Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubaguzi ukizidi sana mpaka mtu anakuwa Zwazwa 😅😅🙏🙏Hao ni Watanzania walio kwenye mji mtakatifu Iraq walipokwenda kuhiji katika miji mitakatifu ya madhehebu ya Shia ya Najaf kulipo msikiti maarufu mtakatifu na Karbala kulipo kaburi la Imam Husayn .
Kazi kweli kweli !!Waarabu wanaupiga mwingi. Usiyempenda kaja
Na akina ABOOD 😂🙏🙏Akina Shabiby hao
Kweli uzi ufungwe tu !!Uzi ufungwe tu...
Hakuna sababu ya kuendelea kuwepo mada inayoeneza uongo juu ya watu wenye kufanya ibada, pengine hata wakiliombea Taifa kuepushwa na wenye husda, nia mbaya n.k...
Kama kuna anayejua wanaimba nini atutafsirie jamani. Huenda wanashangilia kupata koloni linaitwa tanzania🤣😂Kuna video imesambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii ikiwaonyesha kundi la warabu wakishangilia na kuimba nyimbo huku wakipeperusha bendera ya Tanzania kitu ambacho kimeibua maswali mengi miongoni mwa watanzania wakijiuliza inawezekanaje?
Yani katikati ya sakata la kuuzwa kwa bandari zote za Tanganyika kwa warabu wa DP world ya Dubai alafu tena waonekane warabu wakishangilia kama wamechukua kombe kwa nini?
Kweli viongozi wetu hawaoni hili?View attachment 2741665
Nijuavyo mimi tuna Watanzania wengi wenye asili ya Bara Hindi ambao ni Madhehebu ya Shia sidhani hata kuwa hao ni Watanzania wenye asili ya Kiarabu.Na muda huu ndiyo msimu wenyewe ndugu zetu toka Tanzania wapo huko kutekeleza jambo muhimu la kiimani katika miji Najaf na Karbala iliyopo Iraq.
View attachment 2741675
Hata Bongo zozo wapo watu walisema labda ana ajenda za kuipeleleza Nchi 😂😂😂😂🙏 kweli Akili ni mali !!😅Si Bongo zozo huyo.. kawapa bendera na yeye ndo anayerekodi. Wanaimba nini , hatujui!
Shida ya akili finyu wanadhani watz ni lazima wawe weusi.Hao ni Watanzania walio kwenye mji mtakatifu Iraq walipokwenda kuhiji katika miji mitakatifu ya madhehebu ya Shia ya Najaf kulipo msikiti maarufu mtakatifu na Karbala kulipo kaburi la Imam Husayn .
Acha scare mongering mbona Prof Issa Shivji nate yumo humo kwenye Hija tukufu.Kifuatacho Nchi hii Mola anajua
Hata Mbuyu ulianza kama Mchicha!!!
Hao ni wahindi na Sio waarabuAcha uoga ni ndugu zako hao waarabu wa magomeni na buguruni
Acha kusambaza Fake News unapata faida gani?Kabisa
Wanafurahia kujipatia koloni kwa njia ya ubwete kabisa.Kuna video imesambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii ikiwaonyesha kundi la warabu wakishangilia na kuimba nyimbo huku wakipeperusha bendera ya Tanzania kitu ambacho kimeibua maswali mengi miongoni mwa watanzania wakijiuliza inawezekanaje?
Yani katikati ya sakata la kuuzwa kwa bandari zote za Tanganyika kwa warabu wa DP world ya Dubai alafu tena waonekane warabu wakishangilia kama wamechukua kombe kwa nini?
Kweli viongozi wetu hawaoni hili?View attachment 2741665
Hao ni wahindi wa pale Kisutu wengi wao ni mashia huwa wanakwenda kuhiji Iraq kwenye mji wa Karbala !Nijuavyo mimi tuna Watanzania wengi wenye asili ya Bara Hindi ambao ni Madhehebu ya Shia sidhani hata kuwa hao ni Watanzania wenye asili ya Kiarabu.
KabisaHao ni wahindi na Sio waarabu
We kweli subwoofer!! Spika nzima kweli au wahuni washaichana????Wapo wapi?
What's the context?
Kwahiyo hao ndo DPW?
Hakuna watz wenye asili ya arabuni?
Nyie mnaweka bendera za Israel na USA hadi chumbani kwenu nani anawauliza?