Waarabu kushangilia huku wakipeperusha bendera ya Tanzania inatuma ujumbe gani?

Sukuma gang mtapayuka sana kwa vihabari vya kuokoteza ili kumchafua mama Samia.

Mimi binafsi siipendi ccm ila kwa hili la kuwaminya sukuma gang inabidi nilifurahie.
 
Hao ni Watanzania walio kwenye mji mtakatifu Iraq walipokwenda kuhiji katika miji mitakatifu ya madhehebu ya Shia ya Najaf kulipo msikiti maarufu mtakatifu na Karbala kulipo kaburi la Imam Husayn .
Umewaumbua sukuma gang
 
Unamdanganya nani Pascali ?!. Lini hivi vitu vikawekwa wazi kwa waTanganyika ?!. Wasomi wa kibongo mmeiangusha sana nchi hii kwa njaa na uoga wenu. Bora hata wanasiasa na wanaharakati baadhi wanatuamsha.
Just be optimistic than pessimistic, subiria IGA itawekwa hadharani.
P
 
DPW imefanya waarabu waogopwe na watanganyika kama chawa na kunguni ndani ya nyumba.

Mkataba ule wa bandari uvunjwe, hatuutaki kabisa, hao waarabu hata kama wanashangilia mambo yao, hapa mkataba wa DPW hatuutaki hili muelewe.
Endelea kuukataa nyuma ya keyboard
 
Na kuna wajinga wenzie wanaomuunga mkono
 
Just be optimistic than pessimistic, subiria IGA itawekwa hadharani.
P
Tangu lini IGA ikawekwa hadharani?
Na kwa nini serikali imetupilia mbali mchakato wa kubadilisha sheria ya mali asili za Tanzania?
 
Hivi Paskali unajua kabisa IGA inamauzauza mengi afu uanataka iendelee ukitegema HGA ziwe wazi kwa Jamii na unajua kabisa kuwa WAZI NI VIKUGU KUWEZEKANA.
P Ebu tusaidie kwa Historia ya Nchi unafikili hiko Kinawezekana??!
 
Hivi Paskali unajua kabisa IGA inamauzauza mengi afu uanataka iendelee ukitegema HGA ziwe wazi kwa Jamii na unajua kabisa kuwa WAZI NI VIKUGU KUWEZEKANA.
P Ebu tusaidie kwa Historia ya Nchi unafikili hiko Kinawezekana??!
 
Hivi Paskali unajua kabisa IGA inamauzauza mengi afu uanataka iendelee ukitegema HGA ziwe wazi kwa Jamii na unajua kabisa kuwa WAZI NI VIKUGU KUWEZEKANA.
P Ebu tusaidie kwa Historia ya Nchi unafikili hiko Kinawezekana??!
 
Sasa kwanini unahangaishwa na anayeandika upuuzi, hizi sindano nakwambia sitaziacha, nitakuchoma mpaka na minyoo ndani ya tumbo lako nayo isikie maumivu.
Unahangaika wewe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…