Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Ni kweli mfano habari hii ya wananchi wa Geita haieleweki wanazungumzia jambo gani mbali ya utitiri wa viongozi kuzungumza ktk clip hii. Inaonesha zile 5W + H1 za uandishi, mahojiano au upashanaji habari n.k hazizigatiwi labda kwa habari za udaku vitu vingi vya ndani ndiyo huanikwa
TOKA MAKTABA
Mlipuko wa moshi na matope Geita Tanzania 30 January 2024
View: https://m.youtube.com/watch?v=B2QgKLU4uUg
Mkuu,
Ni kweli 5 W hazijakamikishwa.
Lakini huoni kwamba hii ni habari ya awali kabisa baada ya tukio, na tunaambiwa wataalamu wa miamba watatafiti, na hivyo labda tunatakiwa kushukuru tu hata kwa Millard Ayo kuwapo sehemu ya tukio na kutupa tukio lilivyotokea tu, na sasa wengine wanaweza kutumia video hii kufanya uchambuzi zaidi?
Yani angalau tumepata hata video ya first account kutoka kwa wanakijiji, viongozinwa kijiji na mkuu wa wilaya.
Huoni kwamba hapa huwezi kukamilisha 5W, take what for example, huwezi kusema what really happenned zaidi ya walivyosema hao wananchi ku describe mlipuko, kwa sababu hata uchunguzi wa kitaalamu haujakamilika, na hicho ndicho pretty much alichosema Mkuu wa Wilaya?