Waandishi wa habari Tanzania hamjitambui

Sema watu tu wenye fani za art art, akili sio nzuri sana, ona wakipata uteuzi au nafasi, utafikiri wamezaliwa upya na tofauti alivyokuwa, ona tu fumbua macho angalia!
Kupenda kutumika tu, awajali umri wao wala elimu,
 
Unawaonea tu waandishi
Ulitakiwa uwalaumu wapinzani,hiyo sio kazi ya waandishi
Unaanzaje kususia habari za serikali wakati chombo chako kimesajiliwa na serikali
Mbowe na genge lake wapo bize kula ruzuku tu
 
Hahahahahah,kila mtu anaangalia ugali wake,Tanzania sio nchi nzuri kabisa ya kujitoa kifront front kupinga serekale,otherwise utaumia wewe na familia yako.Hakuna na kukupigania mpaka kieleweke.
Vipi Dunderhead ameacha kuanguka ule ugonjwa wake wa heart attack alioupata Luangwa kwenye Moshi wa kusulisuli.
 
Mbona Kabendera alikuwa anakula pekee yake pesa za mabeberu??
 
Na wewe mavi uko group gani katika hayo uliyoyataja hapo juu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…