Waandishi wa Habari waliotembelea bandari Dubai

Kuna watanzania wanatakiwa kuwekwa kwenye list ya maadui wa taifa, ukianza na Samia na Mbarawa, anayefuatia ni huyo mzee Balile, mwanaume mpuuzi anayejipendekeza kwa mwanamke ilimradi ajaze tumbo.
labda mamaako
 
CCM ni chama Cha hovyo sana, yaani unantumia Msukuma na Kibajaji kudrive issue sensitive Kama ya Bandari??, Bora hata Magufuli aliwatumia kina Prof Kabudi wakadanganya wakaeleweka.
Wtz ukiwasikiliza kwenye rooms za club house utacheka nakuona tuna ujinga mwingi, eti tunauliza Bunge likiidhinisha huo mkataba inakuwaje?. Binafsi ningesema kila jimbo litamke Kama Bunge litapitisha huu upuuzi basi mbunge afie ndani kwake choma kila kitu iwe starting point ya mapinduzi... Tumezid maneno bila vitendo, tumekalia siasa za chadema na CCM hata kwenye Mambo ya kitaifa.
 
Chief Mangungo = chief Hangaya.
 
Hakuna dua inayoweza kupigwa
na kisha wabunge wote wenye nia mbaya na nchi wakatangulia?
Hasa wa CCM
 
Hakuna Mwandishi tapeli Kama balile! Ukimsikiliza unaweza kudhani huyu ndio mtu! Likn ukimfuatilia Ni mtu hatari Sana.
Maulidi wa-KANGA anamzidi huyo, msome vizuri kwanini kila kitu kikitokea hakihusu michezo anapelekwa wa kwanza, aende kupush agenda, wanajua ana influence na foloweers wengi, naamini sasa watu wata mu- unfollow.
 
Watu wanashindana kujenga mahoteli waachie fursa huku hakuna wakuwagusa Wala kuwahoji hata ingekuwa wewe mambo yangekuwa hayo hayo!
 
Hili ni andiko Bora zaidi hapa jf,hakika Mungu asimame nasi huyu mama ameamua kuwauzia warabu nchi yetu,Si punde tutakuwa landlocked country.
 
Hivi bandari ya Dubai inasimamiwa na hawa DP?
Kwa nini wasingewapeleka na kwingineko hata huko Brazil?
Hapo kuna jambo.
Dunia ya leo kukataa wawekezaji ni mawazo mgando...
Tatizo si wawekezaji ila tunanufaikaje na uwekezaji wao...hap ndio inabidi tukae sawa mikataba itunufaishe.
Rushwa wakati wa negotiation ndio inatufanya tupate hasara kwa hiyo tatizo liko kwetu na si wawekezaji.
Dunia ya leo ukisubiri tender itangazwe ndio ushindanie hutafanya biashara ni lazima uoneshe mteja ana changamoto gani na namna utampa suluhisho kwa hiyo ni juu ya mteja kuwa makini kuangalia ananufaikaje.
Kwa kifupi bandari imetushinda na tunahitaji mwekezaji serious ila tatizo ni viongizi wetu ambao wanataka asilimia zao sababu utakuta hizo terms hata mwekezaji hakuaj nazo ila watu waliziingiza wapate chao.
Hivi kweli bila rushwa mtu utakubali kipengele cha mkataba kutovunjwa hata kama mwekezaji kazingua?
Halafu eti ndio wanajiita wazalendo hii nchi inahitaji maaamuzi magumu kubadili upuuzo huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…