Mziwandawamama
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 1,303
- 939
Bila kujua ndo atajiaribia zaidi maana bwana yule wa ubungo atamsaula hadi boxer kweupeeeee saa saba pale mataaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tume ya nini? ,au ni mkakati wa kuzunguka zunguka mpaka ukwell upotee? Gharama ya kupeleka waandishi 10, ni kubwa,na hakutamaliza tatizo Labda warudi na vyeti.Lakini kwa maoni yangu tuhuma /kosa la kutumiaia cheti cha mtu mwingine linahitaji tume
Huu ni upuuziKiongozi wa Mkoa anayesemekana kutumia jina lisilo lake ameandaa ziara ya Waandishi 10 watakaondoka kesho kuelekea Mkoani Mwanza. Waandishi hawa watakuwa na kazi maalumu Jijini Mwanza, katika Sekondari ya Pamba na Kijijini Koromije.
Kulingana na hadidu za rejea za ziara hii, waandishi watakutanishwa na kuongea na ndugu pamoja na walezi wa Kiongozi wa Mkoa na watatembelea Sekondari ya Pamba—Mwanza. Katika Sekondari hii watapata wasaha wa kupewa taarifa mbalimbali kuhusu Kiongozi wa Mkoa na kuongea na uongozi wa Sekondari.
Baadaye waandishi wataelekea Kijijini Koromije ambako watatakiwa kuwahoji watu kulingana na orodha iliyotolewa na Kiongozi wa Mkoa.
Kazi itakamilika kwa kuandaa taarifa katika mifumo mbalimbali ya kieletroniki (maandishi, sauti na video) zitakazolenga kuonyesha kuwa yote yaliyosemwa na kushuhudiwa juu ya Kiongozi wa Mkoa ni uongo. Taarifa kamili kutoka katika ziara hii zitarushwa mitandaoni na kupelekwa kwenye vyombo vya habari.
Lengo la ziara hii si kuibua ukweli bali kutaka kuufanya ukweli uchanganyikiwe kama njia ya kufifisha sakata la “BASHITE” Ifahamike kwamba huu ni muendelezo wa mikakati ya Mwana Kipenzi cha Mfalme baada ya kufurahia keki ya mwaka mmoja madarakani. Nakuuliza; hivi mawaziri waliambiwa wakibainika kufanya sherehe baada ya kuteuliwa watafanywa nini?
Makonda hauhusiki na kanuni za mtumishi wa umma yeye ni mteule wa rais anaweza kutumbuliwa wakati wowote mtumishi wa umma hawezi kutumbuliwa mpk apewe onyo mara tatu na mabaraza ya nidhamu yahusike.Anachezea Pesa Bure.
Angetoa Vyeti kwanza.
Pia swala hili sio la kipropaganda ni la kuchunguzwa kwa kufuata sheria na kanuni za utumishi wa Umma.
Bashite hajui namna ya ku-"deal" na ishu za umma. Anakuja kiushilawadushilawadu.
Nakuooona bashiteeeee unakula tu Ubuyuuuuuu
Kifupi mwambie aweke cheti mezani aache maneno mengi mdomonipelekeni nyie watu wenu.si mwanahalisi walikwenda mbona kiimya
Amwonyeshe nani na kwanini?Yote haya, ya nini? Si vionyeshwe vyeti tu?
Halafu wasukuma walivo wazito kuongea mbona ataumbuka! Labda atoke na wahojiwa Dar wakajifanye wenyeji wa KoromijeYaani kuonesha vyeti tuu imekuwa kazi kubwa kuliko kupeleka lundo Kolomije??
Anyways, namshauri aunde timu ya watu wa maana ambao wanajua conspiracy kwa hali ya juu maana Watu walishaenda huko na kufanya mahojiano. So tuna majibu. Wakitaka kutudanganya, watudanganye vizuri asee.
Ndiyo maana yake! sijui anamdanganya nani anatufanya sisi kama mambulula fulaniWaandishi watakao enda pamoja na watu watakao pangwa kuhojiwa lazima watakua wamenunuliwa
Haitasaidia cha msingi apeleke ushahidi alionao mahakamani ili akikuta na hatia afungwe tu.Bila kujua ndo atajiaribia zaidi maana bwana yule wa ubungo atamsaula hadi boxer kweupeeeee saa saba pale mataaa
Haitasaidia cha msingi apeleke ushahidi alionao mahakamani ili akikuta na hatia afungwe tu.Bila kujua ndo atajiaribia zaidi maana bwana yule wa ubungo atamsaula hadi boxer kweupeeeee saa saba pale mataaa
Zile mbwembwe zake huwa amuonyesha nani?Amwonyeshe nani na kwanini?
Si jukumu lake kumpeleka daudi mahakamani isipokua yy atasaidia tu kutoa ushahidi pale vyombo vinavyohusika vitakapomchukulia hatua dabHaitasaidia cha msingi apeleke ushahidi alionao mahakamani ili akikuta na hatia afungwe tu.
HahahaKumbe sasahivi ukienda kuomba kazi mahali huna haja yakuonyesha vyeti bali unaenda na video zako zikionyesha watu waliohojiwa wakikushuhudia kwamba wewe ulimaliza form four shule fulani na hukupata div. zero