Waarabu na wahindi wenye uraia wa Tanzania hawafungi ndoa na ngozi nyeusi japo dini wanasali pamoja

Waarabu na wahindi wenye uraia wa Tanzania hawafungi ndoa na ngozi nyeusi japo dini wanasali pamoja

FRESHMAN

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2011
Posts
9,137
Reaction score
34,793
Ninajiulizaga sana hili swali. Mbona tuna wahindi wengi sana waislam na wakristo. Na tuna waarabu wengi sana waislamu wenye uraia wa Tanzania. Ila why hawaoi dada zetu ngozi nyeusi?

Inawezekana wanatujua ngozi nyeusi tuna mambo ya ajabu. Mfano msiba wa dada wa Mwanza aliyepigwa risasi ndugu wa mke na mume wameshaanza migogoro msibani tu.

Misiba ya wahindi na waarabu wa Tanzania ni ngumu kusikia migogoro ya kugombea mali. Kukwepa hili ndio maana hawaoi dada zetu weusi na wala hawaturuhusu weusi kuoa dada zao labda uwe unatoka royal family za Tanzania ndio wanakupa mke.

Hii video ya mama wa marehemu imenishangaza sana
 
sasa naambini baada ya wale wamachame kuna warangi.

ukijaa umekwisha tunakuona[emoji24][emoji24]
 
Tutahangaika weeee, lakini ukweli ni kuwa watu weupe wanaamini weusi ni laana hivyo hawawezi kujinasaba nayo kwa maendeleo ya vizazi vyao huko mbele. Bara lote la Asia limesheni imani hii, angalau kidogo ulaya kuna nafuu. Mifano iko mingi tu, uarabuni wanafukuzwa na kuteswa, Israel hivyo hivyo na maeneo mengine......wanatuchora tu tunavyojipendekeza kwao!
 
Na ijumaa hawasali kwenye misikiti ambayo ibada zinaongozwa na mashehe wenye ngozi nyeusi.

Wanaenda kwenye misikiti yenye viongozi ambao ni rangi zao.
Acha uongo , mimi nimeswali Ijumaa miskiti ambayo maimamu na viongozi watu weusi mfano Masjid Tambaza na Masjid Ma'amur ya upanga na kuna waarabu na watu weupe kibao na hata uswahilini huku Yombo tunaswali na waarabu kutoka mataifa mbalimbali.
 
Hata kitumbini pia
Acha uongo , mimi nimeswali Ijumaa miskiti ambayo maimamu na viongozi watu weusi mfano Masjid Tambaza na Masjid Ma'amur ya upanga na kuna waarabu na watu weupe kibao na hata uswahilini huku Yombo tunaswali na waarabu kutoka mataifa mbalimbali.
 
hivi wahindu wa bongo wanachomea wapi maiti?
 
Nilijua haya mambo ya dini mtaachana Nayo mwezi wa tano ulioisha ila tumeingia Nayo mwezi wa sita Kwa Kasi ya kimondo..

Sijui tunakwama wapi wakristo asee!! Wenzetu ulaya wapo bize na teknolojia Sisi tupo bize kushambuliana maswala ya dini na race
 
Ninajiulizaga sana hili swali. Mbona tuna wahindi wengi sana waislam na wakristo. Na tuna waarabu wengi sana waislamu wenye uraia wa Tanzania. Ila why hawaoi dada zetu ngozi nyeusi?

Inawezekana wanatujua ngozi nyeusi tuna mambo ya ajabu. Mfano msiba wa dada wa mwanza aliyepigwa risasi ndugu wa mke na mume wameshaanza migogoro msibani tu

Misiba ya wahindi na waarabu wa Tanzania ni ngumu kusikia migogoro ya kugombea mali . Kukwepa hili ndio maana hawaoi dada zetu weusi na wala hawaturuhusu weusi kuoa dada zao labda uwe unatoka royal family za Tz ndio wanakupa mke

Hii video ya mama wa marehemu imenishangaza sana

Mimi nikipata hela sitaoa dem mweusi never never never tena
 
Back
Top Bottom