Kwa maana hiyo serikali yetu sio ya kuaminika,kumbe ina watu wake wa kuwalinda hata wakiwa na hatia.Hao walioandaliwa wajiandae kutoa ushahidi mahakamani. Ninachotaka kujua huyu mtu kwanini system inamlinda kwa nguvu zote. It does not make sense. Lazima kuna kitu tumekimiss. There is a missing link somewhere.
Utatukana matusi yote usipoenda mahakamani kupeleka ushahidi akiwemo aliyeibiwa cheti imekula kwako.
- Kama litatokea hilo nitapata waswas na aliyemteua na aliyeteuliwa hivi haya mambo yanaweza kutuletea machafuko hivi siuweke vyeti mezani kenge wewe kwanini utusumbue? Mm nimekibia kituo kwa sababu hiyohiyo lafa wewe
HawekiKifupi mwambie aweke cheti mezani aache maneno mengi mdomoni
BadoHivi na mawaziri wameshajipongeza kutimiza miaka miwili madarakani?
Mbwembwe gani?Zile mbwembwe zake huwa amuonyesha nani?
Kiongozi wa Mkoa anayesemekana kutumia jina lisilo lake ameandaa ziara ya Waandishi 10 watakaondoka kesho kuelekea Mkoani Mwanza. Waandishi hawa watakuwa na kazi maalumu Jijini Mwanza, katika Sekondari ya Pamba na Kijijini Koromije.
Kulingana na hadidu za rejea za ziara hii, waandishi watakutanishwa na kuongea na ndugu pamoja na walezi wa Kiongozi wa Mkoa na watatembelea Sekondari ya Pamba—Mwanza. Katika Sekondari hii watapata wasaha wa kupewa taarifa mbalimbali kuhusu Kiongozi wa Mkoa na kuongea na uongozi wa Sekondari.
Baadaye waandishi wataelekea Kijijini Koromije ambako watatakiwa kuwahoji watu kulingana na orodha iliyotolewa na Kiongozi wa Mkoa.
Kazi itakamilika kwa kuandaa taarifa katika mifumo mbalimbali ya kieletroniki (maandishi, sauti na video) zitakazolenga kuonyesha kuwa yote yaliyosemwa na kushuhudiwa juu ya Kiongozi wa Mkoa ni uongo. Taarifa kamili kutoka katika ziara hii zitarushwa mitandaoni na kupelekwa kwenye vyombo vya habari.
Lengo la ziara hii si kuibua ukweli bali kutaka kuufanya ukweli uchanganyikiwe kama njia ya kufifisha sakata la “BASHITE” Ifahamike kwamba huu ni muendelezo wa mikakati ya Mwana Kipenzi cha Mfalme baada ya kufurahia keki ya mwaka mmoja madarakani. Nakuuliza; hivi mawaziri waliambiwa wakibainika kufanya sherehe baada ya kuteuliwa watafanywa nini?
Mbwembwe gani?Zile mbwembwe zake huwa amuonyesha nani?
Anachezea Pesa Bure.
Angetoa Vyeti kwanza.
Pia swala hili sio la kipropaganda ni la kuchunguzwa kwa kufuata sheria na kanuni za utumishi wa Umma.
Bashite hajui namna ya ku-"deal" na ishu za umma. Anakuja kiushilawadushilawadu.
Nakuooona bashiteeeee unakula tu Ubuyuuuuuu
Kuna watu washajimilikisha nchi. Basi tuKiongozi wa Mkoa anayesemekana kutumia jina lisilo lake ameandaa ziara ya Waandishi 10 watakaondoka kesho kuelekea Mkoani Mwanza. Waandishi hawa watakuwa na kazi maalumu Jijini Mwanza, katika Sekondari ya Pamba na Kijijini Koromije.
Kulingana na hadidu za rejea za ziara hii, waandishi watakutanishwa na kuongea na ndugu pamoja na walezi wa Kiongozi wa Mkoa na watatembelea Sekondari ya Pamba—Mwanza. Katika Sekondari hii watapata wasaha wa kupewa taarifa mbalimbali kuhusu Kiongozi wa Mkoa na kuongea na uongozi wa Sekondari.
Baadaye waandishi wataelekea Kijijini Koromije ambako watatakiwa kuwahoji watu kulingana na orodha iliyotolewa na Kiongozi wa Mkoa.
Kazi itakamilika kwa kuandaa taarifa katika mifumo mbalimbali ya kieletroniki (maandishi, sauti na video) zitakazolenga kuonyesha kuwa yote yaliyosemwa na kushuhudiwa juu ya Kiongozi wa Mkoa ni uongo. Taarifa kamili kutoka katika ziara hii zitarushwa mitandaoni na kupelekwa kwenye vyombo vya habari.
Lengo la ziara hii si kuibua ukweli bali kutaka kuufanya ukweli uchanganyikiwe kama njia ya kufifisha sakata la “BASHITE” Ifahamike kwamba huu ni muendelezo wa mikakati ya Mwana Kipenzi cha Mfalme baada ya kufurahia keki ya mwaka mmoja madarakani. Nakuuliza; hivi mawaziri waliambiwa wakibainika kufanya sherehe baada ya kuteuliwa watafanywa nini?
Kwa mujibu wa sheria ya nchi raia yeyote anaweza kumpeleka mahakamani raia mwingine iwapo atakuwa na ushahidi kuwa raia huyo amevunja sheria fulani ya nchi. Najua unangoja jamhuri impeleke mahakamani kisheria jamhuri kwa maana ya polisi haiwezi kumpeleka mtu mahakamani kwa kufuata porojo za mitandaoni. Sheria inataka mtu akalalamike kwanza. Kumbuka kuna zoezi la kuhakiki vyeti linaendelea lkn haliwagusi wateule wa rais na wanasiasa.Si jukumu lake kumpeleka daudi mahakamani isipokua yy atasaidia tu kutoa ushahidi pale vyombo vinavyohusika vitakapomchukulia hatua dab
Hatia hutamkwa mahakamani pekee mahakama gani imemtangaza makonda ana hatia? Au gwajima amekuwa mahakama?Kwa maana hiyo serikali yetu sio ya kuaminika,kumbe ina watu wake wa kuwalinda hata wakiwa na hatia.
Serikali ya awamu ya tano ni tatizo.
Mkuu hii Avatar inanifurahisha sana mtu mzima analia kama toto kisa kaambiwa toa chetiaweke vyetti mezani kwa nini anapapanya fedha kutengeneza filamu
Of course! Ikiwa Paul Makonda atakuwa ngazi ya nne, then the thing Daudi Bashite will prevail, ever and ever!Ukweli una tabia ya kupanda ngazi !
Eti mateja ndio wamuombee msamaha, haiwezekani atoe vyeti!!Bashite ana msongo wa mawazo ndio maana anajiandalia visherehe vya kujiliwaza.
Tulieni c mnataka ukweliYanini kujisumbua na kujichosha kote huko, ni nini kinachomfanya ashindwe kutoa vyeti ili kuzima huu mjadala?
Huyu jamaa amechanganyikiwa bila shaka. Anafanya mambo ya kijinga kijinga tu.
Atahangaika lakini mwisho wa siku kinachohitajika ni vyeti.
Kumbe unadharau hili jukwaa kwa senti anazokupa Bashite? Kumbuka hata Mtukufu malaika huwa anajifunza kupitia mtandao huu, unakumbuka kosa alilofanya kwenye teuzi za wabunge likasabbisha yule NW Possi akatenguliwa ubunge na kupewa ubalozi?Kwa mujibu wa sheria ya nchi raia yeyote anaweza kumpeleka mahakamani raia mwingine iwapo atakuwa na ushahidi kuwa raia huyo amevunja sheria fulani ya nchi. Najua unangoja jamhuri impeleke mahakamani kisheria jamhuri kwa maana ya polisi haiwezi kumpeleka mtu mahakamani kwa kufuata porojo za mitandaoni. Sheria inataka mtu akalalamike kwanza. Kumbuka kuna zoezi la kuhakiki vyeti linaendelea lkn haliwagusi wateule wa rais na wanasiasa.