Waandishi wetu wa habari, Rutto na Museveni wako Arusha, mna kifua cha kuwauliza maswali kuhusu kutekwa kwa Kiiza Byesigye? Labda Pasco Mayala tu!

Waandishi wetu wa habari, Rutto na Museveni wako Arusha, mna kifua cha kuwauliza maswali kuhusu kutekwa kwa Kiiza Byesigye? Labda Pasco Mayala tu!

Hivi karibuni mwanasiasa wa upinzani Kiiza Byesigye alitekwa nchini Kenya na akasafirishwa mpela mpela mpaka Uganda.

Viongozi wa nchi hizo sasa wako Arusha kwa shughuli za jumuiya.

Nani atahoji viongozi hao kuhusu utekaji vs mkataba wa jumuiya pamoja na haki za binadamu?

Pasco anaweza, kwa kuwa walau alikuwa na ubavu wa kumuhoji maswali JPM maswali mazito katika wakati ambao hakuna ambaye angejaribu.

Kikeke? Yuko anazindua infrastructure bond.

Jacton Manyerere? Alipewa fursa na JPM aulize swali akaishia kuomba mwaliko wa kunywa wiski ikulu.

Ayoub Rioba? Bado ana chakula mdomoni, hawezi kuongea kwa sasa!
Wahuni at work
Wamekuja Kuangalia maghoroofa ayao ndugu na makampuni yao ya utaliiiiii
 
Hivi karibuni mwanasiasa wa upinzani Kiiza Byesigye alitekwa nchini Kenya na akasafirishwa mpela mpela mpaka Uganda.

Viongozi wa nchi hizo sasa wako Arusha kwa shughuli za jumuiya.

Nani atahoji viongozi hao kuhusu utekaji vs mkataba wa jumuiya pamoja na haki za binadamu?

Pasco anaweza, kwa kuwa walau alikuwa na ubavu wa kumuhoji maswali JPM maswali mazito katika wakati ambao hakuna ambaye angejaribu.

Kikeke? Yuko anazindua infrastructure bond.

Jacton Manyerere? Alipewa fursa na JPM aulize swali akaishia kuomba mwaliko wa kunywa wiski ikulu.

Ayoub Rioba? Bado ana chakula mdomoni, hawezi kuongea kwa sasa!
HAKUN WA KUULIZA HAO NI MADIKTETA WANAWEZA KUKUUWA
 
Ila Watanzania kwa kujitoa akili hatujambo, unataka wawaulize kina Museveni kutekwa kwa Besigye mbona wewe husaidii kuuiiza kuhusu kina Soka na Ben Saa nane waliopata madhira hapa hapa pua na mdomo tu.

Dah! Watanzania kwenye unafiki nchi nzima ni phd holders walahi
 
Hivi karibuni mwanasiasa wa upinzani Kiiza Byesigye alitekwa nchini Kenya na akasafirishwa mpela mpela mpaka Uganda.

Viongozi wa nchi hizo sasa wako Arusha kwa shughuli za jumuiya.

Nani atahoji viongozi hao kuhusu utekaji vs mkataba wa jumuiya pamoja na haki za binadamu?

Pasco anaweza, kwa kuwa walau alikuwa na ubavu wa kumuhoji maswali JPM maswali mazito katika wakati ambao hakuna ambaye angejaribu.

Kikeke? Yuko anazindua infrastructure bond.

Jacton Manyerere? Alipewa fursa na JPM aulize swali akaishia kuomba mwaliko wa kunywa wiski ikulu.

Ayoub Rioba? Bado ana chakula mdomoni, hawezi kuongea kwa sasa!
Mbona unapenda kujidanganya sana?Sasa Pascal ndiyo atauliza nini wakati hao unaotaka waulizwe anawaona kama CCM wenzake?What a laughter!
 
Hivi karibuni mwanasiasa wa upinzani Kiiza Byesigye alitekwa nchini Kenya na akasafirishwa mpela mpela mpaka Uganda.

Viongozi wa nchi hizo sasa wako Arusha kwa shughuli za jumuiya.

Nani atahoji viongozi hao kuhusu utekaji vs mkataba wa jumuiya pamoja na haki za binadamu?

Pasco anaweza, kwa kuwa walau alikuwa na ubavu wa kumuhoji maswali JPM maswali mazito katika wakati ambao hakuna ambaye angejaribu.

Kikeke? Yuko anazindua infrastructure bond.

Jacton Manyerere? Alipewa fursa na JPM aulize swali akaishia kuomba mwaliko wa kunywa wiski ikulu.

Ayoub Rioba? Bado ana chakula mdomoni, hawezi kuongea kwa sasa!
Tanzania, waandishi wa habari hamna, labda vichekesho/mauza uza ndo vimejaa kila kona.. 🤒🤒🤒
 
Lugha inawashinda au woga tu? Kumbuka wote wamekula kitabu, ujiandae na maswali yako,sio wale wanaogonga meza maswali yakiwashinda.
 
Hivi karibuni mwanasiasa wa upinzani Kiiza Byesigye alitekwa nchini Kenya na akasafirishwa mpela mpela mpaka Uganda.

Viongozi wa nchi hizo sasa wako Arusha kwa shughuli za jumuiya.

Nani atahoji viongozi hao kuhusu utekaji vs mkataba wa jumuiya pamoja na haki za binadamu?

Pasco anaweza, kwa kuwa walau alikuwa na ubavu wa kumuhoji maswali JPM maswali mazito katika wakati ambao hakuna ambaye angejaribu.

Kikeke? Yuko anazindua infrastructure bond.

Jacton Manyerere? Alipewa fursa na JPM aulize swali akaishia kuomba mwaliko wa kunywa wiski ikulu.

Ayoub Rioba? Bado ana chakula mdomoni, hawezi kuongea kwa sasa!
Pascal yule chawa?
 
Hivi karibuni mwanasiasa wa upinzani Kiiza Byesigye alitekwa nchini Kenya na akasafirishwa mpela mpela mpaka Uganda.

Viongozi wa nchi hizo sasa wako Arusha kwa shughuli za jumuiya.

Nani atahoji viongozi hao kuhusu utekaji vs mkataba wa jumuiya pamoja na haki za binadamu?

Pasco anaweza, kwa kuwa walau alikuwa na ubavu wa kumuhoji maswali JPM maswali mazito katika wakati ambao hakuna ambaye angejaribu.

Kikeke? Yuko anazindua infrastructure bond.

Jacton Manyerere? Alipewa fursa na JPM aulize swali akaishia kuomba mwaliko wa kunywa wiski ikulu.

Ayoub Rioba? Bado ana chakula mdomoni, hawezi kuongea kwa sasa!

..pia wanapaswa kuuliza kuhusu vita vya DRC.

..haiyumkini nchi wanachama wa EAC wakawa wanashambuliana kivita.
 
Back
Top Bottom