavyuo, Vijana, Wanasiasa, Viongozi Wa Dini, Wastaaft Wote TAKATAKA tu.
Na wewe mavi uko group gani katika hayo uliyoyataja hapo juu?
 
Back
Top Bottom