Ukitaka kuandika tangazo linatakiwa liwe na mwito (Buy me buy me and read me read me)Kuna Kitu kimoja nakiona hakiko sawa Kwa Bashite japo hajawahi kuwa sawa vitu vingi ila hichi kimenishangaza zaidi!! Kama boss aliemteua keshamwakikishia Hana mpango wa kumtumbua haya mengine anahangaika nayo ya nini? Au nafsi inamsuta kwa anaowaongoza? Naona kama ingekuwa na tija kama angekuwa anafanya haya kumdanganya aliemteua ili asitengue uteuzi wake! Bashite acha kutumia hela za walipa kodi kwa miradi muflisi!!! Wananchi wote wanajua wewe ni mwizi wa cheti ila hapo uko kwa ajili ya ujeuri wa mtu mmoja tu!!
Mvivu wa kufikiriInawezekana vip mtu kujiundia tume yeye mwenyewe kwa kuchagua ama kupendekeza wahusika ktk tuhuma zinazo mkabili yeye mwenyewe?
Amesha chelewa maana tayari mch Gwajima Kesha maliza hiyo kazi mapemaaaKiongozi wa Mkoa anayesemekana kutumia jina lisilo lake ameandaa ziara ya Waandishi 10 watakaondoka kesho kuelekea Mkoani Mwanza. Waandishi hawa watakuwa na kazi maalumu Jijini Mwanza, katika Sekondari ya Pamba na Kijijini Koromije.
Kulingana na hadidu za rejea za ziara hii, waandishi watakutanishwa na kuongea na ndugu pamoja na walezi wa Kiongozi wa Mkoa na watatembelea Sekondari ya Pamba—Mwanza. Katika Sekondari hii watapata wasaha wa kupewa taarifa mbalimbali kuhusu Kiongozi wa Mkoa na kuongea na uongozi wa Sekondari.
Baadaye waandishi wataelekea Kijijini Koromije ambako watatakiwa kuwahoji watu kulingana na orodha iliyotolewa na Kiongozi wa Mkoa.
Kazi itakamilika kwa kuandaa taarifa katika mifumo mbalimbali ya kieletroniki (maandishi, sauti na video) zitakazolenga kuonyesha kuwa yote yaliyosemwa na kushuhudiwa juu ya Kiongozi wa Mkoa ni uongo. Taarifa kamili kutoka katika ziara hii zitarushwa mitandaoni na kupelekwa kwenye vyombo vya habari.
Lengo la ziara hii si kuibua ukweli bali kutaka kuufanya ukweli uchanganyikiwe kama njia ya kufifisha sakata la “BASHITE” Ifahamike kwamba huu ni muendelezo wa mikakati ya Mwana Kipenzi cha Mfalme baada ya kufurahia keki ya mwaka mmoja madarakani. Nakuuliza; hivi mawaziri waliambiwa wakibainika kufanya sherehe baada ya kuteuliwa watafanywa nini?
HIVI KUNA UGUMU GANI WA MAKONDA KUWEKA VYETI HADHALANI NA MAMBO YAKAISHA?Kiongozi wa Mkoa anayesemekana kutumia jina lisilo lake ameandaa ziara ya Waandishi 10 watakaondoka kesho kuelekea Mkoani Mwanza. Waandishi hawa watakuwa na kazi maalumu Jijini Mwanza, katika Sekondari ya Pamba na Kijijini Koromije.
Kulingana na hadidu za rejea za ziara hii, waandishi watakutanishwa na kuongea na ndugu pamoja na walezi wa Kiongozi wa Mkoa na watatembelea Sekondari ya Pamba—Mwanza. Katika Sekondari hii watapata wasaha wa kupewa taarifa mbalimbali kuhusu Kiongozi wa Mkoa na kuongea na uongozi wa Sekondari.
Baadaye waandishi wataelekea Kijijini Koromije ambako watatakiwa kuwahoji watu kulingana na orodha iliyotolewa na Kiongozi wa Mkoa.
Kazi itakamilika kwa kuandaa taarifa katika mifumo mbalimbali ya kieletroniki (maandishi, sauti na video) zitakazolenga kuonyesha kuwa yote yaliyosemwa na kushuhudiwa juu ya Kiongozi wa Mkoa ni uongo. Taarifa kamili kutoka katika ziara hii zitarushwa mitandaoni na kupelekwa kwenye vyombo vya habari.
Lengo la ziara hii si kuibua ukweli bali kutaka kuufanya ukweli uchanganyikiwe kama njia ya kufifisha sakata la “BASHITE” Ifahamike kwamba huu ni muendelezo wa mikakati ya Mwana Kipenzi cha Mfalme baada ya kufurahia keki ya mwaka mmoja madarakani. Nakuuliza; hivi mawaziri waliambiwa wakibainika kufanya sherehe baada ya kuteuliwa watafanywa nini?
Sasa kama yote yako sawa anahangaika na nini huyu naye? Ya nini utumie gharama kubwa kiasi hicho wakati jibu lilikuwa hata haligahrimu hata TZS 5000? Ni kiasi cha kuweka scanned copies ya vyeti hapa vyenye jina la Bashite, Daudi Alubati unakuwa umemaliza mchezo au kama anathibitisha kwamba yeye ndo alipiga kitabu pale Pamba kwa jina la Paulo Kristian Makonda unavimwaga hapa jamvini unakata watu kilimilimi! Sasa eti upeleke waandishi 10 huko Koromije wa kazi gani? Lakini mbona ulioneshwa hapa mpaka nyumbani kwa mama Suzana pale Koromije kwenye gazeti la Mwanahalisi? Ina maana hao waandishi hawaamini?Kiongozi wa Mkoa anayesemekana kutumia jina lisilo lake ameandaa ziara ya Waandishi 10 watakaondoka kesho kuelekea Mkoani Mwanza. Waandishi hawa watakuwa na kazi maalumu Jijini Mwanza, katika Sekondari ya Pamba na Kijijini Koromije.
Kulingana na hadidu za rejea za ziara hii, waandishi watakutanishwa na kuongea na ndugu pamoja na walezi wa Kiongozi wa Mkoa na watatembelea Sekondari ya Pamba—Mwanza. Katika Sekondari hii watapata wasaha wa kupewa taarifa mbalimbali kuhusu Kiongozi wa Mkoa na kuongea na uongozi wa Sekondari.
Baadaye waandishi wataelekea Kijijini Koromije ambako watatakiwa kuwahoji watu kulingana na orodha iliyotolewa na Kiongozi wa Mkoa.
Kazi itakamilika kwa kuandaa taarifa katika mifumo mbalimbali ya kieletroniki (maandishi, sauti na video) zitakazolenga kuonyesha kuwa yote yaliyosemwa na kushuhudiwa juu ya Kiongozi wa Mkoa ni uongo. Taarifa kamili kutoka katika ziara hii zitarushwa mitandaoni na kupelekwa kwenye vyombo vya habari.
Lengo la ziara hii si kuibua ukweli bali kutaka kuufanya ukweli uchanganyikiwe kama njia ya kufifisha sakata la “BASHITE” Ifahamike kwamba huu ni muendelezo wa mikakati ya Mwana Kipenzi cha Mfalme baada ya kufurahia keki ya mwaka mmoja madarakani. Nakuuliza; hivi mawaziri waliambiwa wakibainika kufanya sherehe baada ya kuteuliwa watafanywa nini?
AnajichoshaHakika huyu ni mwana kipenzi wa mfalme.
Kwahiyo ameandaa list ya watu wa kwenda kuhojiwa.
Na watu hao 'wameshajiandaa' kuhojiwa.
Hawa watu waache kutufanyia maigizo,huu ni upotevu wa rasilimali.
Na hapa mpumbafu hatakuwa Bashite bali wale waandishi watakaoenda hiyo ziara! Na kama kuzomewa waandishi na vyombo hivyo ndio vina deserve kuzomewa na kupuuzwa milele!Hakika huyu ni mwana kipenzi wa mfalme.
Kwahiyo ameandaa list ya watu wa kwenda kuhojiwa.
Na watu hao 'wameshajiandaa' kuhojiwa.
Hawa watu waache kutufanyia maigizo,huu ni upotevu wa rasilimali.
Mitandao ina nguvu inapotoa tuhuma za kweli na ina nguvu na inafaa sana kwa demokrasia endelevu ni uwanja mzuri wa mtu mmoja mmoja kutoa maoni yao.Kumbe unadharau hili jukwaa kwa senti anazokupa Bashite? Kumbuka hata Mtukufu malaika huwa anajifunza kupitia mtandao huu, unakumbuka kosa alilofanya kwenye teuzi za wabunge likasabbisha yule NW Possi akatenguliwa ubunge na kupewa ubalozi?
Kabla hajatengeneza sinema yake si muende mahakamani?Acha matusi dogo... Sasa mbona unayemtetea anataka kuandaa video na audio kutoka koromije ili ajitetee...wewe povu la nini? Mshauri aoneshe vyeti vyake kwa waziri wake badala ya kupeleka waandishi koromije... Acha akili za kutaga.
Kama hataki jeTutulie vipi kwani kuonyesha cheti inachukua dakika ngapi? Mbona yy anakuwa mwepesi wa kutupia upuuzi wake kwenye mitandao kwa muda mfupi
Asipowekaaonyeshe vyeti tu, nini kutumia kodi zetu, waliosoma nae wapo, anajua kila kitu, kama walimu washapozwa, weka vyeti kama kigwangala na nchemba maisha yasonge mbele
Haonyeshi anachapa kazi tumie nilijua ataonyesha vyeti
HatakiChaaaa
Yote ya nini haya,Mbona kutoa Vyeti ni Rahisi sana.
Inampunguzia nini?Cheti hana sabb ya kuzungusha!, ka kwara cheti cha mtu kaendelea mbele tena kimkanda2, bila ya sitta na Riz isingewezekana maana ana maneno mengi mdomoni lakini shule sifuri, neno "Petroleum" anaandika "Petrolium"
Ungekuwa mjanja usingesubiri atoe vyeti kwa zaidi ya mwezi sasa ungeshamburuza mahakamaniWatanzania wa leo tumejanjaluka hatudanganyiki