Waarabu kushangilia huku wakipeperusha bendera ya Tanzania inatuma ujumbe gani?

Waarabu kushangilia huku wakipeperusha bendera ya Tanzania inatuma ujumbe gani?

Hao ni wahindi wa pale Kisutu wengi wao ni mashia huwa wanakwenda kuhiji Iraq kwenye mji wa Karbala !
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ™ Labda ndio wao na wengi wao ni Raia wa Tanzania πŸ‡ΉπŸ‡Ώ wa Kuzaliwa kuna ubaya gani wakipeperusha bendera ya Nchi yao ??!! 😍
Hata Makaburu walishaachaga Ubaguzi πŸ™πŸ™πŸ™
Na huenda hata Professor wa Bandari Issa Shivji yumo kundini😁
 
kwanza kabisa hao sio warabu, ni watanzania wa dhehebu la Mashia, Wako kwenye Hija huko Karbala ambako ndio msikiti mkuu wa mashia uliko(kila waumini wanabeba bendera ya nchi yao). Wengi wao ni wahindi wenye asili ya Tanzania. Sio WARABU, naona kama Admin wamelala usingizi mzito wanashindwa hata kurekebisha uongo unao sambazwa humu JF.

Tupunguze upumbavu jamani, hata kama mtu anashndwa kufikirisha akili yake basi tumia hata Google.
 
DPW imefanya waarabu waogopwe na watanganyika kama chawa na kunguni ndani ya nyumba.

Mkataba ule wa bandari uvunjwe, hatuutaki kabisa, hao waarabu hata kama wanashangilia mambo yao, hapa mkataba wa DPW hatuutaki hili muelewe.
lakini wadada wa kiswahili bado wapenda waarabu huku mtaani.
 
Ni hadi tutapojua wanachoimba, sababu ya kuimba, mahali walipo na ni watu wa asili ipi...

Kimuonekano jamii ya middle east inafanana, na wapo watu walio waarabu na wasio waarabu...
Hao wameeanda Karbala nchini Iraq.

Ni watanzania waislamu madh-hebu ya Shia.
 
Wapo wapi?

What's the context?

Kwahiyo hao ndo DPW?

Hakuna watz wenye asili ya arabuni?

Nyie mnaweka bendera za Israel na USA hadi chumbani kwenu nani anawauliza?
Umewaumbua kweli hapa, haters wa mama Samia Suluhu Hassan, The Mother of Modern Tanzania, Mungu anazidi kuwapiga laana tu; wanapoteana tu.
 
DPW imefanya waarabu waogopwe na watanganyika kama chawa na kunguni ndani ya nyumba.

Mkataba ule wa bandari uvunjwe, hatuutaki kabisa, hao waarabu hata kama wanashangilia mambo yao, hapa mkataba wa DPW hatuutaki hili muelewe.
Kwa hiyo wewe ukikutana na Mwarabu yeyote unamuona ni DP WORLD na ndiyo amepewa bandari?

Angalieni mtaningia hedhi siku si zenu kwa taharuki za kijinga
 
Back
Top Bottom