Waarabu kushangilia huku wakipeperusha bendera ya Tanzania inatuma ujumbe gani?

Waarabu kushangilia huku wakipeperusha bendera ya Tanzania inatuma ujumbe gani?

Kabla ya yote ingependeza kujua maneno yanayotamkwa hapo. Tunaweza kurupuka kuanza kulaumu wakati kinachozungumzwa ni tofauti kabisa
Wanasema: "Asante sana kuundwa kwa kampuni ya DPW, na Sasa bandari ya Tanzania ni yetu"
 
Kuna video imesambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii ikiwaonyesha kundi la warabu wakishangilia na kuimba nyimbo huku wakipeperusha bendera ya Tanzania kitu ambacho kimeibua maswali mengi miongoni mwa watanzania wakijiuliza inawezekanaje?

Yani katikati ya sakata la kuuzwa kwa bandari zote za Tanganyika kwa warabu wa DP world ya Dubai alafu tena waonekane warabu wakishangilia kama wamechukua kombe kwa nini?
Kweli viongozi wetu hawaoni hili?View attachment 2741665
Friendship ya kawaida kabisa
 
Kuna video imesambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii ikiwaonyesha kundi la warabu wakishangilia na kuimba nyimbo huku wakipeperusha bendera ya Tanzania kitu ambacho kimeibua maswali mengi miongoni mwa watanzania wakijiuliza inawezekanaje?

Yani katikati ya sakata la kuuzwa kwa bandari zote za Tanganyika kwa warabu wa DP world ya Dubai alafu tena waonekane warabu wakishangilia kama wamechukua kombe kwa nini?
Kweli viongozi wetu hawaoni hili?View attachment 2741665
Wameshika Ngiri masikio🙉🙉🙉🙉
 
Kuna video imesambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii ikiwaonyesha kundi la warabu wakishangilia na kuimba nyimbo huku wakipeperusha bendera ya Tanzania kitu ambacho kimeibua maswali mengi miongoni mwa watanzania wakijiuliza inawezekanaje?

Yani katikati ya sakata la kuuzwa kwa bandari zote za Tanganyika kwa warabu wa DP world ya Dubai alafu tena waonekane warabu wakishangilia kama wamechukua kombe kwa nini?
Kweli viongozi wetu hawaoni hili?View attachment 2741665
Huenda ni Watanzania.
 
Waislam sijui shida huwa nini yaani hamuoni yajayo wala machungu ya baadae nyie mnaona anachofanya ni sawa tu jueni hili nyani sio mmoja walizaliwa wengi na siku ya nyani wote kufa miti huteleza usifurahi juu yangu huu uwimbo sikiliza kwa makini. Hii hali ya bandari na kuuzwa kwa nchi yako iliyohenyewa halafu mtu au watu wanaona ni fine kuharibu utaratibu haya situpo ?? Hawatawajua kisa nyie mnasali pamoja wao wanachukiaga watu weusi mbaya mbaya sana tunarudi chini badala ya juu
Jichunge sana na Propaganda ndugu yangu
 
Jichunge sana na Propaganda ndugu yangu
Mwigulu Nchemba amependekeza kwenye Sheria mpya ya Manunuzi Serikali inunue Ndege, Vichwa vya Treni, Mabehewa ya Treni, Meli zilizotumika badala ya kuagiza mpya na wabunge wanasherehekea bungeni kwa sababu wanajua wananufaika na nini kufanya maamuzi hay.
 
Jichunge sana na Propaganda ndugu yangu
Propaganda zipi nahuku niukweli mnafurahia sana kuwekwa kwa waarabu si udhibitisho upo au unautaka hakuna muislamu ambaye hamuungi mkono waarabu hakunaga
 
Kabla ya yote ingependeza kujua maneno yanayotamkwa hapo. Tunaweza kurupuka kuanza kulaumu wakati kinachozungumzwa ni tofauti kabisa
Mleta mada atafsiri ili tujue kinachoimbwa hatuwezi kurukia jambo bila kujua undani wake kama yeye alivyofanya
 
Hao ni Watanzania walio kwenye mji mtakatifu Iraq walipokwenda kuhiji katika miji mitakatifu ya madhehebu ya Shia ya Najaf kulipo msikiti maarufu mtakatifu na Karbala kulipo kaburi la Imam Husayn .
Asante kwa ufafanuzi mzuri wala Sasa ntaweza lala
 
Mwigulu Nchemba amependekeza kwenye Sheria mpya ya Manunuzi Serikali inunue Ndege, Vichwa vya Treni, Mabehewa ya Treni, Meli zilizotumika badala ya kuagiza mpya na wabunge wanasherehekea bungeni kwa sababu wanajua wananufaika na nini kufanya maamuzi hay.
Nimesikitishwa sana.
 
Kabla ya yote ingependeza kujua maneno yanayotamkwa hapo. Tunaweza kurupuka kuanza kulaumu wakati kinachozungumzwa ni tofauti kabisa
Hata kama maneno yangekuwa "Nakupenda Tanzania" Bado jumuiko hilo la warabu lingetiliwa mashaka tu.
 
Mleta mada atafsiri ili tujue kinachoimbwa hatuwezi kurukia jambo bila kujua undani wake kama yeye alivyofanya
Mleta mada ni kati ya wapinzani wa ccm ndani ya ccm .

Huyu jamaa kipindi cha Magufuli alikuwa anakesha kuichafua cdm kila kukicha.

Leo hii anaiponda ccm kisa hakuna sukuma gang kwenye mfumo ili aendelee kula kuku kwa mrija.
 
Kuna video imesambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii ikiwaonyesha kundi la warabu wakishangilia na kuimba nyimbo huku wakipeperusha bendera ya Tanzania kitu ambacho kimeibua maswali mengi miongoni mwa watanzania wakijiuliza inawezekanaje?

Yani katikati ya sakata la kuuzwa kwa bandari zote za Tanganyika kwa warabu wa DP world ya Dubai alafu tena waonekane warabu wakishangilia kama wamechukua kombe kwa nini?
Kweli viongozi wetu hawaoni hili?View attachment 2741665
Ngoja niwaambie. Hawo wanaorusha bendera yetu kwa furaha ni Wasukuma, wako wengi sana Oman na Dubai. Mmoja wao huyu hapa:
 
Back
Top Bottom