Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,320
Kwenda zako! Wanajifariji kuwa wanaweza kuifanya Tanzania koloni la Dubai? Kamwee! Huyo samia wenu pandikizi atashindwa!Tuliwatuma watuombee?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenda zako! Wanajifariji kuwa wanaweza kuifanya Tanzania koloni la Dubai? Kamwee! Huyo samia wenu pandikizi atashindwa!Tuliwatuma watuombee?
Hawa wazanzibar wa kuogopwa kama ukoma! Mwinyi aliuza LoliondoTusirudie tena kuchagua wazanzibari kuwa marais. Hawaeezi kuongoza nchi. Wao wanawaza kuuza tu.
..mzee Mwinyi kauza pori la Loliondo.
..huyu mama ndo usiseme sasa.
Jiulize kwanini shule maarufu ya sekondari ilipewa jina la Ben Bela? Unamfahamu Ben Bela?
Mama Samia Suluhu ni mwanafunzi wa shule hiyo.
Damu nzito kuliko maji.
Kwenda zako! Wanajifariji kuwa wanaweza kuifanya Tanzania koloni la Dubai? Kamwee! Huyo samia wenu pandikizi atashindwa!
NyooooooooAl Ahly hao wanakuja kumkandamiza mtu mmoja hivi pale kwa 'Nkapa Hatoki Ntu'
Dah!Kuna video imesambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii ikiwaonyesha kundi la warabu wakishangilia na kuimba nyimbo huku wakipeperusha bendera ya Tanzania kitu ambacho kimeibua maswali mengi miongoni mwa watanzania wakijiuliza inawezekanaje?
Yani katikati ya sakata la kuuzwa kwa bandari zote za Tanganyika kwa warabu wa DP world ya Dubai alafu tena waonekane warabu wakishangilia kama wamechukua kombe kwa nini?
Kweli viongozi wetu hawaoni hili?View attachment 2741665
Mbona wewe ndiwe umetoa tafsiri. Kuna sehemu yoyote kwenye mada ulkosoma hayo uliyoyaweka wewe?Wapo wapi?
What's the context?
Kwahiyo hao ndo DPW?
Hakuna watz wenye asili ya arabuni?
Nyie mnaweka bendera za Israel na USA hadi chumbani kwenu nani anawauliza?
Wasukuma bhanaKuna video imesambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii ikiwaonyesha kundi la warabu wakishangilia na kuimba nyimbo huku wakipeperusha bendera ya Tanzania kitu ambacho kimeibua maswali mengi miongoni mwa watanzania wakijiuliza inawezekanaje?
Yani katikati ya sakata la kuuzwa kwa bandari zote za Tanganyika kwa warabu wa DP world ya Dubai alafu tena waonekane warabu wakishangilia kama wamechukua kombe kwa nini?
Kweli viongozi wetu hawaoni hili?View attachment 2741665
Mbona wewe ndiwe umetoa tafsiri. Kuna sehemu yoyote kwenye mada ulkosoma hayo uliyoyaweka wewe?
Sasa kwa vile wewe ni mjuaji, tueleze tukio hilo lilihusu nini?
Acheni kupotosha na kudanganya. Hao ni Watanzania madhehebu ya Shia wakiwa katika Umra katika maeneo ya Karbala nchini Iraq. Wanafanya hivyo kila mwaka na hujitambulisha kuwa wao ni Watanzania sawa na wale wanaokwenda kuhiji Mecca na Madina. MSIPOTOSHE !!!Nina amini ulicho kisema ni sawa.
Wewe ndiyo unapotosha kenge wewe.Acheni kupotosha na kudanganya. Hao ni Watanzania madhehebu ya Shia wakiwa katika Umra katika maeneo ya Karbala nchini Iraq. Wanafanya hivyo kila mwaka na hujitambulisha kuwa wao ni Watanzania sawa na wale wanaokwenda kuhiji Mecca na Madina. MSIPOTOSHE !!!
Haya mambo ya kiroho na bendera ya Tanzania wapi na wapi?Hao ni Watanzania walio kwenye mji mtakatifu Iraq walipokwenda kuhiji katika miji mitakatifu ya madhehebu ya Shia ya Najaf kulipo msikiti maarufu mtakatifu na Karbala kulipo kaburi la Imam Husayn .
Wewe umejiridhisha kuwa hilo ndilo?Soma comment #5 utapata majibu yako. Acheni kukurupuka.
Hiyo ni hijja ya washia huko Karbala IraqKuna video imesambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii ikiwaonyesha kundi la warabu wakishangilia na kuimba nyimbo huku wakipeperusha bendera ya Tanzania kitu ambacho kimeibua maswali mengi miongoni mwa watanzania wakijiuliza inawezekanaje?
Yani katikati ya sakata la kuuzwa kwa bandari zote za Tanganyika kwa warabu wa DP world ya Dubai alafu tena waonekane warabu wakishangilia kama wamechukua kombe kwa nini?
Kweli viongozi wetu hawaoni hili?View attachment 2741665
Kuna video imesambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii ikiwaonyesha kundi la warabu wakishangilia na kuimba nyimbo huku wakipeperusha bendera ya Tanzania kitu ambacho kimeibua maswali mengi miongoni mwa watanzania wakijiuliza inawezekanaje?
Yani katikati ya sakata la kuuzwa kwa bandari zote za Tanganyika kwa warabu wa DP world ya Dubai alafu tena waonekane warabu wakishangilia kama wamechukua kombe kwa nini?
Kweli viongozi wetu hawaoni hili?View attachment 2741665
Hawa siyo wa Buguruni, ni Wssukuma wa Jisuge wanapepea bendera ya Nji yao kwa furaha. Si u ajuactena Wasukuma wakinywa kidogo tu wanaanza kuimba? Ni kama huyu. Muone:Kama ni ndugu wenye asili moja wamejikusanya hivyo baodo litakuwepo swali!