Wanasema: "Asante sana kuundwa kwa kampuni ya DPW, na Sasa bandari ya Tanzania ni yetu"Kabla ya yote ingependeza kujua maneno yanayotamkwa hapo. Tunaweza kurupuka kuanza kulaumu wakati kinachozungumzwa ni tofauti kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasema: "Asante sana kuundwa kwa kampuni ya DPW, na Sasa bandari ya Tanzania ni yetu"Kabla ya yote ingependeza kujua maneno yanayotamkwa hapo. Tunaweza kurupuka kuanza kulaumu wakati kinachozungumzwa ni tofauti kabisa
Friendship ya kawaida kabisaKuna video imesambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii ikiwaonyesha kundi la warabu wakishangilia na kuimba nyimbo huku wakipeperusha bendera ya Tanzania kitu ambacho kimeibua maswali mengi miongoni mwa watanzania wakijiuliza inawezekanaje?
Yani katikati ya sakata la kuuzwa kwa bandari zote za Tanganyika kwa warabu wa DP world ya Dubai alafu tena waonekane warabu wakishangilia kama wamechukua kombe kwa nini?
Kweli viongozi wetu hawaoni hili?View attachment 2741665
Wameshika Ngiri masikio🙉🙉🙉🙉Kuna video imesambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii ikiwaonyesha kundi la warabu wakishangilia na kuimba nyimbo huku wakipeperusha bendera ya Tanzania kitu ambacho kimeibua maswali mengi miongoni mwa watanzania wakijiuliza inawezekanaje?
Yani katikati ya sakata la kuuzwa kwa bandari zote za Tanganyika kwa warabu wa DP world ya Dubai alafu tena waonekane warabu wakishangilia kama wamechukua kombe kwa nini?
Kweli viongozi wetu hawaoni hili?View attachment 2741665
Huenda ni Watanzania.Kuna video imesambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii ikiwaonyesha kundi la warabu wakishangilia na kuimba nyimbo huku wakipeperusha bendera ya Tanzania kitu ambacho kimeibua maswali mengi miongoni mwa watanzania wakijiuliza inawezekanaje?
Yani katikati ya sakata la kuuzwa kwa bandari zote za Tanganyika kwa warabu wa DP world ya Dubai alafu tena waonekane warabu wakishangilia kama wamechukua kombe kwa nini?
Kweli viongozi wetu hawaoni hili?View attachment 2741665
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Labda mama tayari amepost kwenye group lao la WhatsApp kuwa "mambo yameiva tayari"
Jichunge sana na Propaganda ndugu yanguWaislam sijui shida huwa nini yaani hamuoni yajayo wala machungu ya baadae nyie mnaona anachofanya ni sawa tu jueni hili nyani sio mmoja walizaliwa wengi na siku ya nyani wote kufa miti huteleza usifurahi juu yangu huu uwimbo sikiliza kwa makini. Hii hali ya bandari na kuuzwa kwa nchi yako iliyohenyewa halafu mtu au watu wanaona ni fine kuharibu utaratibu haya situpo ?? Hawatawajua kisa nyie mnasali pamoja wao wanachukiaga watu weusi mbaya mbaya sana tunarudi chini badala ya juu
Mwigulu Nchemba amependekeza kwenye Sheria mpya ya Manunuzi Serikali inunue Ndege, Vichwa vya Treni, Mabehewa ya Treni, Meli zilizotumika badala ya kuagiza mpya na wabunge wanasherehekea bungeni kwa sababu wanajua wananufaika na nini kufanya maamuzi hay.Jichunge sana na Propaganda ndugu yangu
Propaganda zipi nahuku niukweli mnafurahia sana kuwekwa kwa waarabu si udhibitisho upo au unautaka hakuna muislamu ambaye hamuungi mkono waarabu hakunagaJichunge sana na Propaganda ndugu yangu
Mleta mada atafsiri ili tujue kinachoimbwa hatuwezi kurukia jambo bila kujua undani wake kama yeye alivyofanyaKabla ya yote ingependeza kujua maneno yanayotamkwa hapo. Tunaweza kurupuka kuanza kulaumu wakati kinachozungumzwa ni tofauti kabisa
Asante kwa ufafanuzi mzuri wala Sasa ntaweza lalaHao ni Watanzania walio kwenye mji mtakatifu Iraq walipokwenda kuhiji katika miji mitakatifu ya madhehebu ya Shia ya Najaf kulipo msikiti maarufu mtakatifu na Karbala kulipo kaburi la Imam Husayn .
Una uhakika?hakuna muislamu ambaye hamuungi mkono waarabu hakunaga
Nimesikitishwa sana.Mwigulu Nchemba amependekeza kwenye Sheria mpya ya Manunuzi Serikali inunue Ndege, Vichwa vya Treni, Mabehewa ya Treni, Meli zilizotumika badala ya kuagiza mpya na wabunge wanasherehekea bungeni kwa sababu wanajua wananufaika na nini kufanya maamuzi hay.
Waone nini? kwani watu hukatazwa kwenda kwenye ibada nje ya Tanzania?Kweli viongozi wetu hawaoni hili?
Hata kama maneno yangekuwa "Nakupenda Tanzania" Bado jumuiko hilo la warabu lingetiliwa mashaka tu.Kabla ya yote ingependeza kujua maneno yanayotamkwa hapo. Tunaweza kurupuka kuanza kulaumu wakati kinachozungumzwa ni tofauti kabisa
Mleta mada ni kati ya wapinzani wa ccm ndani ya ccm .Mleta mada atafsiri ili tujue kinachoimbwa hatuwezi kurukia jambo bila kujua undani wake kama yeye alivyofanya
Huyo ni kilaza tuWaone nini? kwani watu hukatazwa kwenda kwenye ibada nje ya Tanzania?
Kisa bandari mnaanza kuogopa hata rangi za watu?Hata kama maneno yangekuwa "Nakupenda Tanzania" Bado jumuiko hilo la warabu lingetiliwa mashaka tu.
Ngoja niwaambie. Hawo wanaorusha bendera yetu kwa furaha ni Wasukuma, wako wengi sana Oman na Dubai. Mmoja wao huyu hapa:Kuna video imesambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii ikiwaonyesha kundi la warabu wakishangilia na kuimba nyimbo huku wakipeperusha bendera ya Tanzania kitu ambacho kimeibua maswali mengi miongoni mwa watanzania wakijiuliza inawezekanaje?
Yani katikati ya sakata la kuuzwa kwa bandari zote za Tanganyika kwa warabu wa DP world ya Dubai alafu tena waonekane warabu wakishangilia kama wamechukua kombe kwa nini?
Kweli viongozi wetu hawaoni hili?View attachment 2741665