Waandishi wa Habari waliotembelea bandari Dubai

Hawa waandishi wahabari lazima wanatoka Tbc na channel 10 . Hizi channels ni zakinafki bongo nzima cjawah ona.
Zinabagua vyama vingine, vinaficha ukweli Kwa wananchi like si kitu . yaani..
 
Kosa kubwa ni kuwa tuna raisi mwanamke,kiuhalisia wanawake wengi wanapenda sana utegemezi,wao jambo likiwa na changamoto kidogo tu ni wepesi wa kukimbia kutafuta msaada,Si ajabu mama zetu wanakopa kwenye vikoba na sehemu zingine kutatua changamoto za mavazi,kitchen party,kusuka nywele n.k wanawake hawapendi kupambana na changamoto na ndio maana Mungu alisema wawe wasaidizi tu maana alijua uwezo wao,Dunia imebadilika wanaume tumekuwa wasaidizi,ona taifa linazidi kupotea.
Ttcl na bandari kumetokea changamoto mama amekuwa mwepesi kuachia,Dunia hii hakuna jambo lisilokuwa na changamoto na lazima kuzikabili na ukishinda ndipo unaonekana shujaa,mi nadhani serikali nayo inachangamoto basi ibinafsishwe kama ubinafsishaji ndo suluhu.
Mama anatakiwa atambua hakuna mwekezaji mwenye malengo ya kukuza uchumi wetu badala ya uchumi wao,mi nadhani hata wasomi wengi ni weupe kichwani,shuleni tunasoma kabisa nature and character of capitalists,Cha kushangaza wapo wanashangilia tu eti wawekezaji wa bandari watatupatia fedha nyingi 10% ndo fedha nyingi?.pole Tanganyika umekosa msimamizi
 
Bashir Yakub....wakili....dalali....[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hivi kaka yetu wakili Bashir Yakub anataka kutuambia kuwa kamarada sana kaka mkubwa Deodatus Balile ni "kuwadi" wa anachofanya kilicho tofauti na madalali "mawakili"?!!!! [emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]

Hivi huu ni UWEKEZAJI wa kwanza kufanywa nchini kwetu?!!!

Hivi wekezaji nyingine zote huwa hakuna kutambulisha nguvu ya mwekezaji huko ATOKAKO ?!!!

Wakili Bashir Yakub atutajie WAANDISHI WA HABARI waliokwenda nchini MISRI kabla ya ARAB CONTRACTORS hawajaanza kazi zao bwawa la uzalishaji umeme mwalimu Nyerere?!!!

Walikuwa ni WAANDISHI wangapi?!!!

Nani na nani ?!!!

Walikaa siku ngapi Misri?!!!

Ama hajui ?!!

Hawajui ?!!!

Hajataka kuwajua?!!

Hivi Waturuki Yerpi Merkez wa reli ya "SGR" hawakupeleka WAANDISHI wa habari UTURUKI?!!!

Mbona Wakili Bashir hakupata kuandika na kuchambua kama ambavyo anamchambua kamarada Deodatus Balile?!!!

Wakili "dalali" ana yake....ana yake nasema [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

#SiempreJMT[emoji120]
 
Nilikuwa nafanya kazi kwenye bandari kavu moja, wakiingiza makontena 7 basi 2 au 3 hayalipiwi kodi. Na kampuni ni kampuni ambayo ina mkono wa wanasiasa waandamizi. Kwahiyo tatizo la bandari ni usimamizi tu. Viongozi wanapitisha konteina bila kulipa kodi. Ni ulafi wa wanasiasa wasiompenda kutosheka. Ndiyo wanaodholotesha utendaji wa bandari. Ugumu upo wapi? Ni pale kamati ya bunge inabidi isimamie utendaji wa bandari. Inashindwa kutokana nyuma ya pazia kuna wanasiasa waandamizi, ambao kwenye kamati za chama wenyewe ndiyo walioshika mpini. Sasa nani wakumvisha paka kengele? Ni utashi tu wa serikali kuongeza mapato bila kumpa mwekezaji inawekana, ila kupanga ni kuchagua. Tutumbue majibu ya bandari ili iwe tiba ya kudumu au tumpe wekezaji ili tukalibishe ukoloni mamboleo.
 
Hawa waarabu ni kuwatimua wote waliopo tanganyika
Huna uwezo huo....huna uthubutu huo....wako watanzania wenye asili ya kiarabu na wewe hobobo si raia wa daraja la juu kuwazidi wao....

Huna haki/nguvu/uthubutu wa kumpangia raia mwenzako....

#SiempreJMT[emoji120]
 
Mtake msitake....

Mradi huooo....
 
Waarabu wamedhamiria kuiangamiza Tanzania
Wewe utakuwa mjinga....

Wawekezaji wa migodini ni WAZUNGU....hawajatuangamiza?!!!

Aje mwarabu ,mzungu ,mchina ,mhindi mwekundu....tutakacho sisi ni MAENDELEO makubwa zaidi ya WIZI UENDELEAO TPA......
 
Hakuna Mwandishi tapeli Kama balile! Ukimsikiliza unaweza kudhani huyu ndio mtu! Likn ukimfuatilia Ni mtu hatari Sana.
Argumentum ad hominem....

Bashir Yakub amekutajia "list" ya WAANDISHI waliopelekwa Misri na "ARAB CONTRACTORS"?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787]
 
Hili ni andiko Bora zaidi hapa jf,hakika Mungu asimame nasi huyu mama ameamua kuwauzia warabu nchi yetu,Si punde tutakuwa landlocked country.
Imetengenezwa PROPAGANDA ya chuki dhidi ya mh.Rais SSH....wanajulikana walioko nyuma ya hayo.....ni ubaguzi tu....ni kukatwa tu "mirija " yao....kifupi si mapya.....

#SiempreJMT[emoji120]
 
Balile sijawahi kumuamini
....unamuamini mh.Mbowe tu....

Nakukumbusha kitu....

Mbona Chadema mlikuwa mnampenda kipindi kileee "CHA NGOME" kule Mbezi Beach wakati mh.Laigwanan ENL anawamwagia "manoti" tu ?!!![emoji1787][emoji1787]
 
Ni waarabu wangapi wamekuja kuwekeza kuchimba MADINI ?!!!!

Wengi ni WAZUNGU....

Toka tupate uhuru....hadi alipokuja hayati JPM...nchi ilikuwa inapata "mrahaba"- dividend 3%....sasa sijui MASHIMO YETU yanayojaa maji amesababisha MWARABU ama MZUNGU?!!!

Ukimuona mtu anaongelea "racism" katika masuala ya uwekezaji....mbatize ubini....ZAMWAMWA ZAMWAMWA ZAMWAMWA [emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…