Waandishi wa Habari waliotembelea bandari Dubai

jumbe zimekuwa kali sana, wazalendo naona mmekasirika, punguzeni hasira.
 
Hawa waarabu ni kuwatimua wote waliopo tanganyika

Nafikiri kwa hili suala ukitoa watu wachache wanao hoji kwa nia njema kabisa na hiyo hofu yao labda mkataba huu unaweza usilinufaishe Taifa, hawa hawana shida na ndo inavyotakiwa

Lkn kuna kundi jingine kubwa tu wakitajiwa Mwarabu akili zinaruka wanaona bora hata Mzungu, kwa mtizamo wao Mwarabu ni Uislam na utumwa na Uislam kwao ni kitu cha kupigwa vita (hata kama hakuna mahusiano na issues za ki nchi) na bahati mbaya kwa kuwa Rais nae ni muumini wa dini hiyo ambayo Warabu wengi wao ndo wanaiamini basi wengi wetu ndo wanajenga hoja za kupitia hili sijui uarabu na suala la ukomo wa mkataba wakati issue haijajadiliwa hata na chombo cha wa wakilishi (Bunge) kama imepitishwa au la , lkn ndani yao kabisa watu wanasumbuliwa na mambo ya udini, ukabila, ukanda ubara na u zanzibar na kwa muktaza huu , udini na u Zanzibar ndo vinawakilishwa wengi bila kujua faida na hasara halisi za makubaliano hayo

Vyombo vyetu vya usalama viwe makini kuna siku kamba inaweza kukatikia pa bovu kwa hizi hisia za ndani za udini zipigwe vita mno maana zinasubiria wapi tu kulipuka

Wanasema neno eti mwarabu utafikiria hana uwezo wowote, hivi kwa akili ya kawaida ile Dubai ilivyosimamishwa vile na hao watu wangekuwa mnavyowachulia wangeweza kubadili lile jangwa na kuwa vile , wapimeni kwa kazi zao na mapungufu yao na kama mkataba haufai utupiliwe mbali sio kukataa tu kisa Mwarabu na kuendeshwa kwa hisia za udini uliofichikana ndani ya baadhi ya hoja
 
Wakuu wote humu jamvini hivi haiwezekan kutoa elimu Nchi nzima watu wafunge kwa maombi ili wasiolitakia mema Taifa letu, kulitia hasara na ufisadi ili wahusika wote wa kimfumo wapate mapigo ambayo kila mmoja sasa ataogopa akijua yakipigwa maombi au dua kali ataumia? Maan kwa nguv ya wananchi naona limefail!!
 

Heshima kwenu wakuu Jaji Mfawidhi na OKW BOBAN SUNZU na bila kumsahau Author : Wakili msomi Bashir Yakubu. Nafarijika kuona bado kuna watanzania wanaoipenda nchi yao kama Wakili Msomi Bashir Yakubu kwani kwa bandiko hili yamkini wabunge wetu wakapata mwanga wa jinsi ya kutafakari hoja iliyoko mbele yao na kutoa maamuzi kwa manufaa ya taifa letu. Mkuu poisonous ambaye naamini (Nakupa benefit of Doubt) kwamba ni mzalendo kama mimi, je una nini chakusema juu ya hoja zilizowasilishwa na Wakili msomi Bashir?
Nawaomba Wakuu wangu waheshimiwa Wabunge kutafakari jambo lililopo mbele yao kwa manufaa ya Taifa la leo, la kesho na la Kesho kutwa

Ahsante​
 
CHADEMA wenyewe wanaatamishwa, kutotolewa, kulelewa na kufundishwa na NGO ya Kijerumani ya KAS Tanzania
 
Tunaishi nao mtaani
This time around itajulikana
Tanganyika ni sasa
Mama asishupaze shingo huko mbele ni kugumu sana
 
Wameifi....raaa nchiiiiiii sasa wanaigawa kwa waarabu...Aaaa Ebwana ninahasira sana,Likianzishwa lazima niingie barabarani this time
 
Hakuna Mwandishi tapeli Kama balile! Ukimsikiliza unaweza kudhani huyu ndio mtu! Likn ukimfuatilia Ni mtu hatari Sana.
Kweli Mkuu,ogopa sana mtu mwenye maneno mengi!
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…